#COVID19 Watendaji na walimu wakuu wanavyoenda kuteseka na fedha za COVID‐19 za IMF

#COVID19 Watendaji na walimu wakuu wanavyoenda kuteseka na fedha za COVID‐19 za IMF

Hivi humu hakuna mhandisi akashusha BOQ za darasa moja kisha akatoa tena BOQ za vyumba viwili vilivyo katika foundation moja nikimaanisha kuta za nje nne zilizogawanywa katikati kutoa vyumba viwili? Ili aidha malalamiko yasikilizwe au wabanwe pesa ipunguzwe? BOQ ibase kwenye mkoa unaojenga kwa tofali za udongo kama Njombe na tofali za cement na mchanga kama Dodoma. Ili tusilaumiane bure.
Kuna sehemu tulijenga madarasa mawili,ofisi moja ya mwalimu mkuu na strong room moja ,gharama za kukamilisha boma zilikuwa milion 13 kwa jengo zima. Location ni Mbeya,tofari za kuchoma,msingi wa mawe
 
Ktk watumishi wote wa serikali walimu mnanyanyasika Sana Aisee... Kihalali kabisa walimu mlitakiwa muishi vizuri kuliko watumishi wote serikali..

Mungu awape nguvu.
Acha wanyanyasike,maana Hawa ndio huwa wanatumika Sana kwenye uchaguzi.
 
Hujui unachoongea Mkuu.

Walimu wananyanyasika kwenye nini ??
Si hivyo 20mil ijenge darasa lenye tiles...gypsum... aluminium window... na choo..

Tuzungumze kuhusu Mwalimu na Mbunge... Wako sawa?
 
Hakuna mtu mwenye division 1 atakubali kukaa maporini huko
Tema mate ndugu yangu.

Hiyo unayosema ilikuwa zamani,wenye division 1 kwenye teaching career wako kibao kwa sasa.Maana wengine ni 'vipanga' kweli kweli ila kwavile ni watoto wa masikini wasio na connection mjini ikabidi tu waangukie huko ilimradi mkono uende kinywani.

By the way,umesahau ni juzi tu hao wenye division 1 walioko mtaani walikuwa wanazitolea macho nafasi za ajira za Police Tanzania? Unafikiri leo ni ajabu kumkuta mwenye One yake akifundisha Nyamitwebiri Secondary School? Usikariri.
 
Hizo pesa zitapigwa tena kabla hazijafika kwenye vituo husika. Kama enzi za jiwe fedha za elimu msingi bila malipo zilipigwa na wakuu na maafisa elimu sembuse nyakati hizi.
 
Tema mate ndugu yangu.

Hiyo unayosema ilikuwa zamani,wenye division 1 kwenye teaching career wako kibao kwa sasa.Maana wengine ni 'vipanga' kweli kweli ila kwavile ni watoto wa masikini wasio na connection mjini ikabidi tu waangukie huko ilimradi mkono uende kinywani.

By the way,umesahau ni juzi tu hao wenye division 1 walioko mtaani walikuwa wanazitolea macho nafasi za ajira za Police Tanzania? Unafikiri leo ni ajabu kumkuta mwenye One yake akifundisha Nyamitwebiri Secondary School? Usikariri.
Maelezo mazuri sana!
Kuna wakati mimi huwa naogopa kuwajibu watu wa namna hii maana unaweza kukuta kelele zote hizo ana IV ya 30 na ameriseat kama mara tatu hivi na kuambulia IV ya 30 hiyohiyo. Sijui kisaikolojia inaitwaje hii? Sasa Mungu ambariki ukuu ktk ofisi mtu wa namna hii, hatari sana!
 
Maelezo mazuri sana!
Kuna wakati mi huwa naogopa kuwajibu watu wa namna hii maana unaweza kukuta kelelr zote hizo ana iv.30 na ameriseat km mara tatu hv na kuambulia iv.30 hiyohiyo. Sijui kisaikolojia inaitwaje hii? Sasa Mungu ambariki ukuu ktk ofisi mtu wa namna hii, hatari sana!
Unajua kuna watu hawaelewi nini kinaendelea maishani.Kuna ajira zilikuwa zinachukuliwa kuwa ni 'za watu waliofeli' ila ugumu wa maisha umepelekea wenye Division One zao wakajazane huko huko kwa 'waliofeli'.

Ninachojua ni kwamba kuna Walimu hata huo Ualimu wenyewe hawaupendi.Hao ni wale wenye One na Two zao ambao baada ya kukosa connection zingine ikabidi waingie huko ili kupoza njaa.Na ni wengi sana huko kwa sasa!
 
Tema mate ndugu yangu.

Hiyo unayosema ilikuwa zamani,wenye division 1 kwenye teaching career wako kibao kwa sasa.Maana wengine ni 'vipanga' kweli kweli ila kwavile ni watoto wa masikini wasio na connection mjini ikabidi tu waangukie huko ilimradi mkono uende kinywani.

By the way,umesahau ni juzi tu hao wenye division 1 walioko mtaani walikuwa wanazitolea macho nafasi za ajira za Police Tanzania? Unafikiri leo ni ajabu kumkuta mwenye One yake akifundisha Nyamitwebiri Secondary School? Usikariri.
Mkuu ataenda kuripoti na kuomba kwenda kusoma
 
Hakuna mtu mwenye division 1 atakubali kukaa maporini huko
Kinachowafanya wengi wasomee ualimu Wala sio hiyo passmark, mbona kuna watu kibao wana marks za kuchechemea lkn hawajawahi somea ualimu?

Wengi wanasomea ualimu kwa sababu ya umasikini na connection. Walimu wengi unaowaona laiti Kama wangekuwa na connection pia familia zao kidogo zinajiweza wasingesomea ualimu. Ukiondoa Udaktari ni kozi gani nyingine inataka marks za Juu? Vyuo vimejaaa tele, ukikosa bongo unaenda hata nje kwa kozi uitakayo.
 
Weka mchanganuo
Tofali 500 x 1200 = 600,000, mawe lori 5 x 120,000 = 600,000, nondo 30 x 22,000 = 660,000, bati 40 x 30,000 = 1,200,000, cement 50 x 17,000 = 850,000, mchanga lori 5 x 100,000 = 500,000, misumari 20kgs x 6,000 = 120,000, fundi 1,500,000, mlango 200,000, madirisha 5 x 150,000= 750,000, maji 100,000, kokoto 300,000, vioo na ufundi 300,000, rangi na ufundi 500,000, nauli vifaa 100,000 dharura 1,000,000 jumla 9,280,00 na chenchi inabaki mkuu
 
Kinachowafanya wengi wasomee ualimu Wala sio hiyo passmark,mbona kuna watu kibao wana marks za kuchechemea lkn hawajawahi somea ualimu?
Wengi wanasomea ualimu kwa sababu ya umasikini na connection.Walimu wengi unaowaona laiti Kama wangekuwa na connection pia familia zao kidogo zinajiweza wasingesomea ualimu.Ukiondoa Udaktari ni kozi gani nyingine inataka marks za Juu? Vyuo vimejaaa tele ,ukikosa bongo unaenda hata nje kwa kozi uitakayo.
ualimu ni kazi ya mwisho sn hapa bongo baada ya kukosa namna
 
Back
Top Bottom