Watanzania wenye vipato vya chini wanao somesha English Mediums wanateseka hadi nawaonea huruma

Waziri wa elimu kakiri mwenyewe kuwa shule za secondary za serikali kufeli sana kunatokana na msingi mbaya wa kiingereza kwenye shule za msingi

Mbakize hukohuko.kayumba atakiona cga mtema kuni kwenye mitihani ya sekondari
Acha kupotosha
 
Wamekalia connection connection me nahisi hawajawahi kusomesha English Mediums. Labda wana confuse Ems na International school.
 
Hizo sio bure nazo zina gharama. Hizi za bure ya mchango elfu 6 hazina english zaidi ya kukaririshwa kujibu somo lake
Sahihi chukua mtoto wa darasa la saba kayumba waongee kiingereza na mtoto wa English medium darasa la pili

Kitoto cha English Medium kitamtoa knock out huyo darasa la saba wa kayumba
Vinaongea kingereza kilichonyooka na vinajiamini.
 
Hujaelewa Mada wewe mtoa Mada wala hamaanishi unacho sema wewe
 
Kuna tofauti kubwa ya tuition na shule. Shule mnatumia muda mwingi na maongezi yanakua marefu,tuition muda mchache,mtoto kachoka hivyo umakini unapungua.

Mamilioni ni mbwembwe tu za wazazi. Ndo maana unaona mtu anasomesha shule za mamilioni bado anamtafutia mwanae connection za kazi mfano mzuri mwigulu,mwanae yupo feza international ila bado anamhangaikia vinafasi uvccm ya watoto
Sawa lakini Sio sawa na kutoa mamilioni mkuu.

As a matter of fact mbona tuition zipo nyingi tu za English na watoto wanaelewa
 
Ungewaambia ukweli kuliko kuleta uzi wa kuwasimanga huku
 
100%=Fact.

Joannah
 
100%=Fact.

Joannah
 
Umeona ee ndo utamu wa English medium upo hapo. Na vinakua na exposure fulani hivi amazing.

Watoto wa medium sura zimechangamka kuliko wa kwetu vidumu na mfagio stress kibao
Sahihi chukua mtoto wa darasa la saba kayumba waongee kiingereza na mtoto wa English medium darasa la pili

Kitoto cha English Medium kitamtoa knock out huyo darasa la saba wa kayumba
Vinaongea kingereza kilichonyooka na vinajiamini.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…