Miti7
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 1,081
- 1,958
Serikali si ina misitu huko kila kona iweje ikanunue mbao tena badala ya kuchukuwa chainsaw na kukata hiyo miti tupate mbao tujenge shuleHujui kitu wewe,kwamba darasa ni kusimamisha BOMA basi? Unajua hata bei ya mlango ulipi hapo au unaropoka? Unajua hata bei za mbao treated za kuezekea hilo darasa?
Kwani serikali inashindwa nini hasa kuwa na kiwanda chake cha cement?