Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Wewe una pungukiwa na nini nikitafuta cheap popularity huku jf?Wewe ndo huyo mtu wa kwanza kujua kusoma na kuandika ambaye hukufundishwa na mtu?
Unavyotoa lugha za kejeli unafaidika nini?
Au kuita walimu wajinga kunakufanya wewe uwe mjanja?
Kwa ushauri tu huo ni utoto, wa kutafuta cheap popularity huku jf ambayo haikusaidii kwa lolote kwenye maisha yako. Uwe na siku njema mkuu Babati uliye mjanja na IQ kubwa plus div 1
Pole teacher jiwe la gizani limekupataKama walimu ni wajinga basi wewe uliyefundishwa na walimu ndio mjinga zaidi kukubali kufundishwa na wajinga
Kujibu Hilo jiulize ulianza kufikiri lini na ni Nani alikufundisha kufikiri?Walimu bhana mnapata tabu sn, mtu wa kwanza kujua kusoma na kuandika alifundishwa na nani?
Teacher tulia tukusaidie mkuuKujibu Hilo jiulize ulianza kufikiri lini na ni Nani alikufundisha kufikiri?
Tofali mia tano ni kweli?wakati chumba kimoja cha kulala cha futi 10 kwa 10 ni tofali 300-350.Tofali 500 x 1200 = 600,000, mawe lori 5 x 120,000 = 600,000, nondo 30 x 22,000 = 660,000, bati 40 x 30,000 = 1,200,000, cement 50 x 17,000 = 850,000, mchanga lori 5 x 100,000 = 500,000, misumari 20kgs x 6,000 = 120,000, fundi 1,500,000, mlango 200,000, madirisha 5 x 150,000= 750,000, maji 100,000, kokoto 300,000, vioo na ufundi 300,000, rangi na ufundi 500,000, nauli vifaa 100,000 dharura 1,000,000 jumla 9,280,00 na chenchi inabaki mkuu
Pamoja na msingi Ofisa ElimuTofali miatano ni kweli,wakati chumba kimoja nibtofali 300-350.?
Kuna majizi yanaweka tofali nyingi ilikuiba mali za ummaTofali miatano ni kweli,wakati chumba kimoja nibtofali 300-350.?
Hatuna la kuwasaidiaNawasalimu sana kwa jina la JMT yetu pendwa!
Baada ya mheshimiwa raisi kuagiza fedha za imf kwenda kwenye elimu na kujenga madarasa ili watoto wa f1 mwakani wasipate tabu ya kusubiri, na tamisemi kazipangia bajeti na kuzigawa, kazi imeanza huku chini (wilayani). Viongozi (wakurugenzi na maafisa elimu) wakiibuka na 'majuhudi' kibao ya kutaka kufanya 'maajabu' ili wawe wa mfano. Bahati mbaya sana, 'majuhudi' yao hayo, yanaenda kuwaangukia na kuwaumiza watendaji na zaidi wakuu wa shule.
Kwa siku chache tu, kuna halmashauri fulani, kwa wakati tofauti, tayari wakuu wa shule wameambiwa (of course kuamrishwa) yafuatayo:
1. Darasa lililolengwa likamilike lakini ni lazima na kitu kingine kitokee (yaani wahakikishe wameanzisha kitu kingine pia k.v boma, ofisi, choo n.k kutoka katika fedha hizo hizo)
2. Madarasa yawekwe marumaru (tiles)
3. Bati ziwekwe za msouth
4. Madirisha ya aluminium
5. Mfumo wa umeme wote ukamilike
Barua za kuwakabidhi fedha hizo zinaandaliwa kwenda kwa wakuu hao kwa majina yao na atakayeshindwa kukamilisha majengo hayo kwa viwango tajwa kazi anayo. Ikumbukwe kuwa fedha zilizotolewa ni m.20 tu kwa chumba kimoja cha darasa. Hapo sidhani kama watendaji na wakuu hawa watakuwa na ujanja mwingine wowote zaidi ya kurudi kwa wanakijiji kuwaambia wajitolee.
AISEE! Kujitolea kipindi hiki ni vigumu kuliko maelezo, siajabu kijiji cha watu 2000 wakajitolea watu 7 tu tena kwa siku mbili tu.
Wakuu wa shule kiukweli kazi wanayo. Huku mitihani ya kitaifa, kule ujenzi uliyoongezewa maagizo. Dah!!!
Kuna watu humu hawajawahi hata kujenga banda la kuku ila aamejawa na porojo za kutosha eti darasa unajenga kwa million 12.Kama kuna watu wameambiwa hayo ni wapumbavu Sana ,ngoja tuone watakaojitolea..
Yangu lini mil.20 ikatosha darasa la kisasa na la viwango tena lenye furniture? Watapata wapi mafundi wa kujenga wakati mambo za force account zimewadhulumu mafundi na wamepigishwa Kazi kubwa bila malipo?
