Watatezi wa makahaba, ndio mnataka Tanzania yetu iendelee kuwa hivi? Rais Samia mpandishe Bomboko cheo

Watatezi wa makahaba, ndio mnataka Tanzania yetu iendelee kuwa hivi? Rais Samia mpandishe Bomboko cheo

View attachment 3022018

Ni picha imepigwa mitaa ya Sinza, baadhi ya wanawake wamekuwa wapo radhi kutoka nje almost uchi kabisa kwenda kujiuza

Ukikutana na mdada anayejielewa na anayefanya kazi atakuambia watu hawa wanadhalilisha wanawake,
Wanafanya wanawake kunekana kama bidhaa za nyanya au parachichi sokoni, ambapo mtu huenda kununua atakavyo

Ila cha ajabu kumrtokea watetezi sijui wanajiita wa haki za binadamu wanadai makahaba hawa kuchukuliwa hatua eti wanadhalilishwa..! Wao ndio wanaodhalilisha utu wa mwanamke

Mkuu wa Wilaya ya Ubungo apongezwe kwa kufagia uozo huu, na opetesheni hii iwe mkoa mzima wa Dar na wa mikoa mingine waige mfano.
Hicho ni kipaji na kama unaweza jaribu tukuone!
 
huo hakuna shida kabisa watawala wapo makini wanashughurikia na ndiyo maana unaona nchi inaenda uchumi unakuwa na mshahara unatoka kwa wakati ila hatutaki hayo madadayako yakutukalia uchi yaani hata dini hayana hayo nawewe unayatetea wote vichwa maji

Wenye dini ni akina nani ?
Wale anaoiba mabilioni ya fedha za umma na kuwafanya wananchi maskini wakose Dawa mahosipitalini .

Huko uarabuni kuna maadli yake lakini yameanzia ndani ya Serikali kudhibiti mafisadi. JPM alidhibiti matumizi mabaya ya serikali kwanza. Kwa sasa watu wanashindana kwa vikao na safari za ndani na nje ! Watu wanatafuta pesa za semina kila siku na madili huko maofisini ili jioni wakale bata. Sasa wale wanawake wakishalewa wanavua nguo kwa kuwakwa na tamaa ya ngono wakati huo hakuna vijana wa kuwaoa wala kuwatongoza mana vijana wakiume wengi kwa sasa hawana ajira . Matokeo yake ni wakina dada kukimbilia watu wale wenye pesa kwenye mabaa. Walevi wanatoa pesa na kutoa ofa na kuondoa stress zao kwa kuwaangalia watoto wazuri huko Sinza .
Sasa wanakamatwa na kudhalilishwa wakati pesa hawana na wanapenda pombe na wanakaribishwa na wanaume ili wajirushe .

Au mnataka wanaume waende peke yao baa halafu wafanyane wenyewe kwa wenyewe.

Au kuna njama za kueneza ushoga Tanzania kwa kuanza kuwatisha wadada poa wasilewe pombe na wanaume kwenye mabaa .

Maadili ya uongozi yamewashinda mnakimbilia maadili ya wanawake wasio na wanaume kutafuta wanaume wa kuwapa hata ofa ya bia.

Bajeti inategemea Pombe halafu hamtaki watu wanywe pombe. Mkikosa pesa Mtauza mpaka Jiji la Dar salaam ili mpate pesa za kukamilisha miradi.
 
Ulichoandika uko sawa. Ila linapokuja suala la kisheria, tueleze wamevunja Sheria gani? Vifungu gani?
Conspiracy against public morals ni kitu kipana ila kimekaa kisheria ya makosa zaidi (Tortious) japo ina jinai yake yakuunga unga
 
Wewe shida uliyonayo ni moja tu, huna akili. Hivyo tu yaani.

Ameenda kugongea watu vyumbani hajawakuta nje wamejipanga.

Ikiwa mimi niko single mwanamume nimetoka safari mkoani nimekuja semina Dar nikamaliza ishu za mchana nikarudi guest kwangu nilikofikia nikapata na kamsupuu kamoja nikaingia nako kulala hapo kwangu nakuwa nimevunja sheria gani ya nchi?? Unaponigongea unanitoa na kwenye TV inakuwa ni sawa??

Unawezaje kutofautisha wageni uliowakuta guest usiku wa manane wamelala kuwa huyu ni malaya na huyu ni sista wa kanisani?

Ujinga ni mwingi sana nchi hii. Alafu kesho mkuu wa wilaya anaejifanya na hayo masifa kakamatwa analawiti wanafunzi kwenye gari. Stupid kabisa
 
Wenye dini ni akina nani ?
Wale anaoiba mabilioni ya fedha za umma na kuwafanya wananchi maskini wakose Dawa mahosipitalini .

Huko uarabuni kuna maadli yake lakini yameanzia ndani ya Serikali kudhibiti mafisadi. JPM alidhibiti matumizi mabaya ya serikali kwanza. Kwa sasa watu wanashindana kwa vikao na safari za ndani na nje ! Watu wanatafuta pesa za semina kila siku na madili huko maofisini ili jioni wakale bata. Sasa wale wanawake wakishalewa wanavua nguo kwa kuwakwa na tamaa ya ngono wakati huo hakuna vijana wa kuwaoa wala kuwatongoza mana vijana wakiume wengi kwa sasa hawana ajira . Matokeo yake ni wakina dada kukimbilia watu wale wenye pesa kwenye mabaa. Walevi wanatoa pesa na kutoa ofa na kuondoa stress zao kwa kuwaangalia watoto wazuri huko Sinza .
Sasa wanakamatwa na kudhalilishwa wakati pesa hawana na wanapenda pombe na wanakaribishwa na wanaume ili wajirushe .

