Watanzania wengi kweli tuna changamoto ya Afya ya akili

Watanzania wengi kweli tuna changamoto ya Afya ya akili

Watanzania wengi hasa mashabiki wa CCM Wana matatizo ya kiakili mkuu!

Fikiria mtu anakupigia simu halafu anakwambia "Niambie"

Yaani unanipigia Simu halafu unasema "Niambie",nikwambie Nini?,ningekuwa na uhitaji wa kukwambia Mimi mwenyewe ningekupigia !
Ukisema tu niambie nakujibu NAKUPENDA hata kama ni mwanaume mwenzangu.
 
Kweli mkuu ukiwa humble utakaa na kila mtu..
Huwa nashanga mtu anapopata ujasili wa kumtolea mwenzake maneno machafu huwa naumia sana aiseee..

Ila kingine katika haya maisha mambo yote tunayofundishwa na vitab vya dini ni UPENDo hvo tupendane mkuu hata kwa kiasi gani ila tupendane..

Mi napenda kila mtu yoyote atakaye kuwa yupo negative na mimi its oky sina mda nae..
Potelea mbali
Nature ya kazi yangu nadeal na community so huwa nashangaa mtu anaenda ofcn kwake kupata huduma anazungushwa mara ajibiwe vibaya, mm sina hayo mambo nitakuhudumia vzr sanaa hata kazn huwa nawashangaza watu. Nakumba kuna kipindi nikikuwa nadeal na wastaaf, yaan kuna wakata wanataka wakupe hela nawaambi ninyi ni wazazi wangu na hizi pesa ni jasho lenu. Nimetuniwa sana samaki na mchele kutoka maeneo fulani. Nafurahi ujuzi wangu, kazi yangu na ninawahudumia wanajamii hadi nafurahia
 
Shida ni kubwa sanaaa ya akili.Juzi kuamkia jana afarjiri saa kumi hivi nipo stand nasubiri gari niende home mara kaja mtu anaanza kuniongelesha mbovumbovu.Nikasogea pembeni ananifuata aisee nilimpasua pasua mangumi balaa,na watu wengine wakanisaidia maana yeye ndo alianza ugomvi.Tuchukue tahadhari sana
 
Nature ya kazi yangu nadeal na community so huwa nashangaa mtu anaenda ofcn kwake kupata huduma anazungushwa mara ajibiwe vibaya, mm sina hayo mambo nitakuhudumia vzr sanaa hata kazn huwa nawashangaza watu. Nakumba kuna kipindi nikikuwa nadeal na wastaaf, yaan kuna wakata wanataka wakupe hela nawaambi ninyi ni wazazi wangu na hizi pesa ni jasho lenu. Nimetuniwa sana samaki na mchele kutoka maeneo fulani. Nafurahi ujuzi wangu, kazi yangu na ninawahudumia wanajamii hadi nafurahia
Natamani nikujue zaidi na zaidi mkuu..
Naimani kuna vingi naweza ku share na wewe sio hapa jf tuu hata nje ya hapa..

Huwa napenda sana mtu positive kama wewe ambaye huna majivuno na huna mambo mengi
 
Mimi kuna mjomba wangu yeye ndio kiboko,yaani anakukuta umelala halafu anakuuliza.Naona uncle umelala? Au anamkuta dada yake anapika.Halafu anamuuliza tena .Naona dada unapika pika? Na hili sijui linaweza kuwa tatizo la afya ya akili?
Nimechokaaa.
 
Mtu anakupigia simu na namba ya Mtu mwengine sio ile ulioizoea.Unapokea unamuuliza Nani mwenzangu? Anakujibu Otea Mimi ni Nani😂😂
Mwingine unakuta anapiga simu, inakuwa hivi;

Simu: rriiing rrrring

Mimi: To whom have I the honor of speaking?

Yeye: Yooo ye yee

Mimi: Mambo vipi?

Yeye: ye yee Ngweea...yeeeh Inspector Haruuuun.


Wanakuwa na mambo ya kingese sana mbwa wale😡.
 
Kuna mtu alinichatisha namba ngeni ila nikawa nimem-recognize sasa tumechati, tumechati.

Tukachati mpaka story ambazo tulikua mimi na yeye tu kipindi hicho [Ni She].

Nikashangaa tena ameniandikia sms "Unajua unachati na nani lakini?"

Wabongo bhana! 😆
 
Kuna hiyo ya otea mimi nani au ile ya mimi mume/mke wako umenisahau, tbh siintateini hayo mambo huwa nakata simu ili akipiga tena ajitambulishe vizuri.
Akipiga apokelewi utambulisho atajiongeza kwenye sms.

Kwangu namba ngeni asipojitambulisha hata sihangaiki nae. Maswala ya ulifuta namba yangu huwa siyataki, mtu ajitambulishe kama inahitajika kwenye haya maisha mambo ni mengi na dharura zinatokea zinazopelekea kupoteza mawasiliano ya watu.
 
Back
Top Bottom