Tangu Lini mil.80 ikatosha bweni la watoto 80 tena likiwa limekamilika na vitanda vyake,umeme,mfumo wa maji taka na maji safi? Fundi yupi atakubali kukitolea?
Kuna wengine eti watatumia magereza na JKT.. Serikali iache utani ,hadi tunakwenda mitamboni suppliers na mafundi watadhulumiwa hadi akili zikae sawa.
Siwezi shiriki Kazi ambazo zitadhulumu.Kwa uzoefu wangu darasa moja angalau linaweza kamilika kwa mil.25 na bweni kwa mil.100 ,,niliofanya hizi Kazi nikaona kinyume na hapo ni kuzulumu sappliers wa vifaa vya ujenzi,kudhulumu mafundi na kulipua ujenzi kuwa chini ya viwango.
Thubutu yako nani kakwambia mimi ni mpangaji?ninamiliki nyumba uliyopanga
Nenda kaombe hiyo tenda kwa hizi hesabu zako utapewa tenda ya kujenga madarasa nchi nzimaMkuu leta mchanganuo wako kama mimi hapa (Tofali 500 x 1200 = 600,000, mawe lori 5 x 120,000 = 600,000, nondo 30 x 22,000 = 660,000, bati 40 x 30,000 = 1,200,000, cement 50 x 17,000 = 850,000, mchanga lori 5 x 100,000 = 500,000, misumari 20kgs x 6,000 = 120,000, fundi 1,500,000, mlango 200,000, madirisha 5 x 150,000= 750,000, maji 100,000, kokoto 300,000, vioo na ufundi 300,000, rangi na ufundi 500,000, nauli vifaa 100,000 dharura 1,000,000 jumla 9,280,00 na chenchi inabaki mkuu) acheni wizi wa mali za umma tuwe wazalendo
Mkuu hujui kitu. Nyamaza!!Tofali 500 x 1200 = 600,000, mawe lori 5 x 120,000 = 600,000, nondo 30 x 22,000 = 660,000, bati 40 x 30,000 = 1,200,000, cement 50 x 17,000 = 850,000, mchanga lori 5 x 100,000 = 500,000, misumari 20kgs x 6,000 = 120,000, fundi 1,500,000, mlango 200,000, madirisha 5 x 150,000= 750,000, maji 100,000, kokoto 300,000, vioo na ufundi 300,000, rangi na ufundi 500,000, nauli vifaa 100,000 dharura 1,000,000 jumla 9,280,00 na chenchi inabaki mkuu
Inabidi tukupe wizara ya ujenzi, utatusaidia sana[emoji23][emoji23]Acha wizi mkuu, maji hata laki haifiki shule si ina maji, hapo nimeongelea bill nzima ya shule kwa mwezi, nina uzoefu mkuu na haya mambo
Acheni kuumiza wananchiInabidi tukupe wizara ya ujenzi, utatusaidia sana[emoji23][emoji23]
wewe ndiyo una hardware peke yako?Mkuu hujui kitu. Nyamaza!!
Mafisadi kimeumana nimeshika sehemu za siri za nyatiNenda kaombe hiyo tenda kwa hizi hesabu zako utapewa tenda ya kujenga madarasa nchi nzima
huu ni mwandiko wa mpangajiThubutu yako nani kakwambia mimi ni mpangaji?
Cement Sina hakika Kama itakuwa mifuko 50Tofali 500 x 1200 = 600,000, mawe lori 5 x 120,000 = 600,000, nondo 30 x 22,000 = 660,000, bati 40 x 30,000 = 1,200,000, cement 50 x 17,000 = 850,000, mchanga lori 5 x 100,000 = 500,000, misumari 20kgs x 6,000 = 120,000, fundi 1,500,000, mlango 200,000, madirisha 5 x 150,000= 750,000, maji 100,000, kokoto 300,000, vioo na ufundi 300,000, rangi na ufundi 500,000, nauli vifaa 100,000 dharura 1,000,000 jumla 9,280,00 na chenchi inabaki mkuu
Mfano mdogo ni minimum qualifications za mwalimu kusoma ualimu CertificateUmeongea ukweli mtupu...binafsi naona kozi nyingine zinahitaji alama ndogo na za kawaida tu issue ni connection, wengi walisomea ualimu ili kujikwamua ki maisha kwani ndiyo kozi pekee ilikuwa inampa ulaji wa haraka mtu yeyote tofauti na siku za hivi karibuni ambapo ajira za ualimu zimeanza kuwa adimu pia
Huyu jama hesabu zake kapiga sijui za wapiDarasa moja linachukua tofali 900~1000,mawe inategemeana na eneo lakini sio chini ya trip 10, nondo ni 42 maana Kuna za beam na renta, bati darasa moja ni 56,cement sio chini ya mifuko 130 kwa darasa moja, mchanga trip 8~10.