Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 16,419
- 26,594
- Thread starter
-
- #41
Kila mtanzania akiwa na mawazo hayo tusahau maendeleo.Siyo lazima uwekeze ndio ulipe kodi, kodi inalipwa na mlaji. Nikitumia fedha zangu ktk manunuzi ninalipa kodi pia.
Njoo huku Stocholm, Sweden na uine wananchi wake wanavyokatwa kodi kwa kila kitu.
Lakini kodi za wenzetu zinatumika vizuri sana.
Wabunhe wanalipa kodi, na hata mawaziri.
Kodi zinatumika kuendeleza afya, usafiri, uendeshaji miji na elimu ni bure.
Wanaspend billion 500+ kununua hayo magari Yao hapo bado hujaongelea kuyamantainUkifuatilia malalamiko kwa undani, siyo kuwa watu hawaoni umuhimu wa kulipa kodi, la hasha, bali ni uhalisia (fairness) ya kodi/tozo yenyewe. Mfano mimi mwajiriwa nakatwa kodi kwenye mshahara, halafu nikienda benki kuchukua mshahara nakatwa kodi tena kwenye mshahara ule ule. Pili matumizi ya serekali na taasisi zake ni ya kufuru. Chukulia mfano waziri mwenye dhamana anakuja na tozo kwenye mwamala hata wa Tzs 5,000 wakati huo huo ananunua gari la Tzs 500m. Yes tukamuliwe kodi/tozo - na ni wajibu wetu kulipa kodi - lakini siyo fedha zisifujwe na wakubwa.
Mwalimu anakatwa Kodi mshahara na akinunua kiberiti anakatwa Tena,serikali kujenga shule na hospitali ni wajibu,hela wanatoa wapi!?Nenda kasome tena uchumi na maswala ya kodi..kwa kifupi serikali inatakiwa itengeneze mazingira mazuri ya kufanya biashara watu wawekeze yenyewe ije kuchukua kodi..sasa shida inaanzia hapa serikali inataka ichukue kiasi sawa na aliefanya uwekezaji.
1. Kwenye miamala ya simu service prodiver (Tigo,Vodacom, Airtel) wao wameshafanya uwekezaji kwenye infrastructure, minara,manpower etc. Kwaio wao warudishe gharama zao wameanzisha huduma kadha wa kadha i.e kutuma na kupokea hela sasa kwa kuangalia gharama walizotumia wameweka kiwango fulani cha ili kufikisha gharama hizo husika kwa mtumiaji wa mwisho.
2. Shida inaanzia hapa i.e kutuma kiasi fulani ni 400 tsh na kiasi cha kutolea ni 300 tshs...tukumbuke kwamba hio kampuni ya simu baada ya kutoa mapato na matumizi yake faida iliopatikana inatozwa 30% (corporate tax) pia inalipa PAYE kutoka kwa income tax kitu kisichoeleweka ni kutaka serikali nayo ichukue hela toka kwenye hizo gharama za kutuma na kutolea wakati baadae inakuja kukata kodi katika mahesabu ya mwisho wa mwaka hicho ndo hakikubaliki maana mzigo wote anasukumiziwa mlaji wa mwisho(mtuma hela)
3. Porojo za kujenga madaraja, mashule, mahospitali hazina uzito sababu hayo majengo sio kwamba yameanza kujengwa baada ya tozo kuanzishwa serikali imekua ikikusanya kodi toka sehemu mbali mbali tangu kupatwa kwa uhuru sasa iweje ndo useme kwamba tozo hizi ni za kufanyia hivyo vitu,kodi zingine zinaenda kufanyia vitu gani? Hapo unakuta kuta LC200 na Lc300 zinanunualiwa kwenye misafara etc isio kua na tija
4. Kwanza kabisa kujenga barabara,mahospitali, mashule hayo ni majukumu ya serikali sio fadhila..siku watu watakapo amka na kujua majukumu ya serikali na wajibu wake kwa wanachi ni upi ndio tutaelewena..hakika hio siku itafika hapo waongo waongo ndo watakapo kua wamefikia mwisho.
Principles zipi za taxation zinazotumika kutoza kitu mara mbili mbili?
