Pre GE2025 Watanzania wengi wameanza kumfikiria Dr.Emmanuel Nchimbi kwa nafasi ya juu ya uongozi wa nchi tanzania baada ya Dr.Samia, kulikoni?

Pre GE2025 Watanzania wengi wameanza kumfikiria Dr.Emmanuel Nchimbi kwa nafasi ya juu ya uongozi wa nchi tanzania baada ya Dr.Samia, kulikoni?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
huu ni mwanzo mzuri kwa katibu mkuu wa CCM Dr. Emanuel Nchimbi baada ya maelezo yake yaliojaa hisia kali za uchungu, huruma ya kibinadamu na kukasirishwa na vitendo vya utekaji hususani dhidi ya utekaji na mauaji ya kikatili ya kamanda Ally Mohamed kibao kiongozi mwandamizi wa chadema..

Lakini pia ufafanuzi, msisitizo na maagizo yake kwa vyombo vya ulinzi na usalama dhidi ya kutekeleza maelekezo ya rais kuhusu uchunguzi wa haraka dhidi ya ukatili huo, na wito wake wa kiungwana sana kwa Chama, serikali na wananchi dhidi ya matukio hayo...

bila kujali vyama vyao vya kisiasa wengi wa waTanzani kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii, vyombo vya habari, kwenye mikusanyiko mbalimbali wamevutiwa na namna kutibu Mkuu huyu wa CCM alivyolichukulia Jambo hili la utekaji kwa uzito unaostahili..

na maoni ya wengi ni kwamba Dr Emanueli Nchimbi anafaa zaidi kushika hatamu za uongozi wa nchi baada ya Dr Samia Suluhu Hassan kuhitimisha ngwe yake ya pili 2030.

unadhani ni kwanini waTanzania katika umoja wao bila kujali itikadi za vyama vyao na misimamo yao ya kisiasa, wametokea kumkubalia, kumuamini na kudhani kwamba kiongozi huyu ni muafaka sana kwa nafasi ya juu ya uongozi wa nchi baada ya Dr Samia Suluhu Hassan atakapokamilisha ngwe yake ya pili uongozini kikatiba 2030?

Friends, ladies and gentlemen,
mmebadili mawazo ama tupo pamoja na SG Dr Emanuel Nchimbi sako kwa bako kuanzia 2030 na kuendelea?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
huu ni mwanzo mzuri kwa katibu mkuu wa CCM Dr. Emanuel Nchimbi baada ya maelezo yake yaliojaa hisia kali za uchungu, huruma ya kibinadamu na kukasirishwa na vitendo vya utekaji hususani dhidi ya utekaji na mauaji ya kikatili ya kamanda Ally Mohamed kibao kiongozi mwandamizi wa chadema..

Lakini pia ufafanuzi, msisitizo na maagizo yake kwa vyombo vya ulinzi na usalama dhidi ya kutekeleza maelekezo ya rais kuhusu uchunguzi wa haraka dhidi ya ukatili huo, na wito wake wa kiungwana sana kwa Chama, serikali na wananchi dhidi ya matukio hayo...

bila kujali vyama vyao vya kisiasa wengi wa watanzani kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii, vyombo vya habari, kwenye mikusanyiko mbalimbali wamevutia na namna kutibu Mkuu huyu wa CCM alivyolichukulia Jambo hili la utekaji kwa uzito unaostahili..

na maoni ya wengi ni kwamba Dr Emanueli Nchimbi anafaa zaidi kushika hatamu za uongozi wa nchi baada ya Dr Samia Suluhu Hassan..

unadhani ni kwanini waTanzania katika umoja wao bila kujali itikadi na misimamo yao ya kisiasa wametokea kumkubalia, kumuamini na kudhani kwamba kiongozi huyu ni muafaka sana kwa nafasi ya juu ya uongozi wa nchi baada ya Dr Samia Suluhu Hassan?

