Watawala wetu, tupeni "updates" ya ndege yetu iliyokamatwa huko Canada

Wako bize na CHADEMA kwanza
Hawawezi leta update wakati wanajua chadema uchaguzi haujaenda vizuri wanasubiri huo mjadala upoe ndipo wataleta yao, na wanajua mjadala wa ndege utaifunika chadema na itakuwa ni hasara kwao.
 
Tunataka tuone ile jeuri ya Waziri wetu wa Katiba, Profesa Kabidi, ya kudai kuwa amemuita Balozi wao na kumkemea vikali, angeendelea kutupa "updates" baada ya kumkemea Balozi wao, nini kimetokea, je ndege yetu tumeigomboa??
Maneno na sheria ni vitu viwili tofauti
 
Wawatume wasiojulikana kwenda kumpiga risasi 40 hadharani huyo mkulima
Halafu waseme kuwa kajishabulia mwenyewe.
 
Ukiona kimya ujue mfupa wa samaki umewakwama walioula, wangemeza ndo wangekuwa wakwanza kusema, serikari inataratibu zake za kusema. Just wait a_ moment at very soon mtapata habari njema
 
Ukiona kimya ujue mfupa wa samaki umewakwama walioula, wangemeza ndo wangekuwa wakwanza kusema, serikari inataratibu zake za kusema. Just wait a_ moment at very soon mtapata habari njema

Habari njema ni kulipa fullstop. Ubabe mwisho ni huku kwenye shithole
 
Mkulima kaigeuza fremu
Anauzia mananasi Canada.
kwa kweli hatuwezi kukubali nchi yetu inahujumiwa.
Huyu Jiwe kazi yake ni "kujimwambafai"

Sasa tuone huko kwa mabeberu kama kujimwambafai kwake kutafua dafu!

Miaka ya 78 nikiwa mitaa ya Mansfield karibu na Catholic bookshop walitokea majambazi wakiwa na silaha wakiwa wanafukuzwa na wanainchi, sikuamini macho yangu na sikuelewa inakuwaje jambazi ana silaha na bado watu wanaendelea kuwafukuza?...science hiyo mpaka leo sijaelewa.
 

Siyo lazima mujuwe kila kitu, fanzeni yanayowahusu tu,mengine yaacheni yalivyo....full stop
 
Ndiyo hivyo, mkulima atalipwa kimya kimya kama walivyofanya ile ya kwanza iliyokamatwa huko huko Canada.
Unaelekea kukosa uzalendo kama Mwakinyo na Matumla...
Hupaswi kusema chochote kinachofanana na ukweli kwanini hamsikii lakini?
 
Ndege ikiachiliwa na kutua bongo mtahamisha magoli na kuja na hoja nyingine.

Ushirikina ni tabia na siku zote mtu huzeeka na tabia zake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…