Watanzania wengi wakishajenga nyumba ya kuishi wanaona wamemaliza ndoto

True
 
Nashangaa. Na hizo apartments anajua rent yake ya mwezi? Hapa jirani kuna apartments kodi 1m kwa mwezi, umeme na maji juu yako. Sasa hiyo nyumba utakayojenga upangishe kwa 1 au 3 m ni wapi huko zaidi ya prime areas ambazo kiwanja tu kinaanzia 70m. Si bora ujenge uushi humo then hela za kodi ya mwezi uwekeze kwingine.
 
Ulaya kwenyewe kumiliki apartment ni jambo muhimu kwa walio wengi. Nafanya kazi nao Tz na wengi wana save na kwenda kununua apartment kwao huko.
 
Binafsi nawaunga mkono wooote waliojipatia makazi ya kudumu na wanaweza kupata pesa ya kula hivyo wanakula, wanalala na kufanya ngono kama ng'ombe tu wakisubiri kufa maana hakuna namna.
 
Kawaulize wazungu wa Ulaya na Marekani kama kujenga nyumba siyo maendeleo, watakupatia majibu sahihi kabisa.
 
Usitegemee ujenge nyumba ya Millions 30 kwaajili ya wew kuishi na hyo hela ikarudi hairudi ng’o
Sasa boss kama nimepanga hiyo kodi mwenye nyumba ananirudisha mwisho wa mwaka?
 

Wanatembea vifua mbele sababu anakaa kwenye ghorofa alilojenga 😂 😂 😂 😂
 
Kawaulize wazungu wa Ulaya na Marekani kama kujenga nyumba siyo maendeleo, watakupatia majibu sahihi kabisa.
Naomba unielekeze wewe.mi uelewa wangu kujenga nyumba1 ni hitaji la lazima si maendeleo.maendeleo ni kuwa na zaidi ya nyumba moja,hata pikipiki ukinunuwa ya pili hayo ni maendeleo.
 
Binafsi nawaunga mkono wooote waliojipatia makazi ya kudumu na wanaweza kupata pesa ya kula hivyo wanakula, wanalala na kufanya ngono kama ng'ombe tu wakisubiri kufa maana hakuna namna.
Ndiyo mwisho wa stori.yani mtu unajenga nyumba vymba3 unaona umemaliza hujikiti tena kutafuta zaidi uwekeze hii hapana aisee
 
Ndiyo mwisho wa stori.yani mtu unajenga nyumba vymba3 unaona umemaliza hujikiti tena kutafuta zaidi uwekeze hii hapana aisee
Mkuu, sio kila mtu humu duniani anaendekeza uwekezaji.

Tembelea pwani na Tanga ukutane na wazee wavaa misuli walioridhika na maisha.

Kwao, maisha ni Afya, chakula, makazi na ngono, wanaona nyinyi mnaohangaika na magorofa hamjui kwanini tupo hai.
 
Naomba unielekeze wewe.mi uelewa wangu kujenga nyumba1 ni hitaji la lazima si maendeleo.maendeleo ni kuwa na zaidi ya nyumba moja,hata pikipiki ukinunuwa ya pili hayo ni maendeleo.
Upo sahihi.

Kwa nchi kama za kwetu na aina ya uchumi uliopo, hata mwenye nyumba 1 ya makazi naye yupo kwenye maendeleo pia.

Nimetumia mfano wa Uk ama Us ili uone namna ilivyo ngumu sana kwa mwananchi kujenga nyumba kuliko kununua gari.

Sasa kwa nchi tajiri kama hizo zinaona kuwa na makazi ni maendeleo, iweje Tz kumiliki nyumba ya nakazi yasiwe ni maendeleo?

Kumiliki nyumba ama magari zaidi ya moja huo ni aina ya uwekezaji na ni maendeleo pia.
 
Ulaya kwenyewe kumiliki apartment ni jambo muhimu kwa walio wengi. Nafanya kazi nao Tz na wengi wana save na kwenda kununua apartment kwao huko.
Tunazungumzia hapa mtu kajenga vyumba4 anajisahau.Huko kuwa na apartments ni maendeleo makubwa hayo.
 
Mkuu, sio kila mtu humu duniani anaendekeza uwekezaji.

Tembelea pwani na Tanga ukutane na wazee wavaa misuli walioridhika na maisha.

Kwao, maisha ni Afya, chakula, makazi na ngono, wanaona nyinyi mnaohangaika na magorofa hamjui kwanini tupo hai.
Dah ngono tena🙆
 
Google imekuchanganya tayari njoo Kigamboni jenga self tatu tu, chumba kimoja selfu ni 100k vyumba vitatu ni 300k sasa usinambie ujenge chumba jiko na sitting room mara Tatu moja tu ni 250k
Kibongo bongo real estate inayolipa kama unataka faida ni commercial real estate,

Hio nyumba unayosema huko kg, utakuta kuanzia Ardhi had umalize kujenga ili upangishe kwa 100k per room imesepa zaidi ya 50M, halafu kwa mwaka unaleta 3M,
Pesa hio itarudi ndani ya miaka 15, but advantage ni kuwa thamani ya ardhi itakuwa imedouble au kutriple ndani ya muda huo,
Ila laiti ungejenga nyumba ya either, frames, au lodge, kwa hio hela ungepiga mpunga mrefu sanaaaa, kwenye commercial real estate ndani ya miaka 3-5 hela yako inarudi,

Kama una mapesa mengi nyumba ya kupangisha sawa, ila kama una hela za kawaida, jenga yako ya kuishi, ila hio ya kujenga nyumba kwa 60M kisha uanze kula 300k kwa mwezi ni upuuzi
 
Haya maisha, mm sitaki kujitesa, ni mwendo wa kula wa Bata tu.. sio lazima niwe tajiri, na sio lazima niwe masikini.. vyovyote fresh. The first priority nikujipa Raha mwenyewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…