Watanzania wengi kweli tuna changamoto ya Afya ya akili

Watanzania wengi kweli tuna changamoto ya Afya ya akili

Mimi huwa nawaambia baba au mama anapiga. Mtu hawezi kuzingua kwa sababu ni watu muhimu.
Vitu vingine ni dhalau aise! Pengine umempigia kwa salio lako, anakwambia kata kwanza. Ina maanaunachoongea wewe ni pumba? Na kwa tabia za kiafrika, mtu anaekufanyia hivi, thamani yako kwake huwa ni ndogo ukilinganisha na anaemfanya akukatie simu au akusubilishe. Inakela na hata kama ni mama mzazi utajuta. Mi siwezi. Labda uniandae mapema kabisa, kwamba kuna simu nyingine unasubiri na kama ni ya mhimu, ntaona kawaida.
 
Vitu vingine ni dhalau aise! Pengine umempigia kwa salio lako, anakwambia kata kwanza. Ina maanaunachoongea wewe ni pumba? Na kwa tabia za kiafrika, mtu anaekufanyia hivi, thamani yako kwake huwa ni ndogo ukilinganisha na anaemfanya akukatie simu au akusubilishe. Inakela na hata kama ni mama mzazi utajuta. Mi siwezi. Labda uniandae mapema kabisa, kwamba kuna simu nyingine unasubiri na kama ni ya mhimu, ntaona kawaida.
Sasa hapo utakuwa sensitive sana mkuu, yani mama au baba wa mtu anampigia na unaona haina umuhimu.

Kuna wengine hatuongei daily na wazazi kwa hiyo nikiona simu lazma niweke mengine pembeni lakini lazma nikuombe kwa lugha ya kistaarabu na nikimaliza kuongea na wazazi nakupigia. Kuna lipi baya katika hilo
 
Sasa hapo utakuwa sensitive sana mkuu, yani mama au baba wa mtu anampigia na unaona haina umuhimu.

Kuna wengine hatuongei daily na wazazi kwa hiyo nikiona simu lazma niweke mengine pembeni lakini lazma nikuombe kwa lugha ya kistaarabu na nikimaliza kuongea na wazazi nakupigia. Kuna lipi baya katika hilo
Mi nimeongelea ukipigiwa wewe, au umempigia mtu hata huyo mzazi. Then anakwambia kata simu kwanza. Mara moja au mbili hakuna shida. Tatizo ikiwa mazoea. Na mpaka unafikia maamuzi hayo, si unakuwa umeshamtahadhalisha? Mfano wife nyumbani akiwa na tabia hiyo, utalichukuliaje?
 
Mara nyingi hao ni madem au watoto waliozaliwa baada ya mwaka 1999 kiufupi anataka mfanane umri👫
Ongezea na akili. Yaani mtu tena kakupigia mwenyewe, af eti subiri kwanza, au kata simu kwanza nipokee huyu. Ukimvumilia, ukipiga tena, utasikia hivo hivo. Mahousegirl au wanaofanana akili ndo wanaweza hayo. Hata kama nilikuwa na jambo, nakuacha kabisa.
 
Aaaah kama unasumbuliwa na vitu vidogo kama hivyo,wewe utakuwa na msongo sana
Aloooo usimlaumu bro. Ukiwa chini ya miaka 25 utaona kawaida. Mtu kukuuliza nani, ni kwamba hajakutambua. Kujitambulisha unapungukiwa nini? Ni yale yale mtu akili zake za kuku anataka na wewe zifanane.
 
Back
Top Bottom