Watanzania wengi wakishajenga nyumba ya kuishi wanaona wamemaliza ndoto

Watanzania wengi wakishajenga nyumba ya kuishi wanaona wamemaliza ndoto

Ni vitabu vya kayosaki vinawaharibu vijana; halafu anayekuambia nyumba ya kuishi ni liability yeye anamiliki gari ya kutembelea😂😂😂
Kwani ukirent sehemu ya kuishi hiyo hela inarudi? Kimsingi ni consumption tena ni once and for all; wakati nyumba ya kuishi una consume na unaretain ownership of the asset..
Jenga nyumba pangisha hyo Ndo point..
 
Usitegemee ujenge nyumba ya Millions 30 kwaajili ya wew kuishi na hyo hela ikarudi hairudi ng’o
Kwa hiyo hiyo hela unayo enda kupangisha kwenye apartment
kila mwaka itarudi?
Nyumba ni hitaji la muhimu kwa kila binadamu ila kwa sababu ya umasikini ndo maana unaona kujenga nyumba ni anasa.

Alafu hii hoja yenu ya sijui Ulaya watu hawajengi bali wana panga ni hoja ya kipumbavu kwa sababu hapa sio Ulaya bali ni Africa.
 
Kwani kuvuta umeme Au Kuingiza maji sio sehemu ya gharama za ujenzi??? Kwan gharama za luku na bills za maji Kama ukirent haulipi????
Jibu swali hizo gharama zinarudi vipi? Okay nimepanga chumba cha 30 per month Lkn naingiza faida 100k per month hzo expenses za chumba ninacho ishi ni sehem ya biashara hyo faida ya ziada kanunue viwanja
 
Pesa ya kuvuta umeme unaitoa wapi? Luku? Alafu unasema sio liability au utakaa bila kufanya marekebisho bila umeme bila maji hzo pesa zinarudi vipi?
Kwa hiyo ww ukipanga hutolipa luku,maji,hutokula,ukiumwa hutolipia matibabu,hutovaa, maana hivyo vyote vinahitaji pesa ambayo haitarudi.
 
Tunapambana kutafuta hela hekeheka za kufa mtu, halafu mtu huyu akishajenga nyumba ya kuishi anaona amemaliza ndoto yake aliyokuwa anaipigania anapunguza mapambano.

Hapo yeye anatafuta hela ya kula tu basi. Niwakumbushe kujenga si maendeleo bali ni hitaji la lazima tupambane zaidi tupate maendeleo.
Wengi kiasi gani na kwa utafiti upi?
 
Kwa hiyo hiyo hela unayo enda kupangisha kwenye apartment
kila mwaka itarudi?
Nyumba ni hitaji la muhimu kwa kila binadamu ila kwa sababu ya umasikini ndo maana unaona kujenga nyumba ni anasa.

Alafu hii hoja yenu ya sijui Ulaya watu hawajengi bali wana panga ni hoja ya kipumbavu kwa sababu hapa sio Ulaya bali ni Africa.
Nyumba sio hitaji la muhimu sio kila mtu ana nyumba... appartment unalipa hela ndogo sana na hela unayolipa unaweza kuiingiza mara mbili zaidi kwa siku moja.. Kwan ulaya hamna ardhi ya kujenga???
 
Kwa hiyo ww ukipanga hutolipa luku,maji,hutokula,ukiumwa hutolipia matibabu,hutovaa, maana hivyo vyote vinahitaji pesa ambayo haitarudi.
Wew vipi mbona haufikiriii 😂

ukila ndo unapata nguvu ya kutafuta pesa ni hitaji la kimwili ni lalazima na usipo kula utokosa nguvu ya kutafuta...

Ukiumwa baada ya matibabu pesa inarudi afya ni mtaji

Kuvaa ni lazma hauwez kukaa uchi

umeme ni biashara ya mwenye nyumba mwenye akili aliye fikiria kuwa akijenga na kuishi yeye hatopata hyo pesa yako

Umenielewa?
 
Kwa hiyo ww ukipanga hutolipa luku,maji,hutokula,ukiumwa hutolipia matibabu,hutovaa, maana hivyo vyote vinahitaji pesa ambayo haitarudi.
Na kingine ambacho hajui ni kuwa real estate business sio Biashara inayolipa sana hususani hapa Tanzania; data zote zinaonesha ni Biashara iliyo stagnant kwa sababu ya nature ya Biashara yenyewe. Ukijengq nyumba ya kupangisha inavyotakiwa, obviously itaatract higher rent costs normally per Sqm ambazo wa bongo wengi hawawezi kulipa. Lakini pia unatakiwa kuzingatia vitu vingi basic, Mfano accessibility (roads nk) power back up, security, water tanks, nk

Sasa Ndiyo Mbongo anajidanganya atatumia 40M yake kujenga nyumba ya kupangisha.
Nyumba sio hitaji la muhimu sio kila mtu ana nyumba... appartment unalipa hela ndogo sana na hela unayolipa unaweza kuiingiza mara mbili zaidi kwa siku moja.. Kwan ulaya hamna ardhi ya kujenga???
 