Ulitaka watumie shilingi ngapi!?Wanaspend billion 500+ kununua hayo magari Yao hapo bado hujaongelea kuyamantain
Watz hupinga kila kitu Cha serikali,hakuna walichounga mkono,walipinga kuhama analogia,walipinga shule za kata,walipinga vitambulisho vya nida, wanapinga,wanapinga mbolea ya ruzuku...hawana jemaWatu wako tayari kulipa kodi+tozo
Na serikali wabane matumizi,waache matumizi yasiyokuwa na tija na mambo ya anasa anasa
Twende sawa
Siyo unakamua kule alafu nyie huko mnajiachiaaaa tu
Ova
Unaelewa maana ya direct tax na indirect..direct tax ina maumivu...hio ya kununua kiberiti ni indirect haina athari moja kwa moja kwako wewe...pia anaekuuzia kiberiti amelipa kodi ya mapato(serikali imeshachukua hela yake hapo ya kujengea hospitali, barabara, mashule nk), leseni ya biashara pia ameshalipa, na makorokoro mengine...kwaio akijumlisha gharama zote anakuuzia kiberiti katika namna ya isiokia na maumivu akaitaka akuumize hapo anatakiwa awe anakuchaji bei ya kuulizia bidhaa dukani i.e unapuliza kiberiti sh ngapi,mchele shingapi? Akuandikie kuulizia bei ya bidhaa ya kitu ni sh 500 + kiberiti cha sh 200 = 700tshs ungekubali? Jifunze vitu mbali mbali mkuu usiwe mzembe mzembe...🤣🤣😍Mwalimu anakatwa Kodi mshahara na akinunua kiberiti anakatwa Tena,serikali kujenga shule na hospitali ni wajibu,hela wanatoa wapi!?
Tofautiisha kati ya kodi na tozoWaziri Mkuu wa Uingereza, Margaret Thatcher aliwahi kusema, serikali haina duka wala biashara au shamba. Serikali inaendeshwa kwa kodi zinazotozwa kwa wananchi wake.
Wananchi hawakupenda sana kauli hiyo, lakini akawaambia hivyo ndiyo ilivyo kwenye free market economy.
Hivyo ndivyo ilivyo duniani pote. Serikali haifanyi biashara wala kuwekeza.
Serikali makini duniani kote zinatengeneza mazinira ya uwekezaji kwa WANANCHI WAKE ili waweze kupata kodi kutokana na biashara zao. Huo lazima uwe msingi wa nmna ya kupata kodi.
Sasa hapa kwetu Mwalimu alijaribu kuitumia serikali kuwekeza katika mashirika mengi ya Umma. Mashirika haya karibu yoote yalikufa, pamoja na uwekezaji mkubwa wa serikali.
Mwinyi alipoingia, aliingiza sera za kulegeza sharti ya biashara na kuiondoa serikali kwenye biashara.
Mkapa alijiongeza kwa kutengeza taratibu za ukusanyaji kodi na usimamizi mzuri kiserikali katika miradi yake(mfano TANROADS).
Tatizo kubwa ka wananchi walio wengi wa Tanzania ni kufikiri kuwa serikali ndio ikope kwa mjomba fulani huko nje ili wananchi wapate kazi, wapate fedha na waishi maisha mazuri.
Watu hawajifikirii kuanzisha miradi, biashara uwekezaji na kutafuta mitaji kwa ajili hiyo.
Mbaya zaidi watu wanafikiri hela yao ni yao, isiguswe na mtu yeyote lakini waendelee kupata huduma za bure toka serikalini.
Hili suala la TOZO ni la kulitazama kwa jicho la tatu.
Sikiliza akili kubwa,Waziri Mkuu wa Uingereza, Margaret Thatcher aliwahi kusema, serikali haina duka wala biashara au shamba. Serikali inaendeshwa kwa kodi zinazotozwa kwa wananchi wake.
Wananchi hawakupenda sana kauli hiyo, lakini akawaambia hivyo ndiyo ilivyo kwenye free market economy.
Hivyo ndivyo ilivyo duniani pote. Serikali haifanyi biashara wala kuwekeza.
