Watatezi wa makahaba, ndio mnataka Tanzania yetu iendelee kuwa hivi? Rais Samia mpandishe Bomboko cheo

Watatezi wa makahaba, ndio mnataka Tanzania yetu iendelee kuwa hivi? Rais Samia mpandishe Bomboko cheo

View attachment 3022018

Ni picha imepigwa mitaa ya Sinza, baadhi ya wanawake wamekuwa wapo radhi kutoka nje almost uchi kabisa kwenda kujiuza

Ukikutana na mdada anayejielewa na anayefanya kazi atakuambia watu hawa wanadhalilisha wanawake,
Wanafanya wanawake kunekana kama bidhaa za nyanya au parachichi sokoni, ambapo mtu huenda kununua atakavyo

Ila cha ajabu kumrtokea watetezi sijui wanajiita wa haki za binadamu wanadai makahaba hawa kuchukuliwa hatua eti wanadhalilishwa..! Wao ndio wanaodhalilisha utu wa mwanamke

Mkuu wa Wilaya ya Ubungo apongezwe kwa kufagia uozo huu, na opetesheni hii iwe mkoa mzima wa Dar na wa mikoa mingine waige mfano.
Swimming ulitaka waende na majuba au magauni
 
Kitu ni kimoja wajiuze kwenye maeneo yaliyotengwa sio kila sehemu kwasababu naturally huwezi kuzuia ukahaba labda Taifa letu liondoke kwenye demokrasia

Kuna wanaume hawawezi kumiliki wanawake kwahiyo hawa ndio hupata huduma

Ukiondoa hii biashara ubakaji utakongezeka kwa mabinti wadogo
Demokrasia ni kuruhusu ukahaba?
 
View attachment 3022018

Ni picha imepigwa mitaa ya Sinza, baadhi ya wanawake wamekuwa wapo radhi kutoka nje almost uchi kabisa kwenda kujiuza

Ukikutana na mdada anayejielewa na anayefanya kazi atakuambia watu hawa wanadhalilisha wanawake,
Wanafanya wanawake kunekana kama bidhaa za nyanya au parachichi sokoni, ambapo mtu huenda kununua atakavyo

Ila cha ajabu kumrtokea watetezi sijui wanajiita wa haki za binadamu wanadai makahaba hawa kuchukuliwa hatua eti wanadhalilishwa..! Wao ndio wanaodhalilisha utu wa mwanamke

Mkuu wa Wilaya ya Ubungo apongezwe kwa kufagia uozo huu, na opetesheni hii iwe mkoa mzima wa Dar na wa mikoa mingine waige mfano.
Yaani wewe hapo shida ni mavazi tu au?

Unajua maadili ni nini?

Unajua kabla wa wakoloni wanawake wa kiafrika walikuwa wanafunika ''kibumbu'' tu matiti na matako yalikuwa wazi?

Je, unajua kuwa mavazi ni fasheni tu ambayo inabadilika kila kukicha?
 
Hiyo picha Ina tatizo gani?
Serikali imeshindwa ku deal na serious issues Ina tafuta sifa kwa kuwaumiza watoto wasio na kazi.
Watu wasiende gesti kisa Kuna wakuu wa wilaya? Hii kuvamia lodge inapeleka ujumbe gani kwa watalii wanaotegemea kuja Tanzania?
Shule hazina madawati badala ya kuelekeza nguvu kwenye mambo ya elimu na afya, mkuu anafukuzia watu lodge.
Hata yule RC mtumbuliwa aliwashutumu Sana wauza ngono kumbe na yeye Ni kinara Tena wa kinyume.
TIME WILL TELL....
 
