Tsh
JF-Expert Member
- Aug 26, 2021
- 17,022
- 36,936
Vidudu mpaka la saba kama inawezekana msaidie tu mtoto angalau ajue kusema yes, I am hungry asije kufa njaa. Shule iwe ya serikali au private lakini awe vizuri kwenye lugha, ikishindikana mlipe hata ras amfunze maana fainali ni pale anapotakiwa ajieleze kwa kingereza. Mtu ana degree ila ze ze ze ze nyingiiiii. Na ana mi A ya kutosha aliyofaulu kwa kingereza.