Pre GE2025 ‘Watanzania wanyonge’ wataka Paul Makonda agombee na kupewa Urais 2030

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Labda ujasiri wa kuwatukana watu wazima na kutoa uhai wa watu. Period hana instrument ya kumwajibisha mtumishi yeyote au kiongozi yetote awe wa kisiasa au wa umma he is merely a barking dog end
 
Kwanini asipewe nafasi 2025 kama kweli anapendwa na wengi?
2025 Fomu ya Urais ndani ya CCM tumeshaamua na kuhitaji iwe moja tu kwa ajili ya Rais Samia ili kukamilisha kazi nzuri anayoendelea kuifanya kwa wakati huu ambayo imeleta na kuinua matumaini ya watanzania wanyonge.
 
Labda ujasiri wa kuwatukana watu wazima na kutoa uhai wa watu. Period hana instrument ya kumwajibisha mtumishi yeyote au kiongozi yetote awe wa kisiasa au wa umma he is merely a barking dog end
Kamuulize nini kimempata mkurugenzi wa Pangani.
 
2025 Fomu ya Urais ndani ya CCM tumeshaamua na kuhitaji iwe moja tu kwa ajili ya Rais Samia ili kukamilisha kazi nzuri anayoendelea kuifanya kwa wakati huu ambayo imeleta na kuinua matumaini ya watanzania wanyonge.
What if asipifikq 2025. Jiwe alipewa moja hiyo hiyo mpaka waganga wa Gambosh wakaapa kumuua atakayemchalene where is he now? Mere bones and carcas! Hata mwalimu hakukwezwa hivi
 

ACHA UONGO....
WAMETAKA WAPI HUKO...
UNAJUA MAMILIONI??...
USHABIKI WAKO SIO WA MAMILIONI!!...
 
What if asipifikq 2025. Jiwe alipewa moja hiyo hiyo mpaka waganga wa Gambosh wakaapa kumuua atakayemchalene where is he now? Mere bones and carcas! Hata mwalimu hakukwezwa hivi
Nimeshasema uhai wa mtu majeshi ya mtu na siku za mtu kuishi hapa Duniani zipo Mikononi kwa Mungu mwenyewe.kikubwa tuendelee kuombeana uzima na kuwaombea afya njema na heri ya maisha marefu viongozi wetu.
 
Kamuulize nini kimempata mkurugenzi wa Pangani.
Ni mtumishi wa umma amesimamishwa kupishwa uchunguzi kwa mujibu wa sheria na kanuni za utumishi wa umma.
Nikwambie tu analipwa mshahara wake kwa scale yake kama kawaida na kitakachofuata qtapangiwa kazi au kituo kingine au kuonekana hakuna na makosa na kurudishwa hapo hapo na wewe kuendelea kumlamba matako makonda bila kufaidi chochote! Kumuondoa mtumishi kazini sio kama unavyofukuzwa na girlfriend wako na chama chako ndio kimeweka mfumo huo mgumu.
 
Nimeshasema uhai wa mtu majeshi ya mtu na siku za mtu kuishi hapa Duniani zipo Mikononi kwa Mungu mwenyewe.kikubwa tuendelee kuombeana uzima na kuwaombea afya njema na heri ya maisha marefu viongozi wetu.
Hujajibu swali hakuna mtu mwenye majeshi ila Mungu.
 
Jifunze kujibu hoja wewe.kwani ni wapi hoja ilikuwa inahusu habari za mshahara? Hoja ilikuwa wewe kusema hana madhara yoyote wala meno wala maamuzi kwa watumishi wa umma.bila kujua nafasi yake ndani ya chama nafasi ya chama au nguvu ya chama kwa serikali yake iliyopo madarakani.
 
Punguza ujinga kidogo! Nimejibu swali lako vyema hawezi na hana instrument ya kumwajibisha public servant hata waziri mwenyewe hana hayo mamlaka kuna kitu inaitwa tume ya utumishi wa umma chini ya katibu mkuu utumishi aliye chini ya katibu mkuu kiongozi! Ndio wenye mamlaka kisheria kumwajibisha mtumishi! Alichokifanya bashite ni kupata political milage kwa wajinga kama wewe na wananchi wengi wasiojua kanuni za utumishi wa umma! Think big
 
Hana serikali- kasome katiba "seikali itapata madaraka yake kutoka kwa wananchi" sio kwa bashite
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…