Watanzania wote tuachaneni na mwandishi huyu Mghana

Unajua kisa cha yeye kutofautiana na yanga? Ni yule mkuu wenu wa maudhui privadhino alipotaka aandike kile anachokitaka.
Waandishi wa Tanzania wanafanya kazi kwa maelekezo Ila huyu aliamua kuacha kupost habari za jangwani.
Kama washabiki wangemwambia sawa Ila Kama kiongozi wa taasisi unakuwa habari nyingine.
 
Na bado hata akajaribu kuchonganisha kuwa aziz hana furaha yanga anataka kusepa ..!

What a stupid fellow!
 
Hapana sio kweli
Chanzo ni yeye kueneza habari za uzushi sana na uongo ikiwemo hilo la aziz kiufupi anachonganisha team na mashabiki
Na priva hiyo ndiyo kazi yake na kitengo chake mitandaoni so hawezi kuona mitandaoni team inachafuliwa kwa uongo na uzushi ikiwa yeye yupo .


Solution ni moja hatutaki hatupost kabisa wala wachezaji wetu
 
Hakuna mwandishi wa habari humo, huyo ni shabiki shoga anajificha kwenye kichaka cha uandishi
 
Uyo miky ni mpumbavu Mmoja hv ambae ajielewi, unapokataa kupost ubari Fulani basi iyo timu uachane nayo kabisa sio unachagua habari mbaya ndio unapost inatakiwa usiiongelee kabisa iwe negative ama positive huo ndio uweledi vinginevyo utaonekana ni chuki binafsi baada ya kunyimwa kitu Fulani
 
Hakuna mwandishi wa habari humo, huyo ni shabiki shoga anajificha kwenye kichaka cha uandishi
Ndio ukweli amenyimwa payroll yake pale yanga .

Injinia alikataa huu ujinga eti umlipe ndiyo akuandike vizuri .

A stupid fellow
 
Kitu ambacho umeshindwa kujua kuwa huyo jamaa ni shabiki wa Simba hivyo hawezagi kuficha mahaba yake kwa Simba na chuki zake kwa Yanga. Hivyo watu wengi wanaomkubali ni mashabiki wa Simba
Nani asiyejua Baba Levo ni shabiki wa Yanga?

Kwanini wewe na mtoa mada msihamasishe watu wasusie kusikiliza kipindi cha michezo ambacho Baba levo anashiriki?

Tukisema Gongowazi mnamatatizo kichwani sio kama tunawa disrespect.
 
Ushahidi haujitoshelezi kumtia hatiani mshtakiwa
 
Nani asiyejua Baba Levo ni shabiki wa Yanga?

Kwanini wewe na mtoa mada msihamasishe watu wasusie kusikiliza kipindi cha michezo ambacho Baba levo anashiriki?

Tukisema Gongowazi mnamatatizo kichwani sio kama tunawa disrespect.
Baba Levo kuwa ni shabiki wa Yanga haimpi guarantee ya kutoa taarifa za uzushi na uongo upande wa Simba. Kila mtu na utashi wake na ndio maana hakuna sehemu yeyote niliyoandika kuwa mashabiki wa Yanga wasusie kumfatilia micky bali atakayempuuzia atampuuzia atakayeamua kum block atam block ama atakayeamua kujibizana nae atajibizana nae kwenye ukurasa wake. Mimi sipo hapa kushauri watu wafanye nini, bali nilichokisema ni kwamba micky ni shabiki wa Simba hivyo mleta uzi hilo alijue na ajue kuwa hawezi kuwapangia watu wasimfatilie wakati mashabiki wa Simba wanampenda.
 
Mngekuwa mnaipenda nchi yenu kama mnavyopenda hizi timu tungekuwa mbali sana
 
that's your perception,just keep it.
mick ni mwadish mzuri ndo maana timu kama al ahly wana mtumia.

mbona apa bongo mwadishi kitenge anaiponda simba mpo na huongei,leo hii mick una mtuhumu kwa lipi sasa.
 
Kwani mchambuzi kuwa na team kuna shida gani mkuu ndio maana nimetoa mfano wa kitenge.
 
that's your perception,just keep it.
mick ni mwadish mzuri ndo maana timu kama al ahly wana mtumia.

mbona apa bongo mwadishi kitenge anaiponda simba mpo na huongei,leo hii mick una mtuhumu kwa lipi sasa.
Al Ahly wana mtumia? Au yeye ndiye anaifuatilia Al Ahly? Embu tuambie Al Ahly wanamtumia kwenye lipi?
 
Sasa si uende kwa huyo Kohler,,, Uto kweli wenye akili wawili tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…