Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Acha ujinga badilikaAcha kuongea vitu usivyo na ushahidi navyo wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ujinga badilikaAcha kuongea vitu usivyo na ushahidi navyo wewe
Wananchi ndio wanamtaja Mitaani Mheshimiwa Makonda kuwa apewe Urais tu ili Taifa lifaidike na uchapa kazi wakeHawawataki Makamba au Mwigulu tena??
Kampe urais wa familia yako, yaani awe anakupangia kila kitu ktk familia yako maana inaonekana we haujitambui!Mheshimiwa Paul Makonda anatakiwa kupewa urais
Wewe ni....Paul Makonda ndiye Rais ajaye baada ya Rais Samia kumaliza muhula wa pili 2030
CDF for President 2030CDF yuko sahihi Hata huyu Lucas anatokea Ndola Zambia 😂
Makosa yote anayafanya ambaye hakupi uteuzi utaendelea kuandika namba ya simu humu hadi lini??Tayari umemuhama January?!
CDF wetu ataendelea kusimamia na kulinda mipaka yetu wakati Mheshimiwa Makonda akichapa kazi kuwaletea maendeleo watanzania wanyongeCDF for President 2030
Makonda anapaswa kukabidhiwa Taifa letu katika mikono yake. Kwa hakika Taifa litakuwa katika mikono salama kabisa.Taifa litakuwa katika himaya ya mchapa kaziKada kamanda comrade naona umehamisha goal sasa ama tuseme mashambulizi yako sasa kutokea kwenye wingers
Kama unampenda sana mzalie mtotoMheshimiwa Paul Makonda anatakiwa kupewa urais
😀😀😀 Mwaka huu utakufa kwa presha .na hapo bado Makonda hajawa Rais umeshaanza kupata presha.vipi akishika Urais si utapata ukichaa?Nyoko wewe
Watanzania wanahitaji mtetezi wao.kama alivyo mama Samia .Na sasa wanataka Rais samia anapomaliza muhula wake wa pili aliache Taifa mikononi mwa mchapa kazi na mwenye kuwajali wanyonge ambaye ni Mheshimiwa MakondaMnyonge mwenyewe
Mimi na wewe ni nani aliye mgonjwa.Ni mngonjwa sn tumsaidie
Watanzania wanapaza Sauti wakimhitaji Paul Makonda kwa Urais wa nchi mwaka 2030Luca ni vema ukaomba ushauri wa kitabibu.Si muda utaanza kuvaa gagulo kichwani.Niamini.
Kupangana na naniMshapangana tayari