Watanzania wawili wakamatwa India kwa usafirishaji wa kilo 1.5 ya dawa za kulevya

Watanzania wawili wakamatwa India kwa usafirishaji wa kilo 1.5 ya dawa za kulevya

Kwa sasa Tanzania imerudi kulekule kwenye zama za unga. Na hapa bado hawajakamatwa, wako wengi tu wanasafirisha kwa sasa.

Wanaoishi South Africa wote wamerudi Bongo. Biashara inaendelea vizuri tu.

Na ndio hawa utakuta wanafurahia zama hizi maana biashara zao zinaenda vizuri.

Somehow basi ni kweli JPM aliidhibiti hii biashara.
 
Fanya tafiti hata wanaokamatwa hapa bongo ambao tunaowafahamu wanayofanya biashara hizo za ngada , fuatilia Imani zao, au wale wazamiaji wa Afrika ya kusini wanao uza ngada huko wapeleleze ukikuta 100 basi 90 ni WA kwenu
Ukifika Johannesburg CBD, Durban na Cape Town wauzaji ngada utakutana na majina toka kwa ndugu zetu upande wa Hamas. Sijui tatizo ni elimu finyu?
 
Nadhani anamaanisha kuwa kuna dini zina mafundisho yanayokosa mkazo wa kufanya kazi kwa bidii. Na kwa sababu mahitaji ya mwanadamu hayategemei wewe ni wa imani gani, hawa watu wasio na mafundisho thabiti ya kujituma kufanya kazi, mwishowe hukimbilia njia za mkato ili wapate kuishi.

Hapa nchini, maeneo mengi walioishi waarabu, kama vile Tabora, Tanga au Ujiji, watu wengi siyo watu wa kujituma, hasa kwenye kazi ngumu. Tena kwenye maeneo hayo, utakuta hali hiyo haitegemei imani ya mtu. Hata kuanza kazi asubuhi, hasa kwa wasioajiriwa, huchelewa sana kuanza.

Kuna njia moja ya uhakika ya kumfanya mtu awe na uhakika wa maisha yake, nayo ni kufanya kazi kwa bidii. Mengine yaliyobakia ni kubahatisha kunakoendana na hatari nyingi.
Umeandika gazeti ila ni pumba tupu,wazee wa LGBTQ mna nongwa sana.
 
View attachment 2786999

Kurugenzi ya Mapato ya Ujasusi nchini India (DRI) imewakamata Raia wawili kutokea nchini Tanzania kwa madai ya kuhusika na usafirishaji wa kilo 1.5 ya madawa ya kulevya aina ya Cocaine yenye thamani ya kati ya milioni 80 hadi 100 ya India (Tsh Bil 2.4 mpaka Bil 3) kwa kuzificha ndani ya miili yao ikiwa ni tukio la saba ndani ya kipindi cha mwezi mmoja nchini humo.

Taarifa zinasema mwanzoni mwa mwezi October chombo hicho cha ujasusi DRI kilimnasa Mussa Mgonja (62) na Rashid Zamiru (23) ambao waliwasili kutoka Addis Ababa nchini Ethiopia kuelekea jijini Mumbai nchini India.

Ingawa utafutaji wao wa binafsi haukuzaa matunda, kwa mujibu wa ripoti walipopelekwa katika Hospitali ya JJ, Musa alionekana na vidonge 79 ndani ya mwili wake na Rashid akiwa na vidonge 33 kisha uchunguzi zaidi ulibaini kuwa wawili hao walikuwa wabebaji mahiri wa dawa za kulevya ambapo Mussa alisema hiyo ilikuwa ni safari yake ya pili na alikuwa amesafirisha vidonge kufikia 125 vya madawa huko kuelekea jijini Delhi, nchini India.

Ayo updates
Maisha ya Tanzania ni Magumu sana ! viongozi wazee wanarithisha kila kitu kwa watoto wao , vijana wasio na koneksheni hawana namna zaidi ya kujaribu biashara ya unga
 
Nadhani anamaanisha kuwa kuna dini zina mafundisho yanayokosa mkazo wa kufanya kazi kwa bidii. Na kwa sababu mahitaji ya mwanadamu hayategemei wewe ni wa imani gani, hawa watu wasio na mafundisho thabiti ya kujituma kufanya kazi, mwishowe hukimbilia njia za mkato ili wapate kuishi.