Na kingine ambacho hajui ni kuwa real estate business sio Biashara inayolipa sana hususani hapa Tanzania; data zote zinaonesha ni Biashara iliyo stagnant kwa sababu ya nature ya Biashara yenyewe. Ukijengq nyumba ya kupangisha inavyotakiwa, obviously itaatract higher rent costs normally per Sqm ambazo wa bongo wengi hawawezi kulipa. Lakini pia unatakiwa kuzingatia vitu vingi basic, Mfano accessibility (roads nk) power back up, security, water tanks, nk

Sasa Ndiyo Mbongo anajidanganya atatumia 40M yake kujenga nyumba ya kupangisha.
Google imekuchanganya tayari njoo Kigamboni jenga self tatu tu, chumba kimoja selfu ni 100k vyumba vitatu ni 300k sasa usinambie ujenge chumba jiko na sitting room mara Tatu moja tu ni 250k
 
Na kingine ambacho hajui ni kuwa real estate business sio Biashara inayolipa sana hususani hapa Tanzania; data zote zinaonesha ni Biashara iliyo stagnant kwa sababu ya nature ya Biashara yenyewe. Ukijengq nyumba ya kupangisha inavyotakiwa, obviously itaatract higher rent costs normally per Sqm ambazo wa bongo wengi hawawezi kulipa. Lakini pia unatakiwa kuzingatia vitu vingi basic, Mfano accessibility (roads nk) power back up, security, water tanks, nk

Sasa Ndiyo Mbongo anajidanganya atatumia 40M yake kujenga nyumba ya kupangisha.
Nenda Dodoma kuanzia maili mbili mpaka maeneo ya veyula vyumba vinatafutwa kama Almas.. chumba hakina umeme single 40k na ukitaka marekebisho unatengeneza kwa hela yako
 
Me naona kila mmoja ana hatua aliyojiwekea akifika ni haki yake kurelax maisha yenyewe hayana miadi una 100m benki kesho unakanyagwa na semi na ulivyombinafsi hamna ndugu yako anejua kwamba una hicho kiasi benki wafanyakazi wa benki wanaifanyia manuva wanawithdra wanaila 😁😁😁😁
 
Nyumba sio hitaji la muhimu sio kila mtu ana nyumba... appartment unalipa hela ndogo sana na hela unayolipa unaweza kuiingiza mara mbili zaidi kwa siku moja.. Kwan ulaya hamna ardhi ya kujenga???
Nyumba sio hitaji muhimu kwa maoni yako ww na si kwa wengine.

Hapa duniani kila mtu ana kipaumbele chake ambacho anaona ni muhimu kwake na si lazima tufanane.
Kama ww unavyo uona nyumba sio muhimu,pia na ww kuna kitu unacho kiona ni muhimu lakini mimi sioni umuhimu wake kwenye maisha yangu.

Na ndio maana kipindi ww unamshangaa mtu anaye pata pesa akaipeleka kwenye ujenzi wa nyumba itakayo dumu miaka na miaka kuna mtu akipata pesa anaenda kuzinywa pombe ambayo ndani ya dakika 10 anaenda kuzikojoa ,kuna mwingine ana zitumia kuhonga wanawake, au ana enda kuzichezea kamari zinaliwa zote.

Mkuu acha kujifariji ww kama umeshindwa kujenga ni kwasababu ya umasikini wako na si kwa sababu eti haupendi.
Yaani ww hoja yako ni sawa na kumshangaa mtu ni kwanini ananunua gari la million 70 badala ya kununua gari la milion 10 alafu na hizo tabia huwa wanazo masikini.

Umeniuliza kuwa kwani Ulaya hakuna ardhi ya kujenga?
Na ww nikuulize kwani Africa hatuna ardhi ya kujenga miundo mbinu mizuri kama iliyoko Ulaya,mbona hatujaijenga?
Au Africa hatuna ardhi ya kujenga viwanda kama vilivyoko ulaya?
 
Watu wenye akili za kitajiri wanatumia pesa kuongeza pesa, Akili ya kimasikini anatumia pesa kuonekana ana pesa.

Mfano hawa watu wawili wanaweza fanya kazi kwenye kampuni moja wote wakachukua mshahara wa laki5.

Mwenye akili ya kimasikini atakimbilia appartment, TV, sofa kali, Simu kali, Mavazi classic ili wengine wamuone anazo na ndiyo utakua mfumo wake forever.

Mwenye akili ya kitajiri atakimbilia kuwekeza aidha kilimo, ufugaji au biashara hata kama biashara ndogondogo huku akiamini siku1 atanunua kila anachokitamani bila kuathiri kipato.


View attachment 3190843
Unge-tutafsiria kwa kisukuma ili tuelewe mnaongelea nini, ili kama nasi tunaweza kuchangia tumbaku zetu au mnataka ruby pekee.
 
Back
Top Bottom