Watanzania wengi wapo slow karibu kwa kila kitu

Watanzania wengi wapo slow karibu kwa kila kitu

Watanzania tupo slow kwenye utoaji wa huduma jaman dah! Mhudumu anatanguliza dharau badala ya huduma
 
Avatar yako inaonesha we ni msukuma kabisa tena wa maganzo
Nawasalimu Kwa jina la Jamhuri,

Bado nafanya utafiti kujua ni sababu gani inayowafanya watanzania kuwa Slow karibu kwenye mambo yote. Suala la kufanya vitu Kwa wakati Kwa mtanzania ni kipengele.

i) Ukienda kwneye maofisi ya umma watumishi wengi wapo slow, yaani ishu ya dakika tatu inaweza chukua nusu saa. Yaani kazi kujizungusha zungusha, kwa kweli kwangu inaniwia ngumu nikifika ofisi za watu bila kugombana na watumishi. Slow! Very slow! Mpaka keep.

2. Misafara ya viongozi wetu nayo mambo nI yaleyale. Yaani magari yanaweza zuiawa lisaa lizima, ukiuliza ATI unaambiwa sijui kuna nani yupo wapi atapita. Hivi hii ni nini?

3. Kufuatilia vitambulisho mtindo ni uleule, yaani sio kwa hao NIDA wala sio kwa Raia. Wote wapo slow! Mtu anatafuta kitambulisho akiwa na shida nacho, akifika vinapotolewa anasubirishwa mpaka akome, vikitoka anatumiwa meseji njoo uchukue kitambulisho chako, haendi, anasubiri akiwa na shida nacho tena, mpaka unajiuliza hii inasababishwa na nini?

4. Ajiri mtu, kuchelewa ni kitu cha kawaida na excuse zisizo na Mbele wala Nyuma. Haya kuwa mwaminifu kufanya kazi, maboss nao wengi wao ni slow Sana kwenye kulipa mishahara Kwa wakati, hivi ninyi maboss hamuwezi kulipa mishahara watu mpaka mkumbushwe? Alafu ATI mnajitia mna mambo mengi, inakera Sana.

5. Mkopeshe MTU pesa yako, kwenye kukulipa ndio utajua haujui, wako very slow kulipa madeni, hivi tatizo ni nini?

Watu wasiojali muda hasa kwa kuwa slow slow wanatabia hizi;
1. Sio waaminifu
2. Hawajali
3. Wanafiki na waongo
4. Wabinafsi
5. Wanadharau

Tunahitaji viongozi watakaoweza kuibadilisha jamii yetu iwe inayofuata muda Kwa uaminifu. Sio MTU unakalishwaaa kwa jambo ambalo linauwezo wa kushughulikiwa kwa dakika mbili tuu. Sio wasomi, sio wasiosoma, Watanzania wengi tupo na tabia hizo.

Taikon acha nipumzike kwanza, pilau la leo lilikuwa tamu.

Robert Heriel,
Taikon wa Fasihi,
Kwa sasa Dar es Salaam.
 
Nawasalimu Kwa jina la Jamhuri,

Bado nafanya utafiti kujua ni sababu gani inayowafanya watanzania kuwa Slow karibu kwenye mambo yote. Suala la kufanya vitu Kwa wakati Kwa mtanzania ni kipengele.

i) Ukienda kwneye maofisi ya umma watumishi wengi wapo slow, yaani ishu ya dakika tatu inaweza chukua nusu saa. Yaani kazi kujizungusha zungusha, kwa kweli kwangu inaniwia ngumu nikifika ofisi za watu bila kugombana na watumishi. Slow! Very slow! Mpaka keep.

2. Misafara ya viongozi wetu nayo mambo nI yaleyale. Yaani magari yanaweza zuiawa lisaa lizima, ukiuliza ATI unaambiwa sijui kuna nani yupo wapi atapita. Hivi hii ni nini?

3. Kufuatilia vitambulisho mtindo ni uleule, yaani sio kwa hao NIDA wala sio kwa Raia. Wote wapo slow! Mtu anatafuta kitambulisho akiwa na shida nacho, akifika vinapotolewa anasubirishwa mpaka akome, vikitoka anatumiwa meseji njoo uchukue kitambulisho chako, haendi, anasubiri akiwa na shida nacho tena, mpaka unajiuliza hii inasababishwa na nini?

