Watanzania wengi ni wanafiki sana

Watanzania wengi ni wanafiki sana

Mbowe mjanja sana. Alishajua yale maandamano yamesharatibiwa vizuri na CCM ndo maana akapeleka watoto wake. Ningemwona shujaa angepeleka watoto kwenye yale maandamno ya UKUTA enzi za JPM.
Mtasema yote mwaka huu
 
Unafiki ni pamoja na kuamini kuwa Chadema waliandamana kwa ajili ya wananchi
 
Jana kulikua na maandamano ya chadema yalikuwa yanalenga kuaddress kero tofauti tofauti na ilikua ni hiyari na sio lazima.

Mimi binafsi sikuandamana sababu watanzania ni wanafki na kumpigania mtu mpumbavu kama Mtanzania ni kupoteza muda na nguvuila ila kamwe siwezi wabeza waliondomana kwa namna yeyote ile.

Ila ajabu kuna watu wanawabeza chadema mara hawakua na watu wengi walikua wachache, bodaboda walikua wachache na maneno mengine ya kashfa.

Ila watu hao hao wanaobeza maandamano ya jana utawakuata kwenye nyuzi nyingine hapa hapa jamiiforum wanailalamikia serekali
  • Kukatika umeme ovyo
  • Bidhaa zinapanda bei hovyo,
  • mara huduma kwenye ofisi za serekali zimekua mbovu,
  • mara kuna upendeleo wa ajira kwenye baadhi ya taasisi za serekali.
  • Ubovu wa miundombinu
Ajabu ikitokea mtu anapaza sauti anambeza alafu mda huo huo analalamika ugumu wa maisha hii inaonyesha ni jinsi gani alivyokua mnafki na hii ndo tabia ya watanzania wengi.

Hata kwenye maisha ya kawaida unaweza ukawa unampigania sana mtu ila akienda upande wa pili anakuponda vibaya mno.

Ndo katika yale matatizo matatu ya nyerere aliyoyasema ujinga, umaskini na maradhi inatakiwa liongezeke la nne unafki
Mlipewa umeme, maji, rushwa ilipunguzwa, nidhamu serikalini, mfumuko wa bei kuthibitiwa kama nauli, chakula, mafuta, nishati, mkajengewa vituo vya afya, mashule, masoko, stand za mabasi, vituo vya ndege, watoto wenu wakapewa elimu bure, barabara zikajengwa kwa ajili yenu kufanya shuguli zenu.

Hakukuwa na tozo, kodi vitu vya ajabu.

Aliambuli nini? Matusi ujuaji na ujinga wa kitoto, kebehi, kejeri, akabadilika hakujali tena maoni yenu.
 
Mlipewa umeme, maji, rushwa ilipunguzwa, nidhamu serikalini, mfumuko wa bei kuthibitiwa kama nauli, chakula, mafuta, nishati, mkajengewa vituo vya afya, mashule, masoko, stand za mabasi, vituo vya ndege, watoto wenu wakapewa elimu bure, barabara zikajengwa kwa ajili yenu kufanya shuguli zenu.

Aliambuli nini? Matusi ujuaji na ujinga wa kitoto, kebehi, kejeri, akabadilika hakujali tena maoni yenu.
Ndo akaja na bunge hili la mchongo? Magu aliwafanya cdm maadui hili lilikua kosa kubwa maana maadui ni mbogamboga,


Si unaona wanavomsifia mama saivi kuwa anaifungua nchi, ilifungwa? Kama ilifungwa nani aliifunga? Anaupiga mwingi?
 
Ndo akaja na bunge hili la mchongo? Magu aliwafanya cdm maadui hili lilikua kosa kubwa maana maadui ni mbogamboga,


Si unaona wanavomsifia mama saivi kuwa anaifungua nchi, ilifungwa? Kama ilifungwa nani aliifunga? Anaupiga mwingi?
Makosa mengine aliyafanya alipoona hata afanye nini hawezi kukubalika na upande fulani wa Watanzania.

Uchaguzi wa pili 2020 aliamua awe dikteta kamili. Akiamini atamaliza miaka mitano. Ataivusha nchi awaachie nchi yenu.

Of course hakuwa malaika ila wewe ungefanyaje?
 
Makosa mengine aliyafanya alipoona hata afanye nini hawezi kukubalika na upande fulani wa Watanzania.

Uchaguzi wa pili 2020 aliamua awe dikteta kamili. Akiamini atamaliza miaka mitano. Ataivusha nchi awaachie nchi yenu.

Of course hakuwa malaika ila wewe ungefanyaje?
Ningewashikilia cdm mkuu
 
Ila watu hao hao wanaobeza maandamano ya jana utawakuata kwenye nyuzi nyingine hapa hapa jamiiforum wanailalamikia serekali
  • Kukatika umeme ovyo
  • Bidhaa zinapanda bei hovyo,
  • mara huduma kwenye ofisi za serekali zimekua mbovu,
  • mara kuna upendeleo wa ajira kwenye baadhi ya taasisi za serekali.
  • Ubovu wa miundombinu
Ajabu ikitokea mtu anapaza sauti juu ya hizo changamoto anambeza alafu mda huo huo analalamika ugumu wa maisha hii inaonyesha ni jinsi gani alivyokua mnafki na hii ndo tabia ya watanzania wengi.
Jamii yetu inabadilika taratibu, Kuna nyakati zinakuja wataelewa haki zao na wajibu wao kwa nchi hii.
 
Hao chadomo miaka yote hatujaona wakitatuwa kero hata moja kwenye majimbo yao.

Kero ya ndani ya chama ya kuwa chama cha kifalme haijatatuliwa.
Mrembo,
Umeandika nini hiki?
Wewe kapige kambi kule MMU, huku huwezi
 
Kazi ya Maandamano iliyofanyika jana ni kazi tukufu kabisa. Huo ni mwanzo tu. Maandamano yajayo yatakuwa na watu wengi zaidi.
 
Kwani,mpaka waandamane? Wawakilishi wao bungeni wana kazi gani? Au mbona issue nyingine zikilipotiwa kupitia vyombo mbali mbali zinafanyiwa kazi!
 
Hao chadomo miaka yote hatujaona wakitatuwa kero hata moja kwenye majimbo yao.

Kero ya ndani ya chama ya kuwa chama cha kifalme haijatatuliwa.
Ufalme ni mfumo ambao upo kila mahali, hata nyumbani wababa huzani wao ndio wafalme hakuna wakuwaambia kitu...

Chadema kuongozwa na Mbowe hakuna tofauti ya raisi wa nchi na kuwa mwenyekiti wa chama.
 
Hao chadomo miaka yote hatujaona wakitatuwa kero hata moja kwenye majimbo yao.

Kero ya ndani ya chama ya kuwa chama cha kifalme haijatatuliwa.
[emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23] natamani nikuone jukwaan kwa muda mrefu Sana [emoji38]
 
Watz Ni mabongas nawashangaa chadomo wanawapambania watu wajinga
 
Back
Top Bottom