blogger
JF-Expert Member
- Mar 13, 2012
- 12,112
- 15,060
For the sake of RESPECT .... So that you r remembered after you are gone.Halafu mtu kama huyo autake u DC for what?!.
P
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
For the sake of RESPECT .... So that you r remembered after you are gone.Halafu mtu kama huyo autake u DC for what?!.
P
Nakusalimia mkuu..🙋♂️Hii ni nzuri sana.
Mtu unateuliwa kwa mbwembwe unaacha shughuki zako baada ya mwaka unatupwa nje ya uteuzi kwa aibu. Hizi nafasi za uteuzi waachiwe majibless na makada tu hazina maana ni kuharibiana maisha kwa kutenguana hivyo hovyo.
Tayari yametimia...😂Mkataa pema pabaya panamuita! Shauri yao[emoji91][emoji91]
Kuna nini Bwashee?Tayari yametimia...😂
Katibu mkuu wa CWT aliye kataa nafasi ya uteuzi kua DC, leo amesimamishwa kazi ya ukatibu mkuu CWT na kamati ya wajumbe 18.Kuna nini Bwashee?
Heshima MkuuNakusalimia mkuu..🙋♂️
Hawa ni wezi sana wanajinufaisha wao wenyewe uku wakiwaacha wanachama wao hoi bin taabanKatibu mkuu wa CWT aliye kataa nafasi ya uteuzi kua DC, leo amesimamishwa kazi ya ukatibu mkuu CWT na kamati ya wajumbe 18.
Dina Mathamani aliyeteuliwa kwenda Wilaya ya Uvinza Mkoani Kigoma
Aliishia wapi?Katibu mkuu wa CWT aliye kataa nafasi ya uteuzi kua DC, leo amesimamishwa kazi ya ukatibu mkuu CWT na kamati ya wajumbe 18.
Aliishia wapi?
Kivumbi Na Jasho Leo
HatimaeEbu ngoja nikae hapa nisubiri habari kamili kama ni kweli, ila huyu hamalizi miezi sita kalba hajafukuzwa ama kusimamishwa kwa kuundiwa zengwe.
Nipo nimekaa palee......
Hivi yuko wapi siku hizi yuleKazi kweli kweli
Hata Magufuli aligomewa na yule Dogo wa Tigo
Wewe umenenaUTOVU WA NIDHAMU!
NANI AIJUAYE KESHO!!?
UKUU WA WILAYA NI FURSA YA KUPATA UWANJA WA KUONYESHA LEADERSHIP SKILLS!!!
MSHAHARA MKUBWA NA POSHO KUBWA SIO KILA KITU WAKUU!
CV,CONNECTION AND INTERACTON WITH V.I.PS OF THE STATE MATTERS MOST!
HUWEZI UKAWA MTUMISHI WA UMMA UKAGOMEA UTEUZI TOKA KWA NAMBA MOJA KISA MISHAHARA NA MARUPU RUPU LABDA KAMA ANGEKUWA KWENYE KAMPUNI AU PRIVATE SECTORS!!
WAMEONYESHA ULIMBUKENI NA USHAMBA PIA!