4. Ajiri mtu, kuchelewa ni kitu cha kawaida na excuse zisizo na Mbele wala Nyuma. Haya kuwa mwaminifu kufanya kazi, maboss nao wengi wao ni slow Sana kwenye kulipa mishahara Kwa wakati, hivi ninyi maboss hamuwezi kulipa mishahara watu mpaka mkumbushwe? Alafu ATI mnajitia mna mambo mengi, inakera Sana.

5. Mkopeshe MTU pesa yako, kwenye kukulipa ndio utajua haujui, wako very slow kulipa madeni, hivi tatizo ni nini?

Watu wasiojali muda hasa kwa kuwa slow slow wanatabia hizi;
1. Sio waaminifu
2. Hawajali
3. Wanafiki na waongo
4. Wabinafsi
5. Wanadharau

Tunahitaji viongozi watakaoweza kuibadilisha jamii yetu iwe inayofuata muda Kwa uaminifu. Sio MTU unakalishwaaa kwa jambo ambalo linauwezo wa kushughulikiwa kwa dakika mbili tuu. Sio wasomi, sio wasiosoma, Watanzania wengi tupo na tabia hizo.

Taikon acha nipumzike kwanza, pilau la leo lilikuwa tamu.

Robert Heriel,
Taikon wa Fasihi,
Kwa sasa Dar es Salaam.
Kwani
wewe ni mnyarwanda?
 
Watanzania hata tunapokutana tunapoteza dakika kumi mpaka kumi na tano kusalimiana tu.
Utamaduni utamaduni, Ivi bongo umpite mtu bila kumsalimia seriously utakuwa mgeni wa nani

Wazungu wenyewe kwao ni wapweke Kwa sababu hawapendi kujichanganya Wala kujaliana.
 
Utamaduni utamaduni, Ivi bongo umpite mtu bila kumsalimia seriously utakuwa mgeni wa nani

Wazungu wenyewe kwao ni wapweke Kwa sababu hawapendi kujichanganya Wala kujaliana.

Kwanini ufikirie kuwa mgeni wa fulani? Hayo ni mawazo tegemezi.

Siku zote fikiri kujitegemea / kutegemewa siyo kutegemea.

Wazungu inahusu nini?
 
Watanzania hata tunapokutana tunapoteza dakika kumi mpaka kumi na tano kusalimiana tu.

Sisi waswahili ni ngumu MTU kumsalimia juu Kwa juu, yaani umwambie Habari yako au asalamu alekum alafu umpite. Thubutu! Watasema unaringa.

Waswahili tunapenda umbeya, Baada ya salamu kinachofuata ni umbeya na kunafikiana
 
Kila mtu kawakosoa wa tanzania , sasa wenye hizo tabia wako wap ,au ndio unafki unaendelea?
 
Nikweli tuko slow hata tunavyotembea unaweza ukamgonga mtu kwenye zebra yaani!!!
Shida ni mitaala mashuleni kuanzia vile tunasalimia darasani shkaaaaaamooooooo mwaaaaaliiiimu ni uslow mwanzo mwisho!
Turejeshe michezo,kilimo,ufugaji mashuleni!!! Kilashule itenge eneo la bustani hata mbogamboga zilimwe watoto korofi washinde humo badala ya viboko au kurudishwa nyumbani

Ukishakuwa mtu wa kufuata muda hapo kazini wenzako watakuona mnoko na kiherehere 😀😀😀
 
Ni kweli kabisa, naunga mkono hoja I00%.

Matatizo yanayopekekea hayo ni mengi, pamoja na mila na desturi za Watanzania kuwa ni taifa la watu tegemezi.

Na Sisi ni tegemezi kwelikweli, hiyo inapelekea kuwa na Vijana wavivu.
 
Kuna Baadhi ya Mapadre na Maaskofu ni wabovu kwenye kutunza muda , unakuta wanatangaza misa itafanyika saa nne wao wanafika eneo la tukio saa sita !

Mtu akizidisha dakika kumi za makubaliano naondoka hiyo sehemu.
 
Back
Top Bottom