- Thread starter
- #21
Kesho nikileta mada inayohusu covid 19 nitakuwa dr, sio?Kwa thamani ya miloni 20 inatosha ba marupurupu wanabakiza
Kwa hiyo mh mwalimu kuwa mpole tu
Fedha hiyo ndogo, haitoshi labda km ni kumalizia boma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kesho nikileta mada inayohusu covid 19 nitakuwa dr, sio?Kwa thamani ya miloni 20 inatosha ba marupurupu wanabakiza
Kwa hiyo mh mwalimu kuwa mpole tu
Wazo zuri kabisa hiliHivi humu hakuna mhandisi akashusha BOQ za darasa moja kisha akatoa tena BOQ za vyumba viwili vilivyo katika foundation moja nikimaanisha kuta za nje nne zilizogawanywa katikati kutoa vyumba viwili? Ili aidha malalamiko yasikilizwe au wabanwe pesa ipunguzwe? BOQ ibase kwenye mkoa unaojenga kwa tofali za udongo kama Njombe na tofali za cement na mchanga kama Dodoma. Ili tusilaumiane bure.
Aisee, acha tu yaani!Kiongozi anaagiza madarasa yote yakamilike ndani ya miezi mitatu ili kufurahisha umati.
Mwisho wa siku madarasa yanalipuliwa tu chini ya kiwango.
SIASA SIASA SIASA.
Nilisahau na hili, viti na meza pia vimo (40 pair)Mpaka na madawati
KabisaNilisahau na hili, viti na meza pia viwemo (40 pair)
Nimependa hiko kitovu chako[emoji39]Kwa thamani ya miloni 20 inatosha ba marupurupu wanabakiza
Kwa hiyo mh mwalimu kuwa mpole tu
Wakuu wa shule siku hizi mtamu, wanapewa posho ya madaraka nje ya mshahara.Tulia headmaster, mmezoea kusema choo cha shule kimejengwa kwa m20 kumbe zinajenga darasa na ofisi na makolombwezo kibao
Hujui unachoongea Mkuu.Ktk watumishi wote wa serikali walimu mnanyanyasika Sana Aisee... Kihalali kabisa walimu mlitakiwa muishi vizuri kuliko watumishi wote serikali..
Mungu awape nguvu.
Pesa hiyo ni mrefu saana inatosha hadi na masala yanabakiKesho nikileta mada inayohusu covid 19 nitakuwa dr, sio?
Fedha hiyo ndogo, haitoshi labda km ni kumalizia boma
Nafikiri ongeza 50,000 kwenye kila tarakimu zako zilizozidi 100,000Wakuu wa shule siku hizi mtamu, wanapewa posho ya madaraka nje ya mshahara.
Mkui wa shule ( primary ) = Tsh 150,000
Headmaster= Tsh 200,000.
Na watendaji wako kwenye process za kuanza kupewa posho ya Tsh 100,000 kwa mwezi nje ya mshahara.
Hivyo, utamu wa posho ni lazima uendane na majukumu.
Kijana Acha kulia lia.
Mimi najua mratibu ( Mek ) ndio anakula 250,000.Nafikiri ongeza 50,000 kwenye kila tarakimu zako zilizozidi 100,000
Nimemuuliza mdau mmoja hapo juu, kuwa kesho nikileta habari ya covid-19 mtaniita dr?Pesa hiyo ni mrefu saana inatosha hadi na masala yanabaki
Kuwa mpole mkuu , kuwa mwl kwako ni sumu ?
Nafikiri na mkuu wa shule pia (km sijadanganywa)Mimi najua mratibu ( Mek ) ndio anakula 250,000.
Wamefanyaje mpk waonekane hawajitambui?Bahati mbaya kundi la walimu ni la watu wajinga wengi ambao hajitambui
Tulia dawa iingie teacherWamefanyaje mpk waonekane hawajitambui?
Vijana wa Chaggadomo wanaamini ili uwe 'Jiniasi' lazima uwapigie wao kura na kwenda kuandamana wapate madaraka.Wamefanyaje mpk waonekane hawajitambui?
Nimemuuliza lile swali ili anijibu, Kama Ni kweli mwl wanasema anatumika na CCM kuiba kura then aniambie yeye mbele ya vijana wa usalama, police na jeshi angekua na ubavu wa kubisha kufanya kitu gani kwny Hilo zoezi la kura.Vijana wa Chaggadomo wanaamini ili uwe 'Jiniasi' lazima uwapigie wao kura na kwenda kuandamana wapate madaraka.
Hapo hapana tuwape heshima yao! Ila changamoto yao kubwa ni kujiongeza na kutoamua kuwa watofauti katika harakati za maisha! Unakuta mwalimu mazingira anayokaa tu ni mabaya sana kuanzia nyumbani! Kikubwa wawe na uthubutu! Nimeshuhudia walimu wengi sana siku hizi wanamafanikio makubwa sana! Lakini unakutana na mwalimu kazi yake kufatilia wanafunzi vitu vya kijinga badala ya kuwa mshauri na kuangalia maisha yake!Bahati mbaya kundi la walimu ni la watu wajinga wengi ambao hajitambui
Kweli aseeHapo hapana tuwape heshima yao! Ila changamoto yao kubwa ni kujiongeza na kutoamua kuwa watofauti katika harakati za maisha! Unakuta mwalimu mazingira anayokaa tu ni mabaya sana kuanzia nyumbani! Kikubwa wawe na uthubutu! Nimeshuhudia walimu wengi sana siku hizi wanamafanikio makubwa sana! Lakini unakutana na mwalimu kazi yake kufatilia wanafunzi vitu vya kijinga badala ya kuwa mshauri na kuangalia maisha yake!