Serikali makini duniani kote zinatengeneza mazinira ya uwekezaji kwa WANANCHI WAKE ili waweze kupata kodi kutokana na biashara zao. Huo lazima uwe msingi wa nmna ya kupata kodi.
Sasa hapa kwetu Mwalimu alijaribu kuitumia serikali kuwekeza katika mashirika mengi ya Umma. Mashirika haya karibu yoote yalikufa, pamoja na uwekezaji mkubwa wa serikali.
Mwinyi alipoingia, aliingiza sera za kulegeza sharti ya biashara na kuiondoa serikali kwenye biashara.
Mkapa alijiongeza kwa kutengeza taratibu za ukusanyaji kodi na usimamizi mzuri kiserikali katika miradi yake(mfano TANROADS).
Tatizo kubwa ka wananchi walio wengi wa Tanzania ni kufikiri kuwa serikali ndio ikope kwa mjomba fulani huko nje ili wananchi wapate kazi, wapate fedha na waishi maisha mazuri.
Watu hawajifikirii kuanzisha miradi, biashara uwekezaji na kutafuta mitaji kwa ajili hiyo.
Mbaya zaidi watu wanafikiri hela yao ni yao, isiguswe na mtu yeyote lakini waendelee kupata huduma za bure toka serikalini.
Hili suala la TOZO ni la kulitazama kwa jicho la tatu.
nadhani sio kama wananchi wengi hawapendi kulipa kodi ila swala je serikali ina mshawishi vp wananchi kulipa kodi kwa hiyal ... serikali imetengeneza mazingira yapi kwa wananchi kulipa kodi ...machinga weny mtaji wa Tsh 20000 umemtengenezea mazingira gani ili akupe kodi na asupport kodi & tozo .Waziri Mkuu wa Uingereza, Margaret Thatcher aliwahi kusema, serikali haina duka wala biashara au shamba. Serikali inaendeshwa kwa kodi zinazotozwa kwa wananchi wake.
Wananchi hawakupenda sana kauli hiyo, lakini akawaambia hivyo ndiyo ilivyo kwenye free market economy.
Hivyo ndivyo ilivyo duniani pote. Serikali haifanyi biashara wala kuwekeza.
Serikali makini duniani kote zinatengeneza mazinira ya uwekezaji kwa WANANCHI WAKE ili waweze kupata kodi kutokana na biashara zao. Huo lazima uwe msingi wa nmna ya kupata kodi.
Sasa hapa kwetu Mwalimu alijaribu kuitumia serikali kuwekeza katika mashirika mengi ya Umma. Mashirika haya karibu yoote yalikufa, pamoja na uwekezaji mkubwa wa serikali.
Mwinyi alipoingia, aliingiza sera za kulegeza sharti ya biashara na kuiondoa serikali kwenye biashara.
Mkapa alijiongeza kwa kutengeza taratibu za ukusanyaji kodi na usimamizi mzuri kiserikali katika miradi yake(mfano TANROADS).
Tatizo kubwa ka wananchi walio wengi wa Tanzania ni kufikiri kuwa serikali ndio ikope kwa mjomba fulani huko nje ili wananchi wapate kazi, wapate fedha na waishi maisha mazuri.
Watu hawajifikirii kuanzisha miradi, biashara uwekezaji na kutafuta mitaji kwa ajili hiyo.
Mbaya zaidi watu wanafikiri hela yao ni yao, isiguswe na mtu yeyote lakini waendelee kupata huduma za bure toka serikalini.
Hili suala la TOZO ni la kulitazama kwa jicho la tatu.
