Watanzania wengi kweli tuna changamoto ya Afya ya akili

Watanzania wengi kweli tuna changamoto ya Afya ya akili

Tatizo lako we dogo una dharau sana ndio maana mishangazi ya tabata naachaga tu iende kwa wana wengine.
Mi nakupigia pande kila kona ila we miyeyusho
Sio miyeyusho mkuu..
Ngoja nikupe story mi mishangzi niliyo nayo sasa inatosha aiseee hao wa tabata hapana

Alafu kuna kitu naona unataka kukitengeneza hapa ambacho wee mwneyewe na bichwa hilo umeogopa 😄😄😄😄😄😄
 
nimecheka kwa sauti mieee daaah 😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄😄 daaah weee vishu watakupiga ujue
Nimeamini wagonjwa waakili wapo wengi so Poor brain usiwasikilize, kwani mm kuwa rafiki yako wanapungukiwa nini? Hebu wahudhurie clinic mapema
 
Mimi ni Mwanaume wa miaka
27 ,
Dini yangu , ni muslam.
naishi DAR
kazi yangu ni nimejiajili
elimu yangu ni DEGREE.

Natafuta mke mwenye SIFA zifuatazo ,

*awe muslam

*Awe anaishi dar
*awe ameajiliwa au anafanya biashara

awe na miaka kwanzia 20 adi 26.

*ALIYE TAYALI NA MWENYE SIFA HIZO ANIFUATE PM
 
Nimeamini wagonjwa waakili wapo wengi so Poor brain usiwasikilize, kwani mm kuwa rafiki yako wanapungukiwa nini? Hebu wahudhurie clinic mapema
Washamba hao..
Alafu mi hawanipi shida hao ndgu yangu so don't complicate na hao machizi kina Vishu Mtata
 
Mimi ni Mwanaume wa miaka
27 ,
Dini yangu , ni muslam.
naishi DAR
kazi yangu ni nimejiajili
elimu yangu ni DEGREE.

Natafuta mke mwenye SIFA zifuatazo ,

*awe muslam

*Awe anaishi dar
*awe ameajiliwa au anafanya biashara

awe na miaka kwanzia 20 adi 26.

*ALIYE TAYALI NA MWENYE SIFA HIZO ANIFUATE PM
Hatuna waislam vichaa na dogo kila siku umri wako unabadilika leo 27 juzi ulikua na 25.
 
Back
Top Bottom