Kwa hiyo ni hapo tu ndipo maadili yetu yanaleta taabu? Ungeanza na wezi na majambazi wa mali za umma, hawa ndio tatizo letu kubwa, hao wadada waache waenjoy maisha yao.
KICHWA MAJI INAONEKANA WEWE UKOO WENU MUNA WADADA WA HIVI SHAME UPON YOU
 
View attachment 3022018

Ni picha imepigwa mitaa ya Sinza, baadhi ya wanawake wamekuwa wapo radhi kutoka nje almost uchi kabisa kwenda kujiuza

Ukikutana na mdada anayejielewa na anayefanya kazi atakuambia watu hawa wanadhalilisha wanawake,
Wanafanya wanawake kunekana kama bidhaa za nyanya au parachichi sokoni, ambapo mtu huenda kununua atakavyo

Ila cha ajabu kumrtokea watetezi sijui wanajiita wa haki za binadamu wanadai makahaba hawa kuchukuliwa hatua eti wanadhalilishwa..! Wao ndio wanaodhalilisha utu wa mwanamke

Mkuu wa Wilaya ya Ubungo apongezwe kwa kufagia uozo huu, na opetesheni hii iwe mkoa mzima wa Dar na wa mikoa mingine waige mfano.


Wewe umeona wale kule kwenye vyeo na wawakilishi na wakuu wa idara mbali mbali . Hata wanaojiita watumishi wa dini . Umejaribu kuwaza kuwa ni kwa nini wengi wao hawaishi na wanaume zao.? Hata wakisafiri safari ya kikazi , kwa nini hawasafiri na wanaume wao?
Je, haki zao za kingono kama binadamu wanazipata wapi kama sio kubadilisha wanaume kisiri siri huku wakiwa ni mfano mbaya kwenye jamii na kuwaaminisha wamawake kuwa ukiwa na pesa unapanga maisha yako bila kuulizwa na mtu.

Hao nao wameamua kuvaa kama wale wanaovaa visketi vifupi na vilivyobana makazini.
Hawaja mlazimishatu aende Sinza kuwaangalia au kuwanunua . Ni takaa yako wewe mwenyewe. Wengine tukiona mwanamke yuko nusu uchi ndio tumakosa mzuka naye kabisa.

Acha tamaa mbaya.

Mnajifanya watakatifu wakati watoto wenu kule shule za Chekechea wanapelekwa beach kwenda kuangalia vibabu na vibibi vya kizungu vikiwa vimekaa uchi.
Zuieni kwanza watu kwenda beach uchi.

Mkiambiawa msiuze rasilmali zetu mnakataa hamjui kuwa hayo ni matokeo ya kuwa na gap kubwa kati ya walio nacho na wasio macho na kukosa kazi za kufanya hasa mashambani na viwandani.
Baa zinajaa kila siku na siku hizi wanawake na wanaume wanashinda bar baa usiku na mchana .

Tena wanawake wengi siku hizi wasiojiuza ndio malaya wakubwa wa kuzaa nje ya ndoa wakati wana ndoa zao na wanaume wao wa ndoa .

Wale wanaoitwa makahaba wapo tangu enzi za gharika ya Nuhu.

Pambaneni na mafisadi wanaokwapua mali za umma na kwenda kutafuta makahaba wa kihabeshi huko nje .

Tungeni sheria za kuelekeza mavazi ya kitanzania ni yapi na matumizi ya mwanamke kutumia mwili wake yanatakiwa yafanyike muda gani na sehemu gani.
Ili wakikamatwa wajue makosa yao kisheria na sio kuwabambikizia kesi zisizo na kichwa wala miguu.
 
KICHWA MAJI INAONEKANA WEWE UKOO WENU MUNA WADADA WA HIVI SHAME UPON YOU
Hizo hasira na makasiriko mngezitumia kupambana na adui wenu mkubwa (watawala) ningekuona wa maana. Kupoteza muda kupambana na watu wazima wenye maisha yao, ni dalili ya ukosefu wa shughuli ya kufanya.
Unaacha kupambana na hawa wezi na matapeli wanasiasa, unasumbuka na vitu visivyo kuwa na tija.
 
