Wanawalea kimayai mwishowe watoto wanashindwa kucope na maisha halisia wanajisetia standards za kijinga wanajikuta wanajiingiza kwenye tamaa na kuishia kuwa mashoga.Siku hizi kuna kama kaugonjwa fulani kwa wazazi wa kileo,utasikia mzazi akisema mi mwanangu awezi kuteseka kama mimi,kamwe sitampeleka kayumba!,,mara sitaki atembee umbali fulani,,ooh nitafanya kila namna asiende kayumba nk nk,, watoto wanalelewa kimayai sana na wazazi wa sampli hii,ndo hao wanaingia gharama kubwa wasizoweza kuzimudu.
Sio kweli mzazi asomeshe mtoto mamilioni kuanzia chekechea,msingi,sekondari hadi chuo kikuu bila mkopo wa bodi ya mikopo halafu mwishowe amwache mtoto ahangaike kutafuta elfu 10 kwa siku posho ya uber au bolt au bodabodaFaininali wqkishamliza chuo hiyo class ya unayoongelea ya kufake hapo baada ya kumaliza chuo ndo huwa inaonekana vizuri wale wa BOLT na UBER wanaanza kupanda bodaboda na dalalada😁😁😁😁😀😀😀
Huku mtaani mambo ni tofauti kabisa wale waliokuwa wanajitengatenga baada ya kumaliza chuo huwa wqnakuwa kama kuku walionyeshewa😀😀😀maisha ni hatua hutakiwi kufake utadhindwa kuishi na watu.
Unasema nini wewe bure kabisa, embu ongea vitu vyenye akili.Mtaani huku hizo shit masters degrees na bachelor degrees zipo kibao na kuna wengine walienda mpaka kusoma nje ya nchi wamerudi hawana ramani wapo mtaani kula kulala kwa wazazi wao.Sio kweli mzazi asomeshe mtoto mamilioni kuanzia chekechea,msingi,sekondari hadi chuo kikuu bila mkopo wa bodi ya mikopo halafu mwishowe amwache mtoto ahangaike kutafuta elfu 10 kwa siku posho ya uber au bolt au bodaboda
Hiyo pesa aweza tu pewa na mzazi kama pocket money
Wengi wakimaliza kama kazi hamna huendelea kuomba wazazi wao wawalipie wasome Masters hadi Phd ndani ya nchi na nje
Vyuo vingi waulize idadi kubwa ya wanafunzi wanaosoma masters na Phd nani anawalipia watakwambia wanajilipia wenyewe na ni walipaji wazuri mno hawasumbui ada
Wazazi hawawaachi bure au kuwaacha waendeshe boda boda au uber au bajaj labda mtoto mwenyewe agome
Wengi sasa hivi wamejazana kwenye digrii za juu wanasoma hatari wakisubiri ajira huko huko huku wanapiga kitabu
Kukitangazwa nafasi za masters na Phd wanazichukua chapchap sababu tayari wanazo mkononi hawahitaji kusomeshwa na mwajiri au mfadhili
Masters watu wanasomea zenye soko kubwa na ndio mabosi wa hao wenye digrii moja Wanakuwa tayari wabajua gap liko wapi wanaenda lijaza kwa kusomea hawarudii kitu kilekiie wamesomea first degreeUnasema nini wewe bure kabisa, embu ongea vitu vyenye akili.Mtaani huku hizo shit masters na degree zipo kibao na kuna wengine walienda moaka kusoma nje ya nchi wamerudi hawana ramani wapo mtaani kula kulala kwa wazazi wao.
Sasa kama degree umesoma imeshindwa kukutoa hiyo masters unasoma ndo itakutoa😀😀😀😀. Alafu watu wanaoenda kusoma masters huku hata alichosomea degree ya kwanza hajakifanyia kazi huwa nawaona wajinga flani hivi.Maana masters hiyo unayojilipia ungekuwa na job experience ungepata svholarship chap ukasoma kwa scholarship.Alafu unasomaje masters huna kazi😀😀😀😀hivi vyuo hawawezi kuwaambia ukweli kwasababu wanafanya biashara ila ukija kwenye soko la ajira ndo utaelewa namaanisha nini.
kijana wewe inavyoonyesha haupo kwenye ajira.Wewe bado ni DREAMER.KEEP DREAMING, NI RAHA SANA KUOTA ILA GROUND MAMBO NI TAFRANI!!!!Masters watu wanasomea zenye soko kubwa na ndio mabosi wa hao wenye digrii moja Wanakuwa tayari wabajua gap liko wapi wanaenda lijaza kwa kusomea hawarudii kitu kilekiie wamesomea first degree
Wabakuwa wameshafanya utafiti wapi kuna mwanya wa kutoboa kwa level ya masters na Phd sababu wanaenda wakiwa watu wazima sio kama degree ya kwanza walienda wakiwa watoto
Mwandiko mzuri mkuuTuishi kwa mujibu wa vipato vyetu..
Tusijitutumue ili mradi tuonekane, sio kwenye elimu tu, hata kwenye jambo lolote lile, ishi kwa uwezo wako, kisha ndio maamuzi yako.
Mengine yatakuwa maamuzi ya mtu binafsi, naweza kuwa na kipato ambacho kinamruhusu mwanangu kusoma English medium ila kama binafsi sipendelei asome huko nikimpeleka kayumba, sio kesi, shida ni hapo ambapo mtu unaforce, kipato chako ni kidogo ila unataka mtoto akasome english medium.
Binafsi mimi si muumini wa mtoto wangu kusoma english medium, haijalishi kipato kinaruhusu ama lah.
asa mbona mwishoni umekuwa muoga?Sisemi kusomesha mtoto EM ni Vibaya ila Uwe na uwezo mkubwa Sana WA kifedha na assets za kutosha.
asa mbona mwishoni umekuwa muoga?Sisemi kusomesha mtoto EM ni Vibaya ila Uwe na uwezo mkubwa Sana WA kifedha na assets za kutosha.
Umefafanua vizuri sana wa Tz bado wako nyuma sana kilicho wa vuruga wengi ni vile shule ya kingereza bila kujali kama mitaala ina fanana, Na mitihani ya Taifa wanafanya kwa pamoja.Sasa huko EM wanafundishwa Mtaala upi?
Unajua watu kuna mambo hamyaelewi kuhusu suala la Elimu. Mtoto afundishwe juu ya mti, kwenye ghorofa, au popote pale kama Mtaala ni uleule. Inatarajiwa wote watapata lilelile.
Kwenye Elimu kuna mambo yafuatayo:
1. Sera ya Elimu ya nchi
2. Malengo ya Elimu katika nchi
3. Malengo ya Elimu kwa kila Kozi au Somo
4. Mtaala
5. Muhtasari wa kila Masomo.
Kama Lengo ni kumpeleka mtoto EM ajue kingereza Walau cha kung'atia half cake Sawa. Ila kama unafikiri atapewa Elimu tofauti na Ile ya Kayumba basi unapoteza pesa yako.
100% FactHivi vitu vinawasumbua nyinyi wazazi. Mtoto wala habari hana labda mtoto wako lama amashinda njaa. Ila mengine ni mizigo mnajipqchika wazazi wa dotcom
100% FactKusomesha mtoto English Medium Tz na kayumba kwa upande wangu sio kama wanatofautiana. Angalau umpeleke njee.