Au mnataka wanaume waende peke yao baa halafu wafanyane wenyewe kwa wenyewe.

Au kuna njama za kueneza ushoga Tanzania kwa kuanza kuwatisha wadada poa wasilewe pombe na wanaume kwenye mabaa .

Maadili ya uongozi yamewashinda mnakimbilia maadili ya wanawake wasio na wanaume kutafuta wanaume wa kuwapa hata ofa ya bia.

Bajeti inategemea Pombe halafu hamtaki watu wanywe pombe. Mkikosa pesa Mtauza mpaka Jiji la Dar salaam ili mpate pesa za kukamilisha miradi.
yaani kwa unavyo tetea hii kitu naanza kuwa na wasiwasi na wewe unaweza kuwa sho..........gay
 
Ukahaba umeanza leo nyie machawa mbona mnzidisha upumbavu nchi hii, uyo DC zipo changamoto kubwa za kutatua katika wilaya yake kuliko kimbizana na mambo ya kipumbavu, ukahaba upo enzi na enzi hata kwenye biblia ukitafuta neno kahaba limo ,sasa kwa nini limetamukwa mle?

Hujui Dunia , unazungumzia ukahaba kisa watu umewakuta gest au sehem za starehe je unajua zipo app kibao watu wanajiuza on line , tena wengine wapo maofisin zitafute nazo zote mzifungie , je uyo DC anajuaje kama wenda wapo wtumishi ofisin kwake wengine hujiuza on line ,

Upumbavu ni mzigo yani uyu Rais ampandishe cheo kwa kufanya upumbavu alioufanya , mjinga kabisa
Wewe kenge kweli, kwa hiyo wizi sababu wenyewe pia upon tangu zamani tuhalalishe wizi?...
 
HATA UKIACHA SHERIA MAADILI TU YA KITANZANIA HAYARUHUSU HIVI VITU
nchi inaendeshwa kwa sheria.
Inatakiwa Serikali itunge sheria ndio utekelezi wake uanze.
Sasa just imagine mtu anakamatwa anawekwa ndani siku 5 anapelekwa mahakamani kisiasa.
Mahakama huwa inatafsiri sheria sasa unakuta hakuna kifungu chochote cha sheria walichovunja wanaachiwa..
Huu ni udhalilishaji na uonevu ni haki yao kudai fidia na ninaamini haki ikitendeka wanashinda.
Tuna viongozi ambao hawajui hata sheria za nchi hakuna kifungu chochote cha sheria kinachokataza kitendo hicho wewe unafanya enforcement huyo ni kiongozi mpumbavu anachonganisha mihamala ya dola na mahakama na hatambui mamlaka yake
 
Hapo si club, wapo sawa...alafu watu wote hatuwezi kujadili mambo nyeti ya maendeleo ya nchi...
Ndio maana kuna jamii ya wasomi wanateuliwa ili waisaidie nchi...
Sasa shida ni wasomi wanadili na wasiosoma kabisa kama hivyo..
Nchi gani iliyoendelea hawapo hawa makahaba?
 
nchi inaendeshwa kwa sheria.
Inatakiwa Serikali itunge sheria ndio utekelezi wake uanze.
Sasa just imagine mtu anakamatwa anawekwa ndani siku 5 anapelekwa mahakamani kisiasa.
Mahakama huwa inatafsiri sheria sasa unakuta hakuna kifungu chochote cha sheria walichovunja wanaachiwa..
Huu ni udhalilishaji na uonevu ni haki yao kudai fidia na ninaamini haki ikitendeka wanashinda.
Tuna viongozi ambao hawajui hata sheria za nchi hakuna kifungu chochote cha sheria kinachokataza kitendo hicho wewe unafanya enforcement huyo ni kiongozi mpumbavu anachonganisha mihamala ya dola na mahakama na hatambui mamlaka yake
 
Wabongo kwenye sakata la kukamatwa makahaba ndo wameonesha upeo na akili zao finyu zilivyoo, huku wakiendekezwa na janga kuu
UNAFIKIIIIII.

Bombokooo kamata makahaba, dada poa na wateja wao runda ndaniii woteeeee, mxxxxxxxiiiiiiieeeeew
 
Freedom.....kwani hao wanauza papuchi za kwenu au za kwao???
Kama wanauza au wanagawa bure papuchi zao hakuna kosa!
Na mashoga mnaowapinga vikali na kuwalaani kila leo, wanatumia mikundu yenu au mikundu yao?

Km ni kufirwaa wanafirwa wao, hakuna kosa!!!
 
Kama inchi tunapoteza mapato sana, imagine bao Moja 50,000/
kwa siku watu 10,
hao wote wangepewa risiti.
ni mapato mengi yanapotea,biashara ihalalishwe,wasajiliwe,walipe Kodi na tozo
 
Sasa mkuu Hata ukiwaza kwa Akili hizi hizi chache manzi mwenye upaja kaandika "rip dad" atawekwa ndani nani?
 
Back
Top Bottom