Tatizo unadhani elimu ya uchumi unayo peke yakoUnaelewa maana ya direct tax na indirect..direct tax ina maumivu...hio ya kununua kiberiti ni indirect haina athari moja kwa moja kwako wewe...pia anaekuuzia kiberiti amelipa kodi ya mapato(serikali imeshachukua hela yake hapo ya kujengea hospitali, barabara, mashule nk), leseni ya biashara pia ameshalipa, na makorokoro mengine...kwaio akijumlisha gharama zote anakuuzia kiberiti katika namna ya isiokia na maumivu akaitaka akuumize hapo anatakiwa awe anakuchaji bei ya kuulizia bidhaa dukani i.e unapuliza kiberiti sh ngapi,mchele shingapi? Akuandikie kuulizia bei ya bidhaa ya kitu ni sh 500 + kiberiti cha sh 200 = 700tshs ungekubali? Jifunze vitu mbali mbali mkuu usiwe mzembe mzembe...🤣🤣😍
Jikite kwenye hoja ya msingi...mimi nimekujibu kwa mifano...Tatizo unadhani elimu ya uchumi unayo peke yako
Mfano wako Koko tu,una upungufu mkubwa wa elimu ya uchumi na kodiJikite kwenye hoja ya msingi...mimi nimekujibu kwa mifano...
Kwani tozo kwenye simu ni over taxation!!?..tatizo mmezowea kitolipa kodiSikiliza akili kubwa,
Over taxation huua uchumi,
Fafanua wewe ili iweze kueleweka...mkuuMfano wako Koko tu,una upungufu mkubwa wa elimu ya uchumi na kodi
Sio watanzania wote, bali kuna baadhi ambao wanajua faida ya tozo ila kwa maksudi na kwa lengo la kutaka serikali ishindwe ndio wanao payukaWaziri Mkuu wa Uingereza, Margaret Thatcher aliwahi kusema, serikali haina duka wala biashara au shamba. Serikali inaendeshwa kwa kodi zinazotozwa kwa wananchi wake.
Wananchi hawakupenda sana kauli hiyo, lakini akawaambia hivyo ndiyo ilivyo kwenye free market economy.
Hivyo ndivyo ilivyo duniani pote. Serikali haifanyi biashara wala kuwekeza.
Serikali makini duniani kote zinatengeneza mazinira ya uwekezaji kwa WANANCHI WAKE ili waweze kupata kodi kutokana na biashara zao. Huo lazima uwe msingi wa nmna ya kupata kodi.
Sasa hapa kwetu Mwalimu alijaribu kuitumia serikali kuwekeza katika mashirika mengi ya Umma. Mashirika haya karibu yoote yalikufa, pamoja na uwekezaji mkubwa wa serikali.
Mwinyi alipoingia, aliingiza sera za kulegeza sharti ya biashara na kuiondoa serikali kwenye biashara.
Mkapa alijiongeza kwa kutengeza taratibu za ukusanyaji kodi na usimamizi mzuri kiserikali katika miradi yake(mfano TANROADS).
Tatizo kubwa ka wananchi walio wengi wa Tanzania ni kufikiri kuwa serikali ndio ikope kwa mjomba fulani huko nje ili wananchi wapate kazi, wapate fedha na waishi maisha mazuri.
Watu hawajifikirii kuanzisha miradi, biashara uwekezaji na kutafuta mitaji kwa ajili hiyo.
Mbaya zaidi watu wanafikiri hela yao ni yao, isiguswe na mtu yeyote lakini waendelee kupata huduma za bure toka serikalini.
Hili suala la TOZO ni la kulitazama kwa jicho la tatu.
Watu hawayapendi mavieite ya Polepole na maanasa anasa mengine wanayoyaona na wanayoyasikia !! Sio kwamba hawapendi kulipa kodi kwa ajili ya maendeleo ya Nchi ! Hapana sio kweli !! Kwanza tuelewe kwamba mlipaji kodi mkuu ni yule mtumiaji au mlaji ambaye sio mfanyabiashara ! Huyo mfanyabiashara huwa anamkopesha mlaji hiyo kodi anayoilipa anaponunua bidhaa zake za dukani kisha anaanza kuchukua kodi aliyoitoa pamoja na faida katika kila bidhaa atakayoiuza kwa hao walaji wa mwisho!! Lakini siku zote huwa anaonekana mlipaji kodi ni mfanyabiashara !! I stand to be corrected !!Wananchi wengi hawana uelewa kuhusu ulipaji kodi afu pia wajinga ni wengi nchi hii
Yote kitu sawa tu= mapato kwa serikali toka kwa wananchi wake.Tofautiisha kati ya kodi na tozo