Daudi1
JF-Expert Member
- Dec 14, 2013
- 12,444
- 18,741
Nimeshtuka sana! kumbe na wewe umegunduaBado nafasi ipo kurudi chamani wewe wa kiume kaza acha kujilegeza legeza.
Inawezekana kabisa mbona wenzako wanaweza huko.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeshtuka sana! kumbe na wewe umegunduaBado nafasi ipo kurudi chamani wewe wa kiume kaza acha kujilegeza legeza.
Inawezekana kabisa mbona wenzako wanaweza huko.
Aaaah kama unasumbuliwa na vitu vidogo kama hivyo,wewe utakuwa na msongo sanaMtu anakupigia simu na namba ya Mtu mwengine sio ile ulioizoea. Unapokea unamuuliza Nani mwenzangu? Anakujibu Otea Mimi ni Nani😂😂
Lazima uogope kuna vitu havitaniwi alaaa 😂😂Sio miyeyusho mkuu..
Ngoja nikupe story mi mishangzi niliyo nayo sasa inatosha aiseee hao wa tabata hapana
Alafu kuna kitu naona unataka kukitengeneza hapa ambacho wee mwneyewe na bichwa hilo umeogopa 😄😄😄😄😄😄
Hakuna wa kukutukana, mtu akikutukana achana nae rafk yangu, watu wana stress. Unawezaje kumtukana mtu ili iweje? Kama amekosea mrekebishe. Sipendi kuona mtu anatukana mwenzake😂😂😂 Utaipiga fake id, zaidi zaidi nitatukanwa tu.
😄😄😄😄 Vishu hii issue seriously naomba nitangazie bana mkuuuHatuna waislam vichaa na dogo kila siku umri wako unabadilika leo 27 juzi ulikua na 25.
Yaan mda wote kuwaza ujinga ujinga tuu 😄😄😄😄Sanaa yaan sijui wakojee, kila mtu na life lake alaf humu tupo kama maghost hahaha,
Usiku ndio huwa tunawaza ujinga aache makasirikoYaan mda wote kuwaza ujinga ujinga tuu 😄😄😄😄
Anakupima kama masikio yanafanya kazi mjombaMtu anakupigia simu na namba ya Mtu mwengine sio ile ulioizoea. Unapokea unamuuliza Nani mwenzangu? Anakujibu Otea Mimi ni Nani😂😂
Sasa tunafanya kazi na kurefresh JF kidogoYaan mda wote kuwaza ujinga ujinga tuu 😄😄😄😄
Mimi ndo mana sihangaiki nao maana wengi wanawaza negatively sana....Usiku ndio huwa tunawaza ujinga aache makasiriko
Vishu Mtata 😁 😁 😁 🙌 🙏 😄Lazima uogope kuna vitu havitaniwi alaaa 😂😂
Kumbe 😃😃Mental health!
Jaman, miaka unajipangia mwenyewe, mm mwenye kila mwaka nina miaka 22, nitapanda nikiamuaHatuna waislam vichaa na dogo kila siku umri wako unabadilika leo 27 juzi ulikua na 25.
Ndio maana poor brain una akili nying😅Mimi ndo mana sihangaiki nao maana wengi wanawaza negatively sana....
Mi nikiamua kupotezea ishu za kunitoa kwa mstari napotezea kweli...Ndio maana poor brain una akili nying😅
Happy new year my friendNoo
Its just sipendi usumbufu😂
Mtu akiniambia hivyo huwa namwambia Nikikuambia utakubali? 😅😅😅Take it easy bro usiji stress na vitu vidgo.
Mtu akikuambia " niambie" mjibu sina cha kukuambia lete habar, ukiona hana jambo muhimu la kuongea na muda huo una shughuli zako mwambie tu kwamba naomba nikupigie baadae nina kazi.