Watatezi wa makahaba, ndio mnataka Tanzania yetu iendelee kuwa hivi? Rais Samia mpandishe Bomboko cheo

Watatezi wa makahaba, ndio mnataka Tanzania yetu iendelee kuwa hivi? Rais Samia mpandishe Bomboko cheo

Johnny Sack

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2017
Posts
8,984
Reaction score
19,288
IMG_20240620_235319.jpg


Ni picha imepigwa mitaa ya Sinza, baadhi ya wanawake wamekuwa wapo radhi kutoka nje almost uchi kabisa kwenda kujiuza

Ukikutana na mdada anayejielewa na anayefanya kazi atakuambia watu hawa wanadhalilisha wanawake,
Wanafanya wanawake kunekana kama bidhaa za nyanya au parachichi sokoni, ambapo mtu huenda kununua atakavyo

Ila cha ajabu kumrtokea watetezi sijui wanajiita wa haki za binadamu wanadai makahaba hawa kuchukuliwa hatua eti wanadhalilishwa..! Wao ndio wanaodhalilisha utu wa mwanamke

Mkuu wa Wilaya ya Ubungo apongezwe kwa kufagia uozo huu, na opetesheni hii iwe mkoa mzima wa Dar na wa mikoa mingine waige mfano.
 
View attachment 3022018

Ni picha imepigwa mitaa ya Sinza, baadhi ya wanawake wamekuwa wapo radhi kutoka nje almost uchi kabisa kwenda kujiuza

Ukikutana na mdada anayejielewa na anayefanya kazi atakuambia watu hawa wanadhalilisha wanawake,
Wanafanya wanawake kunekana kama bidhaa za nyanya au parachichi sokoni, ambapo mtu huenda kununua atakavyo

Ila cha ajabu kumrtokea watetezi sijui wanajiita wa haki za binadamu wanadai makahaba hawa kuchukuliwa hatua eti wanadhalilishwa..! Wao ndio wanaodhalilisha utu wa mwanamke

Mkuu wa Wilaya ya Ubungo apongezwe kwa kufagia uozo huu, na opetesheni hii iwe mkoa mzima wa Dar na wa mikoa mingine waige mfano.
Kuna mke wa mtu mtarajiwa hapo. Mkuu unaweza kutaja location ili tukahakikishe hii picha ni ya kweli?
 
View attachment 3022018

Ni picha imepigwa mitaa ya Sinza, baadhi ya wanawake wamekuwa wapo radhi kutoka nje almost uchi kabisa kwenda kujiuza

Ukikutana na mdada anayejielewa na anayefanya kazi atakuambia watu hawa wanadhalilisha wanawake,
Wanafanya wanawake kunekana kama bidhaa za nyanya au parachichi sokoni, ambapo mtu huenda kununua atakavyo

Ila cha ajabu kumrtokea watetezi sijui wanajiita wa haki za binadamu wanadai makahaba hawa kuchukuliwa hatua eti wanadhalilishwa..! Wao ndio wanaodhalilisha utu wa mwanamke

Mkuu wa Wilaya ya Ubungo apongezwe kwa kufagia uozo huu, na opetesheni hii iwe mkoa mzima wa Dar na wa mikoa mingine waige mfano.
Alafu hawa ni single mothers kabisa...
 
View attachment 3022018

Ni picha imepigwa mitaa ya Sinza, baadhi ya wanawake wamekuwa wapo radhi kutoka nje almost uchi kabisa kwenda kujiuza

Ukikutana na mdada anayejielewa na anayefanya kazi atakuambia watu hawa wanadhalilisha wanawake,
Wanafanya wanawake kunekana kama bidhaa za nyanya au parachichi sokoni, ambapo mtu huenda kununua atakavyo

Ila cha ajabu kumrtokea watetezi sijui wanajiita wa haki za binadamu wanadai makahaba hawa kuchukuliwa hatua eti wanadhalilishwa..! Wao ndio wanaodhalilisha utu wa mwanamke

