Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Ni siku ya furaha na huzuni pia
1. Ni siku ya huzuni kwakuwa bado Kombo Mbwana anasota rumande licha ya kutimiza vigezo vyote vya dhamana.. Simulizi yake inajulikana wazi hakuna haja ya kuirudia hapa
2. Ni siku ya huzuni kwakuwa Shadrack kijana aliyechoma picha ya mkuu wa kaya kisha kukamatwa kupandishwa kizombani, kuhukumiwa kifungo na hatimaye kulipiwa faini na Watanganyika wazalendo na kutoka lupango sasa ni saa 48+ zimepita tangu atekwe na wasiojulikana
3. Ni siku ya faraja na furaha kuu kwakuwa katikati ya mtanziko, taharuki, fadhaa na mashaka makuu wakili msomi Mwabukusi kashinda kinyang'anyiro cha kuwa rais wa chama cha wanasheria wa Tanganyika (Tanganyika law society) Anastahili pongezi nyingi mno maana haikuwa rahisi kabisa...!
Utekaji bado upo.. Utekaji na watekaji is for real.... Watu bado wanatekwa na kutokomezwa kusikojulikana na wasiojulikana.. Hali ni mbaya kuliko tunavyodhania.
Watakaosalimika ni wachache kati ya wengi ama ni wengi kati ya wachache
Wafaidikaji
Chawa, kunguni na viroboto
Waunga juhudi
'Wenzetu'
Watakaoweza kukaa kimya kabisa
Wa ndio mkuu
Wasiojua kuhoji
Wasioweza kuhoji
Waabudu sanamu
Wasifuni.. nk
Hapo kabla Watanganyika walikuwa wakihoji kimya kimya na wazi wazi kuhusu wanaopotea na huko wanakopotea.. Lakini baada ya simulizi ya Katavi jibu likapatikana
Ogopa sana mateke ya mwisho ya mnyama anayekufa.. Yaogope mno! Maana ni mateke ya kutafuta wa kuondoka naye
Walioko kwenye list ni wengi.. Pengine hata wewe na mimi tumo!
Swali muhimu: Ni nani atasalimika?
1. Ni siku ya huzuni kwakuwa bado Kombo Mbwana anasota rumande licha ya kutimiza vigezo vyote vya dhamana.. Simulizi yake inajulikana wazi hakuna haja ya kuirudia hapa
2. Ni siku ya huzuni kwakuwa Shadrack kijana aliyechoma picha ya mkuu wa kaya kisha kukamatwa kupandishwa kizombani, kuhukumiwa kifungo na hatimaye kulipiwa faini na Watanganyika wazalendo na kutoka lupango sasa ni saa 48+ zimepita tangu atekwe na wasiojulikana
3. Ni siku ya faraja na furaha kuu kwakuwa katikati ya mtanziko, taharuki, fadhaa na mashaka makuu wakili msomi Mwabukusi kashinda kinyang'anyiro cha kuwa rais wa chama cha wanasheria wa Tanganyika (Tanganyika law society) Anastahili pongezi nyingi mno maana haikuwa rahisi kabisa...!
Utekaji bado upo.. Utekaji na watekaji is for real.... Watu bado wanatekwa na kutokomezwa kusikojulikana na wasiojulikana.. Hali ni mbaya kuliko tunavyodhania.
Watakaosalimika ni wachache kati ya wengi ama ni wengi kati ya wachache
Wafaidikaji
Chawa, kunguni na viroboto
Waunga juhudi
'Wenzetu'
Watakaoweza kukaa kimya kabisa
Wa ndio mkuu
Wasiojua kuhoji
Wasioweza kuhoji
Waabudu sanamu
Wasifuni.. nk
Hapo kabla Watanganyika walikuwa wakihoji kimya kimya na wazi wazi kuhusu wanaopotea na huko wanakopotea.. Lakini baada ya simulizi ya Katavi jibu likapatikana
Ogopa sana mateke ya mwisho ya mnyama anayekufa.. Yaogope mno! Maana ni mateke ya kutafuta wa kuondoka naye
Walioko kwenye list ni wengi.. Pengine hata wewe na mimi tumo!
Swali muhimu: Ni nani atasalimika?