Watanzania wengi ni wanafiki sana

Watanzania wengi ni wanafiki sana

Wewe unaona sawa familia kama 1000 kuibia Tanzania kwa miaka na miaka. Unafikiri ni kazi rahisi kuwathibiti "kistaraabu".

Wana mirija kila kona, usalama, jeshini, serikalini, polisi, kila sehemu. Hawakubali, hawatakubali kukata, ukate mirija yao, ukiwa "mstaarabu" watakukata wewe. Wanaelewa lugha flani tu. Unafanyaje.

Ustaarabu ni kuchukua kuwasaidia wananchi wengi wa Taifa lako. Hiyo ndiyo demokrasia ya kweli. Kuzichukua kuna mbinu tofauti na kuna lugha wanayoisikia na kuielewa vizuri, haraka wenyewe kama Mafia, wahuni, majambazi na majangiri waliokubuhu lakini wana uso wa tabasamu na mtandao mzito.
Hatutaki viongozi mafisadi wala madikteta. Uchaguzi si lazima uwe kati ya aina hizo mbili tu. Na hawa wote kiuhalisia huwa mafisadi kwa mitindo tofauti tu.

CCM ndiyo imetengeneza mazingira hayo baada ya kuamua kutumia vyombo vya dola na hazina ya taifa kupora haki ya wananchi kuchagua viongozi wanaowataka kupitia sanduku la kura.

Kwanza dikteta anaingiaje kwenye uongozi wa nchi? Kwa kuchaguliwa na wananchi? Kwa katiba? Hakuna kitu kama hicho. Ni ujinga unaoendelea nchini ndio unafanya nchi iendeshwe kihuni na wahuni wanaopokezana zamu baada ya kuvunja nguvu za wananchi kuchagua viongozi wanaowataka.

Vilio vitaendelea nchi hii hadi siku akili zitakapowarejea wengi hasa machawa wa madikteta na mafisadi wa CCM. Watakapoelewa kuwa subservience kwa wahuni haina tija kwa taifa, hatimaye.
 
... TIMING WALIIKOSEA! ... yaani kama wangepambana na Mzee Magu kama Raila alivyolianzisha na Ruto tungeona KWELI! ... HIT THE IRON WHILE STILL RED HOT!
'NA HII NI KWELI KABISA'! 😅
Tanzania haya ndo maandamano ya kwanza kurusiwa na serekali tokea mfumo wa vyama vingi kuanza mwaka 1992

Bado wananchi hawakushiriki sababu ya hofu
 
Jana kulikua na maandamano ya chadema yalikuwa yanalenga kuaddress kero tofauti tofauti na ilikua ni hiyari na sio lazima.

Mimi binafsi sikuandamana sababu watanzania ni wanafki na kumpigania mtu mpumbavu kama Mtanzania ni kupoteza muda na nguvu ila ila kamwe siwezi wabeza waliondomana kwa namna yeyote ile.

Ila ajabu kuna watu wanawabeza chadema mara hawakua na watu wengi walikua wachache, bodaboda walikua wachache na maneno mengine ya kashfa.

Ila watu hao hao wanaobeza maandamano ya jana utawakuata kwenye nyuzi nyingine hapa hapa jamiiforums wanailalamikia serekali
  • Kukatika umeme ovyo
  • Bidhaa zinapanda bei hovyo,
  • mara huduma kwenye ofisi za serekali zimekua mbovu,
  • mara kuna upendeleo wa ajira kwenye baadhi ya taasisi za serikali.
  • Ubovu wa miundombinu
Ajabu ikitokea mtu anapaza sauti anambeza halafu muda huo huo analalamika ugumu wa maisha hii inaonyesha ni jinsi gani alivyokua mnafki na hii ndio tabia ya watanzania wengi.

Hata kwenye maisha ya kawaida unaweza ukawa unampigania sana mtu ila akienda upande wa pili anakuponda vibaya mno.

Ndio katika yale matatizo matatu ya Nyerere aliyoyasema ujinga, umaskini na maradhi inatakiwa liongezeke la nne unafki
Nilishawahi kusema huko Nyuma, hakuna Watu Wapumbavu na Wanafiki kama Watanzania, kwa Africa hii tunashika namba moja...!

Ukitoka nje ya Tanzania, hata hapa hapa Africa, ukatembelea nchi 2 ama 3, ndo utagundua Uzuzu wa Watanzania.
 
Jana kulikua na maandamano ya chadema yalikuwa yanalenga kuaddress kero tofauti tofauti na ilikua ni hiyari na sio lazima.

Mimi binafsi sikuandamana sababu watanzania ni wanafki na kumpigania mtu mpumbavu kama Mtanzania ni kupoteza muda na nguvu ila ila kamwe siwezi wabeza waliondomana kwa namna yeyote ile.

Ila ajabu kuna watu wanawabeza chadema mara hawakua na watu wengi walikua wachache, bodaboda walikua wachache na maneno mengine ya kashfa.

