Watanzania wengi wapo slow karibu kwa kila kitu

Watanzania wengi wapo slow karibu kwa kila kitu

Nawasalimu Kwa jina la Jamhuri,

Bado nafanya utafiti kujua ni sababu gani inayowafanya watanzania kuwa Slow karibu kwenye mambo yote. Suala la kufanya vitu Kwa wakati Kwa mtanzania ni kipengele.

i) Ukienda kwneye maofisi ya umma watumishi wengi wapo slow, yaani ishu ya dakika tatu inaweza chukua nusu saa. Yaani kazi kujizungusha zungusha, kwa kweli kwangu inaniwia ngumu nikifika ofisi za watu bila kugombana na watumishi. Slow! Very slow! Mpaka keep.

2. Misafara ya viongozi wetu nayo mambo nI yaleyale. Yaani magari yanaweza zuiawa lisaa lizima, ukiuliza ATI unaambiwa sijui kuna nani yupo wapi atapita. Hivi hii ni nini?

3. Kufuatilia vitambulisho mtindo ni uleule, yaani sio kwa hao NIDA wala sio kwa Raia. Wote wapo slow! Mtu anatafuta kitambulisho akiwa na shida nacho, akifika vinapotolewa anasubirishwa mpaka akome, vikitoka anatumiwa meseji njoo uchukue kitambulisho chako, haendi, anasubiri akiwa na shida nacho tena, mpaka unajiuliza hii inasababishwa na nini?

4. Ajiri mtu, kuchelewa ni kitu cha kawaida na excuse zisizo na Mbele wala Nyuma. Haya kuwa mwaminifu kufanya kazi, maboss nao wengi wao ni slow Sana kwenye kulipa mishahara Kwa wakati, hivi ninyi maboss hamuwezi kulipa mishahara watu mpaka mkumbushwe? Alafu ATI mnajitia mna mambo mengi, inakera Sana.

5. Mkopeshe MTU pesa yako, kwenye kukulipa ndio utajua haujui, wako very slow kulipa madeni, hivi tatizo ni nini?

Watu wasiojali muda hasa kwa kuwa slow slow wanatabia hizi;
1. Sio waaminifu
2. Hawajali
3. Wanafiki na waongo
4. Wabinafsi
5. Wanadharau

Tunahitaji viongozi watakaoweza kuibadilisha jamii yetu iwe inayofuata muda Kwa uaminifu. Sio MTU unakalishwaaa kwa jambo ambalo linauwezo wa kushughulikiwa kwa dakika mbili tuu. Sio wasomi, sio wasiosoma, Watanzania wengi tupo na tabia hizo.

Taikon acha nipumzike kwanza, pilau la leo lilikuwa tamu.

Robert Heriel,
Taikon wa Fasihi,
Kwa sasa Dar es Salaam.


Madhara ya kuishi ulaya halafu uje bongo uuuiiiii.

Kujuana ndio usiombee, kwenye ajira serikalini nenda mawizarani huko. Mwendo wanagamilia.

Kuna jamaa angu class mate college pamoja yaani amepayata wizara flan, kabla ya happy aliwekwa TPA amehamia wizarani anataka aondoke kisa hakuna masurufu. Unategemea huyu mtumishi atajali mteja??
 
Nawasalimu Kwa jina la Jamhuri,

Bado nafanya utafiti kujua ni sababu gani inayowafanya watanzania kuwa Slow karibu kwenye mambo yote. Suala la kufanya vitu Kwa wakati Kwa mtanzania ni kipengele.

i) Ukienda kwneye maofisi ya umma watumishi wengi wapo slow, yaani ishu ya dakika tatu inaweza chukua nusu saa. Yaani kazi kujizungusha zungusha, kwa kweli kwangu inaniwia ngumu nikifika ofisi za watu bila kugombana na watumishi. Slow! Very slow! Mpaka keep.

2. Misafara ya viongozi wetu nayo mambo nI yaleyale. Yaani magari yanaweza zuiawa lisaa lizima, ukiuliza ATI unaambiwa sijui kuna nani yupo wapi atapita. Hivi hii ni nini?

