Watanzania wawili wakamatwa India kwa usafirishaji wa kilo 1.5 ya dawa za kulevya

Kwa sasa Tanzania imerudi kulekule kwenye zama za unga. Na hapa bado hawajakamatwa, wako wengi tu wanasafirisha kwa sasa.

Wanaoishi South Africa wote wamerudi Bongo. Biashara inaendelea vizuri tu.

Na ndio hawa utakuta wanafurahia zama hizi maana biashara zao zinaenda vizuri.

Somehow basi ni kweli JPM aliidhibiti hii biashara.
 
Fanya tafiti hata wanaokamatwa hapa bongo ambao tunaowafahamu wanayofanya biashara hizo za ngada , fuatilia Imani zao, au wale wazamiaji wa Afrika ya kusini wanao uza ngada huko wapeleleze ukikuta 100 basi 90 ni WA kwenu
Ukifika Johannesburg CBD, Durban na Cape Town wauzaji ngada utakutana na majina toka kwa ndugu zetu upande wa Hamas. Sijui tatizo ni elimu finyu?
 
Umeandika gazeti ila ni pumba tupu,wazee wa LGBTQ mna nongwa sana.
 
Maisha ya Tanzania ni Magumu sana ! viongozi wazee wanarithisha kila kitu kwa watoto wao , vijana wasio na koneksheni hawana namna zaidi ya kujaribu biashara ya unga
 

Sasa kama muarabu kazi yake ni biashara unataka umfanyishe kazi za kilimo kama msukuma?
 

Kipindi Cha magufuli dawa zilikuwa zinaingia kama kawaida,hata bashite alipokuja na na mihemko yake MWISHO aliishia kuangukia pua tuh
 
Na bado silali usiku wanavyoniwangia mara nasikia wakitembea juu ya paa mara nawasikia wakibamiza milango.

Hawa watu wa Pwani hata ukiwafanyia wema watakulipa kwa kukuloga tu.

Lakini mimi nimeshajiapiiza hata Waloge vipi sitawalipizia kwa mabaya.

Huko kunakosifika Kwa ulozi sumbawanga,mbeya na iringa ni pwani?
 
Kaisome "Spanish Inquisition" utaelewa kuwa hakuna mwenye haki ya kuishi isipokuwa anayejiita "mkristo" tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…