Pre GE2025 ‘Watanzania wanyonge’ wataka Paul Makonda agombee na kupewa Urais 2030

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwa elimu yako ndogo na uwezo wako mdogo huna credibility ya kuniambia nijifunze kujibu hoja, I have been in platforms before your father seducer your mother! Jifunze kwangu
 
2025 Fomu ya Urais ndani ya CCM tumeshaamua na kuhitaji iwe moja tu kwa ajili ya Rais Samia ili kukamilisha kazi nzuri anayoendelea kuifanya kwa wakati huu ambayo imeleta na kuinua matumaini ya watanzania wanyonge.
Kwahiyo mmeamua kumpa mtu ambaye hapendwi na wengi badala ya anayependwa na wengi kama unavyosema mwenyewe?
 
Kazi ya chama ni kutoa maelekezo kaa serikali juu ya hatua za kuchukua kwa mtumishi wa umma ambaye ataonekana kufanya kazi chini ya kiwango au kwa mazoea. Ndio maana chama kilitoa maelekezo kwa serikali kupitia waziri wa TAMISEMI kumchukulia hatua mkurugenzi na kuunda timu ya kwenda kufanya uchunguzi juu ya masuala mbalimbali yaliyoonekana kulalamikiwa sana na wananchi.jambo ambalo lilitekelezwa haraka sana na serikali kupitia waziri wa TAMISEMI kwa kumsimamisha kazi haraka sana mkurugenzi.
 
Wewe punguani kabisa, unakera sana, ukishapewa buku tu unahara lolote tuu. Huyo Bashite ndo awe rais wenu? Unaweza hata kuolewa ukiahidiwa uteuzi mjinga sana wewe.
 
Kwahiyo mmeamua kumpa mtu ambaye hapendwi na wengi badala ya anayependwa na wengi kama unavyosema mwenyewe?
Tunakwenda na Rais Samia mpaka 2030 halafu baada ya hapo ndipo inatakiwa iangaliwe kwa umakini sana kiu ya watanzania ya kumhitaji Mheshimiwa Makonda
 
Wewe punguani kabisa, unakera sana, ukishapewa buku tu unahara lolote tuu. Huyo Bashite ndo awe rais wenu? Unaweza hata kuolewa ukiahidiwa uteuzi mjinga sana wewe.
Shusha pumzi .mimi sitafuti uteuzi hapa jukwaani ndugu yangu na wala sifanyi kwa malipo.
 
Swali kwako! Kwahiyo chama ndio kimehodhi na kukaa na hizo taratibu na kanuni za kuchukua juu ya mtumishi ndiposa kielekeze serikali ni hatua gani za kuchukua? Nataka kujua mwenye kujua hatua ni chama au serikali?

Meanwhile kwa mujibu wa maelezo yako- Bashite is the best to be a president. Sasa hapa ni chama kilitoa maelekezo na kuchukua haatua au ni bashite personally kwa utashi wake? Tatizo akili umeweka kwa matako ya mtu badala ya kutengeneza mifumo imara ambayo kwayo kila mtu anawajibika promptly bila kumsubiri mtu! Angesema CS Nchimbi au Chairlady Samia au DC Kinana yasingetekelezwa? Acha kushindana na mama keegan
 
Mheshimiwa makonda anazungumza kwa niaba ya chama.ndio maana alipokuwa anakuelekeza kero na changamoto walizozibaini chama pale Pangani alisema na kumpa maelekezo ya chama na hatua ambazo zinapaswa kuchukuliwa ,ikiwa ni pamoja na kumsimamisha kazi mkurugenzi pamoja na kuunda timu ya kwenda kufanya uchunguzi wa kina.
 
Wewe ushahidi wako wa mamilion ya Watanzania wanaomtaka makonda awe Rais uko wapi ....!!?
Kwa sasa Dunia ni kama kijiji na ipo kiganjani pako. Ndio maana kwa sasa huna hata sababu ya kuangalia taarifa ya habari saa mbili usiku maan matukio yote na habari zote unakuwa nazo kiganjani pako. Wala huna sababu ya kwenda kununua magazeti stendi maana unaweza soma na kulipata gazeti ukiwa popote pale.
 
Tunakwenda na Rais Samia mpaka 2030 halafu baada ya hapo ndipo inatakiwa iangaliwe kwa umakini sana kiu ya watanzania ya kumhitaji Mheshimiwa Makonda
Wewe kiu ulishaiona! Kasikilize ule wimbo "sisemu ina wenyewe" halafu ukumbuke ile kauli ya DR jk "ccm hawaachiani maji mezani" halafu maliza na hii jk alilaumiwa kuja na majina mfukoni. Halafu kajifunze mchakato wa kumpata Mgombea ndani ya ccm ukoje halafu ukimaliza uje na hii rule number one "never outshine your master" rule number two "don't forget rule number one" fuatilia miiko ya chama "hakuna ruhusa ya mtu au kikundi ndani ya chama kuanza kampeni ya kumpata mgombea kabla cc haijapuliza kipenga " we unawaza 2030 wakati hujui kama utakua hai au la.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…