Blood of Jesus
JF-Expert Member
- Sep 19, 2016
- 4,486
- 8,098
wapo wengi tu. wapo ambao mababu zao walishafanyakazi wamewaachia utajiri., wapo walionunua Shea kwenye makampuni, wapo vilema/viwete- , wagonjwa wa kudunu-[yaani wasiojiweza,] wapo wale wanaolipwa na serikali zao fedha za kujikimu (wale ma jobless- hasa nchi zilizoendelea,) ...Mtu hafanyi kazi? yaani analala alafu anaishi?labda anainvestment au sijaelewa