Nimeshtuka sana! kumbe na wewe umegunduaBado nafasi ipo kurudi chamani wewe wa kiume kaza acha kujilegeza legeza.
Inawezekana kabisa mbona wenzako wanaweza huko.
Aaaah kama unasumbuliwa na vitu vidogo kama hivyo,wewe utakuwa na msongo sanaMtu anakupigia simu na namba ya Mtu mwengine sio ile ulioizoea. Unapokea unamuuliza Nani mwenzangu? Anakujibu Otea Mimi ni Naniππ
Lazima uogope kuna vitu havitaniwi alaaa ππSio miyeyusho mkuu..
Ngoja nikupe story mi mishangzi niliyo nayo sasa inatosha aiseee hao wa tabata hapana
Alafu kuna kitu naona unataka kukitengeneza hapa ambacho wee mwneyewe na bichwa hilo umeogopa ππππππ
Hakuna wa kukutukana, mtu akikutukana achana nae rafk yangu, watu wana stress. Unawezaje kumtukana mtu ili iweje? Kama amekosea mrekebishe. Sipendi kuona mtu anatukana mwenzakeπππ Utaipiga fake id, zaidi zaidi nitatukanwa tu.
ππππ Vishu hii issue seriously naomba nitangazie bana mkuuuHatuna waislam vichaa na dogo kila siku umri wako unabadilika leo 27 juzi ulikua na 25.
Yaan mda wote kuwaza ujinga ujinga tuu ππππSanaa yaan sijui wakojee, kila mtu na life lake alaf humu tupo kama maghost hahaha,
Usiku ndio huwa tunawaza ujinga aache makasirikoYaan mda wote kuwaza ujinga ujinga tuu ππππ
Anakupima kama masikio yanafanya kazi mjombaMtu anakupigia simu na namba ya Mtu mwengine sio ile ulioizoea. Unapokea unamuuliza Nani mwenzangu? Anakujibu Otea Mimi ni Naniππ
Sasa tunafanya kazi na kurefresh JF kidogoYaan mda wote kuwaza ujinga ujinga tuu ππππ
Mimi ndo mana sihangaiki nao maana wengi wanawaza negatively sana....Usiku ndio huwa tunawaza ujinga aache makasiriko
Vishu Mtata π π π π π πLazima uogope kuna vitu havitaniwi alaaa ππ
Kumbe ππMental health!
Jaman, miaka unajipangia mwenyewe, mm mwenye kila mwaka nina miaka 22, nitapanda nikiamuaHatuna waislam vichaa na dogo kila siku umri wako unabadilika leo 27 juzi ulikua na 25.
Ndio maana poor brain una akili nyingπMimi ndo mana sihangaiki nao maana wengi wanawaza negatively sana....
Mi nikiamua kupotezea ishu za kunitoa kwa mstari napotezea kweli...Ndio maana poor brain una akili nyingπ
Happy new year my friendNoo
Its just sipendi usumbufuπ
Mtu akiniambia hivyo huwa namwambia Nikikuambia utakubali? π π πTake it easy bro usiji stress na vitu vidgo.
Mtu akikuambia " niambie" mjibu sina cha kukuambia lete habar, ukiona hana jambo muhimu la kuongea na muda huo una shughuli zako mwambie tu kwamba naomba nikupigie baadae nina kazi.