View attachment 3022018

Ni picha imepigwa mitaa ya Sinza, baadhi ya wanawake wamekuwa wapo radhi kutoka nje almost uchi kabisa kwenda kujiuza

Ukikutana na mdada anayejielewa na anayefanya kazi atakuambia watu hawa wanadhalilisha wanawake,
Wanafanya wanawake kunekana kama bidhaa za nyanya au parachichi sokoni, ambapo mtu huenda kununua atakavyo

Ila cha ajabu kumrtokea watetezi sijui wanajiita wa haki za binadamu wanadai makahaba hawa kuchukuliwa hatua eti wanadhalilishwa..! Wao ndio wanaodhalilisha utu wa mwanamke

Mkuu wa Wilaya ya Ubungo apongezwe kwa kufagia uozo huu, na opetesheni hii iwe mkoa mzima wa Dar na wa mikoa mingine waige mfano.
Ukahaba umeanza leo nyie machawa mbona mnzidisha upumbavu nchi hii, uyo DC zipo changamoto kubwa za kutatua katika wilaya yake kuliko kimbizana na mambo ya kipumbavu, ukahaba upo enzi na enzi hata kwenye biblia ukitafuta neno kahaba limo ,sasa kwa nini limetamukwa mle?

Hujui Dunia , unazungumzia ukahaba kisa watu umewakuta gest au sehem za starehe je unajua zipo app kibao watu wanajiuza on line , tena wengine wapo maofisin zitafute nazo zote mzifungie , je uyo DC anajuaje kama wenda wapo wtumishi ofisin kwake wengine hujiuza on line ,

Upumbavu ni mzigo yani uyu Rais ampandishe cheo kwa kufanya upumbavu alioufanya , mjinga kabisa
 
Hizo hasira na makasiriko mngezitumia kupambana na adui wenu mkubwa (watawala) ningekuona wa maana. Kupoteza muda kupambana na watu wazima wenye maisha yao, ni dalili ya ukosefu wa shughuli ya kufanya.
Unaacha kupambana na hawa wezi na matapeli wanasiasa, unasumbuka na vitu visivyo kuwa na tija.
huo hakuna shida kabisa watawala wapo makini wanashughurikia na ndiyo maana unaona nchi inaenda uchumi unakuwa na mshahara unatoka kwa wakati ila hatutaki hayo madadayako yakutukalia uchi yaani hata dini hayana hayo nawewe unayatetea wote vichwa maji
 
View attachment 3022018

Ni picha imepigwa mitaa ya Sinza, baadhi ya wanawake wamekuwa wapo radhi kutoka nje almost uchi kabisa kwenda kujiuza

Ukikutana na mdada anayejielewa na anayefanya kazi atakuambia watu hawa wanadhalilisha wanawake,
Wanafanya wanawake kunekana kama bidhaa za nyanya au parachichi sokoni, ambapo mtu huenda kununua atakavyo

Ila cha ajabu kumrtokea watetezi sijui wanajiita wa haki za binadamu wanadai makahaba hawa kuchukuliwa hatua eti wanadhalilishwa..! Wao ndio wanaodhalilisha utu wa mwanamke

Mkuu wa Wilaya ya Ubungo apongezwe kwa kufagia uozo huu, na opetesheni hii iwe mkoa mzima wa Dar na wa mikoa mingine waige mfano.

Shida sio kuwatetea. Wenye kuona fursa wanataka kujua wanadhibitiwa kwa kutumia sheria gani?
 
Freedom.....kwani hao wanauza papuchi za kwenu au za kwao???
Kama wanauza au wanagawa bure papuchi zao hakuna kosa!
 
Sasa kama kila kitu kinauzwa mnataka kuwanyima raia mpaka furaha zao??

Bandari mmeuza, bahari mmeuza, madini mmeuza.

Mnawanyima pia na kupigana miti??

Kuna kitu mnakitafuta na si muda mrefu mtakipata.
 
Back
Top Bottom