Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 28,297
- 68,017
- Thread starter
- #61
Ni kweli wabongo tupo very slow kwenye utoaji wa huduma, utaona mhudumu anaacha foleni anaenda kula badala ahudumie haraka amalize ndo aende.
• majiono na majigambo ya watoa huduma wanajiona wao ni tabaka jingine hapa duniani, dharau kwa wateja aisee! Ni janga kwakweli
Kula sio tatizo, tatizo linakuja anakula Kwa muda gani. Hapo ndipo shughuli ilipo.
Mtu anafika ofisini labda saa mbili Asubuhi, aanze kujizungusha weee! Kazi aanze saa tatu kasorobo kisha akihudumia tena mara atoketoke mara aingie Mfanyakazi mwenzake wajadili ishu za jana usiku, wewe imekaa tuu.
Saa nne imefika huyo kunywa chai, atakaa dakika 40 hiyo ni saa tano, kisha lunch ni saa Saba unusu saa nane.
Noma Sana.