Friends, ladies and gentlemen,
mmebadili mawazo ama tupo pamoja na SG Dr Emanuel Nchimbi sako kwa bako hadi huko mbeleni?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Anapigiwa chapuo mkatoliki
 
huu ni mwanzo mzuri kwa katibu mkuu wa CCM Dr. Emanuel Nchimbi baada ya maelezo yake yaliojaa hisia kali za uchungu, huruma ya kibinadamu na kukasirishwa na vitendo vya utekaji hususani dhidi ya utekaji na mauaji ya kikatili ya kamanda Ally Mohamed kibao kiongozi mwandamizi wa chadema..

Lakini pia ufafanuzi, msisitizo na maagizo yake kwa vyombo vya ulinzi na usalama dhidi ya kutekeleza maelekezo ya rais kuhusu uchunguzi wa haraka dhidi ya ukatili huo, na wito wake wa kiungwana sana kwa Chama, serikali na wananchi dhidi ya matukio hayo...

bila kujali vyama vyao vya kisiasa wengi wa watanzani kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii, vyombo vya habari, kwenye mikusanyiko mbalimbali wamevutia na namna kutibu Mkuu huyu wa CCM alivyolichukulia Jambo hili la utekaji kwa uzito unaostahili..

na maoni ya wengi ni kwamba Dr Emanueli Nchimbi anafaa zaidi kushika hatamu za uongozi wa nchi baada ya Dr Samia Suluhu Hassan..

unadhani ni kwanini waTanzania katika umoja wao bila kujali itikadi na misimamo yao ya kisiasa wametokea kumkubalia, kumuamini na kudhani kwamba kiongozi huyu ni muafaka sana kwa nafasi ya juu ya uongozi wa nchi baada ya Dr Samia Suluhu Hassan?

Friends, ladies and gentlemen,
mmebadili mawazo ama tupo pamoja na SG Dr Emanuel Nchimbi sako kwa bako hadi huko mbeleni?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Unataka kumwingiza mwenzako kwenye vita ambavyo havina macho...Mwache afanye kazi yake ya Sasa Kwa ufanisi...
 
SG Yuko vizuri sana hapepesi macho anawakanusha hadharani wanaotoa matamko ya hovyo hovyo nadhani atafaa kubeba mikoba ya SSH 2030 Mungu akipenda.
 
huu ni mwanzo mzuri kwa katibu mkuu wa CCM Dr. Emanuel Nchimbi baada ya maelezo yake yaliojaa hisia kali za uchungu, huruma ya kibinadamu na kukasirishwa na vitendo vya utekaji hususani dhidi ya utekaji na mauaji ya kikatili ya kamanda Ally Mohamed kibao kiongozi mwandamizi wa chadema..

Lakini pia ufafanuzi, msisitizo na maagizo yake kwa vyombo vya ulinzi na usalama dhidi ya kutekeleza maelekezo ya rais kuhusu uchunguzi wa haraka dhidi ya ukatili huo, na wito wake wa kiungwana sana kwa Chama, serikali na wananchi dhidi ya matukio hayo...

bila kujali vyama vyao vya kisiasa wengi wa watanzani kupitia mitandao mbalimbali ya kijamii, vyombo vya habari, kwenye mikusanyiko mbalimbali wamevutia na namna kutibu Mkuu huyu wa CCM alivyolichukulia Jambo hili la utekaji kwa uzito unaostahili..

na maoni ya wengi ni kwamba Dr Emanueli Nchimbi anafaa zaidi kushika hatamu za uongozi wa nchi baada ya Dr Samia Suluhu Hassan..

unadhani ni kwanini waTanzania katika umoja wao bila kujali itikadi na misimamo yao ya kisiasa wametokea kumkubalia, kumuamini na kudhani kwamba kiongozi huyu ni muafaka sana kwa nafasi ya juu ya uongozi wa nchi baada ya Dr Samia Suluhu Hassan?

Friends, ladies and gentlemen,
mmebadili mawazo ama tupo pamoja na SG Dr Emanuel Nchimbi sako kwa bako hadi huko mbeleni?🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Unamaanisha SSH HATOGOMBEA 2025?
 
Back
Top Bottom