3. Kufuatilia vitambulisho mtindo ni uleule, yaani sio kwa hao NIDA wala sio kwa Raia. Wote wapo slow! Mtu anatafuta kitambulisho akiwa na shida nacho, akifika vinapotolewa anasubirishwa mpaka akome, vikitoka anatumiwa meseji njoo uchukue kitambulisho chako, haendi, anasubiri akiwa na shida nacho tena, mpaka unajiuliza hii inasababishwa na nini?

4. Ajiri mtu, kuchelewa ni kitu cha kawaida na excuse zisizo na Mbele wala Nyuma. Haya kuwa mwaminifu kufanya kazi, maboss nao wengi wao ni slow Sana kwenye kulipa mishahara Kwa wakati, hivi ninyi maboss hamuwezi kulipa mishahara watu mpaka mkumbushwe? Alafu ATI mnajitia mna mambo mengi, inakera Sana.

5. Mkopeshe MTU pesa yako, kwenye kukulipa ndio utajua haujui, wako very slow kulipa madeni, hivi tatizo ni nini?

Watu wasiojali muda hasa kwa kuwa slow slow wanatabia hizi;
1. Sio waaminifu
2. Hawajali
3. Wanafiki na waongo
4. Wabinafsi
5. Wanadharau

Tunahitaji viongozi watakaoweza kuibadilisha jamii yetu iwe inayofuata muda Kwa uaminifu. Sio MTU unakalishwaaa kwa jambo ambalo linauwezo wa kushughulikiwa kwa dakika mbili tuu. Sio wasomi, sio wasiosoma, Watanzania wengi tupo na tabia hizo.

Taikon acha nipumzike kwanza, pilau la leo lilikuwa tamu.

Robert Heriel,
Taikon wa Fasihi,
Kwa sasa Dar es Salaam.
Ni kweli kabisa watanzania hatupendi kwenda na muda hata ukija kwenye upande wa usafiri bado ni changamoto.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtu yupo kuhutubiq anaanza, Mheshimiwa Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mama yetu Dr. Samia Suluhu Hassan, Mheshimiwa Makamu wa Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mheshimiwa Dr. Philip Isdori Mpango, Mheshimiwa Waziri Mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania, mheshimiwa Kassim Majaliwa Majaliwa...... hao ni watu watatu tu wa.etambulishwa, amalize utambulisho tayari dk5 zimepita.

Tatizo hili ni kubwa sana...hatuna haraka kwa lolote!
 
Kwanini ufikirie kuwa mgeni wa fulani? Hayo ni mawazo tegemezi.

Siku zote fikiri kujitegemea / kutegemewa siyo kutegemea.

Wazungu inahusu nini?
Ndo maana nikasema utamaduni. Utamaduni wa wazungu wa kujitenga hatuuwezi Wao wana Kila kitu siyo bongo.

Unaacha kusalimia watu baada ya siku mbili linakukuta la kukuta utajuta kuzaliwa
 
Nilikaa CRDB Mbagala kuanzia saa nne asubuhi mpka saa kumi na moja kisa kufungua account tu
 
Kuna duka la jumla nilienda kununua bidhaa, aisee sijawahi ona watu wako slow kama wale. Duka lina wafanyakazi kama 8 hivi na sio kubwa sana, ila haoo utasimama mpaka uwahimize wakufanyie upesi.

Kila mwenye jukumu anajivuta mno kama una haraka zako hata hizo bidhaa unahairisha kuchukua.
 
Kuna duka la jumla nilienda kununua bidhaa, aisee sijawahi ona watu wako slow kama wale. Duka lina wafanyakazi kama 8 hivi na sio kubwa sana, ila haoo utasimama mpaka uwahimize wakufanyie upesi.

Kila mwenye jukumu anajivuta mno kama una haraka zako hata hizo bidhaa unahairisha kuchukua.

Hapo karibu wote wameajiriwa. Wajitume Duka la Baba Yao, ndio watakujibu hivyo
 
Na hata kutembea barabarani utakuta mtu njia yote kakaba yeye anetembea pole pole utafikiri bank ana milioni 100 kumbe balance ni negative.
Hii ni kero sana hasa miji kama Dar. Si ajabu tunaburuza kwenye maendeleo kwa sababu watu hawafiki waendako kwa wakati. Unapita barabarani saa 3 nanusu asubuhi bado trafiki imekamata. Mi nachukua shortcuts kukwepa magoigoi. Huu uzi wenyewe sana
 
Back
Top Bottom