Watanzania wawili wakamatwa India kwa usafirishaji wa kilo 1.5 ya dawa za kulevya

Kuuza ngada sio umafia. Umafia nikuinfiltrate biashara zingine , kugamble, maswala ya pesa nyingi kuziamisha ndio umafia, elchapo, na wenzake sio ma mafia wale, mafias wako huko italy, wachache mexico na hawapo kwenye cartels.

Turudi kwenye mada, Kupata hela nzuri kwenye Kuuza Unga inahitaji muda mrefu ila sio mrefu sana, unahitaji utrafick walau safari tatu bila kukamatwa. Ukikamatawa hata uachiwe unakua umefanya kazi bure tu. Huridhiki.
 
Hizo sio zao, wao ni punda tu, hizo ni hela za mfuga punda
 
Point yako ya msingi ni ipi?
Nadhani anamaanisha kuwa kuna dini zina mafundisho yanayokosa mkazo wa kufanya kazi kwa bidii. Na kwa sababu mahitaji ya mwanadamu hayategemei wewe ni wa imani gani, hawa watu wasio na mafundisho thabiti ya kujituma kufanya kazi, mwishowe hukimbilia njia za mkato ili wapate kuishi.

Hapa nchini, maeneo mengi walioishi waarabu, kama vile Tabora, Tanga au Ujiji, watu wengi siyo watu wa kujituma, hasa kwenye kazi ngumu. Tena kwenye maeneo hayo, utakuta hali hiyo haitegemei imani ya mtu. Hata kuanza kazi asubuhi, hasa kwa wasioajiriwa, huchelewa sana kuanza.

Kuna njia moja ya uhakika ya kumfanya mtu awe na uhakika wa maisha yake, nayo ni kufanya kazi kwa bidii. Mengine yaliyobakia ni kubahatisha kunakoendana na hatari nyingi.
 
Musa na rashidi au sio. Mbuzi wa kafara
 
Shida sio bidii, shida ni tija, wengi wanafanya kazi zisizo na tija ndio maana hukosa morali ya kufanya kazi kwa bidii
 
Kuna Mtanzania alikamatwa huko China akasababisha nchi iingie mikataba ya hovyo ya gesi na Bandari ya Bagamoyo..

Safari hii tunawaokoaje wenzetu? Tugawe nini kwa Wahindi?🀣
 
Sawa.nitajie nchi zinazoongoza kwa kuuza madawa ya kulevya.na unitajie nchi za kiislam japo 3
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…