Mkuu wa Wilaya ya Ubungo apongezwe kwa kufagia uozo huu, na opetesheni hii iwe mkoa mzima wa Dar na wa mikoa mingine waige mfano.
Kabisa mwanawane hawa wanawake na sie wanaume tunowanunua inabidi tutiwe lockup....we debase humanity kwa kweli.
Mke nashauri serikali wawalete taliban hapo bongo kwa mwaka mmoja kusafisha nchi na huu uozo
 
Kitu ni kimoja wajiuze kwenye maeneo yaliyotengwa sio kila sehemu kwasababu naturally huwezi kuzuia ukahaba labda Taifa letu liondoke kwenye demokrasia

Kuna wanaume hawawezi kumiliki wanawake kwahiyo hawa ndio hupata huduma

Ukiondoa hii biashara ubakaji utakongezeka kwa mabinti wadogo
 
Hapo si club, wapo sawa...alafu watu wote hatuwezi kujadili mambo nyeti ya maendeleo ya nchi...
Ndio maana kuna jamii ya wasomi wanateuliwa ili waisaidie nchi...
Sasa shida ni wasomi wanadili na wasiosoma kabisa kama hivyo..
Nchi gani iliyoendelea hawapo hawa makahaba?
 
View attachment 3022018

Ni picha imepigwa mitaa ya Sinza, baadhi ya wanawake wamekuwa wapo radhi kutoka nje almost uchi kabisa kwenda kujiuza

Ukikutana na mdada anayejielewa na anayefanya kazi atakuambia watu hawa wanadhalilisha wanawake,
Wanafanya wanawake kunekana kama bidhaa za nyanya au parachichi sokoni, ambapo mtu huenda kununua atakavyo

Ila cha ajabu kumrtokea watetezi sijui wanajiita wa haki za binadamu wanadai makahaba hawa kuchukuliwa hatua eti wanadhalilishwa..! Wao ndio wanaodhalilisha utu wa mwanamke

Mkuu wa Wilaya ya Ubungo apongezwe kwa kufagia uozo huu, na opetesheni hii iwe mkoa mzima wa Dar na wa mikoa mingine waige mfano.
Kwani wale kawakuta nje au barabarani
Yaani kaenda kuwatoa guest hiyo ni sawa??
Unaendaje kumtoa mtu yupo guest hata kama ni malaya anajiuza??
 
Hapa unashindwa kutofautisha haki za msingi za watu kuishi, kufurahi na kustarehe bila kuvunja sheria na suala la maadili. Ukiongelea maadili ni suala la subjectivity;je tuna maadili ya kitanzania hasa kwa ulimwengu wa sasa wa kitandawazi. Sasa uko club ,uko beach, uko baa utafuata maadili gani kwani hizo ni sehemu zina norms, styles na aina ya mavazi. Ulichokosea mwandishi ni kupiga picha ya club na kuongelea maadili. Naweza kusema hao uliowapiga wamefuata maadili ya club, wamevaa kiclub, wameenda na style za kileo za club. Wako appropriate kulingana na sehemu.
 
Hapa unashindwa kutofautisha haki za msingi za watu kuishi, kufurahi na kustarehe bila kuvunja sheria na suala la maadili. Ukiongelea maadili ni suala la subjectivity;je tuna maadili ya kitanzania hasa kwa ulimwengu wa sasa wa kitandawazi. Sasa uko club ,uko beach, uko baa utafuata maadili gani kwani hizo ni sehemu zina norms, styles na aina ya mavazi. Ulichokosea mwandishi ni kupiga picha ya club na kuongelea maadili. Naweza kusema hao uliowapiga wamefuata maadili ya club, wamevaa kiclub, wameenda na style za kileo za club. Wako appropriate kulingana na sehemu.
ukimani kuna baadhi ya watu wachache mna akili. well said budda!
 
Back
Top Bottom