Hapa nchini, maeneo mengi walioishi waarabu, kama vile Tabora, Tanga au Ujiji, watu wengi siyo watu wa kujituma, hasa kwenye kazi ngumu. Tena kwenye maeneo hayo, utakuta hali hiyo haitegemei imani ya mtu. Hata kuanza kazi asubuhi, hasa kwa wasioajiriwa, huchelewa sana kuanza.

Kuna njia moja ya uhakika ya kumfanya mtu awe na uhakika wa maisha yake, nayo ni kufanya kazi kwa bidii. Mengine yaliyobakia ni kubahatisha kunakoendana na hatari nyingi.

Sasa kama muarabu kazi yake ni biashara unataka umfanyishe kazi za kilimo kama msukuma?
 
Utawafanya nini wakati the whole system is corrupt.Hiyo movie Dr.Mwakyembe ameshawahi ishuhudia akiwa Waziri wa Uchukuzi awamu ya nne na hakuna kitu kilifanyika kwa wahusika.
Wauza ngada wana watu kuanzia Polisi, TISS, DPP,Mahakamani,Bungeni mpaka Ikulu,utawaambia nini?
Rais aliyethubutu kuwanyoosha ni Magufuli tu!

Sent from my V2111 using JamiiForums mobile app

Kipindi Cha magufuli dawa zilikuwa zinaingia kama kawaida,hata bashite alipokuja na na mihemko yake MWISHO aliishia kuangukia pua tuh
 
Na bado silali usiku wanavyoniwangia mara nasikia wakitembea juu ya paa mara nawasikia wakibamiza milango.

Hawa watu wa Pwani hata ukiwafanyia wema watakulipa kwa kukuloga tu.

Lakini mimi nimeshajiapiiza hata Waloge vipi sitawalipizia kwa mabaya.

Huko kunakosifika Kwa ulozi sumbawanga,mbeya na iringa ni pwani?
 
Hapana, Kila mtu ana haki ya kuishi na kuheshimiwa na tofauti zake

🔷 Mungu anapenda derivasity na sio kama watu wanavyotamani na kutumia nguvu ili tuwe Imani Moja

🔷 Mungu katuumba jinsia tofauti angeamua kwa utukufu wake kutuumba jinsia Moja wote na akatafuta njia nyingine ya kuongezeka angeweza lakini hakufanya hivyo

🔷 Hata kama mapancha wale identical twin Wana tofauti lakini Mungu angeamua kutuumba tufanane kama maharage angeweza lakini Kila mtu anatofauti zake ili utukufu wake unekane.

🔷 Lugha Kila jamii Ina lugha zake tofauti na nyingine. Hizi lugha za kienyeji ni za kuwasiliana na Mungu wetu. Lakini ukiona jamii inasali kwa kutumia lugha ya jamii nyingine inamwambia Mungu kuwa hasikii lugha aliyowapa.

🔷🔹Hata suala dini, Mungu angeamua wote tuwe dini Moja angeweza lakini ametuacha hivi natofauti zetu ili utukufu wake uonekane. Mkiwa na itikadi Moja ya kiimani, mtaweza mkakufuru hivyo, Tusitumie nguvu kueneza dini au kumchukia mtu mwenye Imani tofauti na wewe ,kinachotakiwa ni kueneza dini kwa amani akikataa basi na hata akitoka kwenye Imani yako na kujiunga na Imani nyingine usimdhuru hapo Ndipo tutampendeza Mungu. Tupendane kama binafamu na tujifunze kwa Kila mmoja wetu liliojema tulifuate na lililobaya tuliache
Kaisome "Spanish Inquisition" utaelewa kuwa hakuna mwenye haki ya kuishi isipokuwa anayejiita "mkristo" tu.
 
Back
Top Bottom