Ila watu hao hao wanaobeza maandamano ya jana utawakuata kwenye nyuzi nyingine hapa hapa jamiiforums wanailalamikia serekali
  • Kukatika umeme ovyo
  • Bidhaa zinapanda bei hovyo,
  • mara huduma kwenye ofisi za serekali zimekua mbovu,
  • mara kuna upendeleo wa ajira kwenye baadhi ya taasisi za serikali.
  • Ubovu wa miundombinu
Ajabu ikitokea mtu anapaza sauti anambeza halafu muda huo huo analalamika ugumu wa maisha hii inaonyesha ni jinsi gani alivyokua mnafki na hii ndio tabia ya watanzania wengi.

Hata kwenye maisha ya kawaida unaweza ukawa unampigania sana mtu ila akienda upande wa pili anakuponda vibaya mno.

Ndio katika yale matatizo matatu ya Nyerere aliyoyasema ujinga, umaskini na maradhi inatakiwa liongezeke la nne unafki
Hayo maandamano si yalikuwa ya wanasiasa , hamna hata sehem mmoja kulikuwa na mambo ya kulalamikia sukari , na kupanda kwa bidhaa , bali ni kupata tume huru itakayowafanya waendele kupata vyeo

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Ila watu hao hao wanaobeza maandamano ya jana utawakuata kwenye nyuzi nyingine hapa hapa jamiiforum wanailalamikia serekali
  • Kukatika umeme ovyo
  • Bidhaa zinapanda bei hovyo,
  • mara huduma kwenye ofisi za serekali zimekua mbovu,
  • mara kuna upendeleo wa ajira kwenye baadhi ya taasisi za serekali.
  • Ubovu wa miundombinu
Ajabu ikitokea mtu anapaza sauti juu ya hizo changamoto anambeza alafu mda huo huo analalamika ugumu wa maisha hii inaonyesha ni jinsi gani alivyokua mnafki na hii ndo tabia ya watanzania wengi.
Chadema walichokosea ni kuchomekea mambo ya tume ya uchaguzi, hapo ndio watu wakashtuka, wanaandamana kwa ajili ya maslahi yao binafsi . Usifikiri watu ni wajinga, hiyo ya ugumu wa maisha ni kuzuga tu,
 
Unaf
Jana kulikua na maandamano ya chadema yalikuwa yanalenga kuaddress kero tofauti tofauti na ilikua ni hiyari na sio lazima.

Mimi binafsi sikuandamana sababu watanzania ni wanafki na kumpigania mtu mpumbavu kama Mtanzania ni kupoteza muda na nguvu ila ila kamwe siwezi wabeza waliondomana kwa namna yeyote ile.

Ila ajabu kuna watu wanawabeza chadema mara hawakua na watu wengi walikua wachache, bodaboda walikua wachache na maneno mengine ya kashfa.

Ila watu hao hao wanaobeza maandamano ya jana utawakuata kwenye nyuzi nyingine hapa hapa jamiiforums wanailalamikia serekali
  • Kukatika umeme ovyo
  • Bidhaa zinapanda bei hovyo,
  • mara huduma kwenye ofisi za serekali zimekua mbovu,
  • mara kuna upendeleo wa ajira kwenye baadhi ya taasisi za serikali.
  • Ubovu wa miundombinu
Ajabu ikitokea mtu anapaza sauti anambeza halafu muda huo huo analalamika ugumu wa maisha hii inaonyesha ni jinsi gani alivyokua mnafki na hii ndio tabia ya watanzania wengi.

Hata kwenye maisha ya kawaida unaweza ukawa unampigania sana mtu ila akienda upande wa pili anakuponda vibaya mno.

Ndio katika yale matatizo matatu ya Nyerere aliyoyasema ujinga, umaskini na maradhi inatakiwa liongezeke la nne unafki
iki husababishwa na Ujinga !
Mtu mwerevu hawezi kuwa mnafiki !!
 
H
Chadema walichokosea ni kuchomekea mambo ya tume ya uchaguzi, hapo ndio watu wakashtuka, wanaandamana kwa ajili ya maslahi yao binafsi . Usifikiri watu ni wajinga, hiyo ya ugumu wa maisha ni kuzuga tu,
Watu wengi walikuwa wanaamini maandamano yasingekuwepo na wengine walidhani kutakuwepo na vurugu !!
Naamini maandamano mengine yatakapoitishwa utaona tofauti kubwa sana !!
Kwa Dar es salaam maandamano yanafaa miezi ya baridi baridi kuanzi june mpaka September maana miezi mingine ni jua kali sana 😅😅🙏
 
Mlipewa umeme, maji, rushwa ilipunguzwa, nidhamu serikalini, mfumuko wa bei kuthibitiwa kama nauli, chakula, mafuta, nishati, mkajengewa vituo vya afya, mashule, masoko, stand za mabasi, vituo vya ndege, watoto wenu wakapewa elimu bure, barabara zikajengwa kwa ajili yenu kufanya shuguli zenu.

Hakukuwa na tozo, kodi vitu vya ajabu.

Aliambuli nini? Matusi ujuaji na ujinga wa kitoto, kebehi, kejeri, akabadilika hakujali tena maoni yenu.
Kabisa !
 
Back
Top Bottom