Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,034
- 6,913
Ni vitukoKwa thamani ya miloni 20 inatosha ba marupurupu wanabakiza
Kwa hiyo mh mwalimu kuwa mpole tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni vitukoKwa thamani ya miloni 20 inatosha ba marupurupu wanabakiza
Kwa hiyo mh mwalimu kuwa mpole tu
Tupo Sana na hizo pesa hazitoshi hata kidogo,darasa standards la viwango wanavyotaka ni min.mil.25-30 na bweni ni mil.90-120Hivi humu hakuna mhandisi akashusha BOQ za darasa moja kisha akatoa tena BOQ za vyumba viwili vilivyo katika foundation moja nikimaanisha kuta za nje nne zilizogawanywa katikati kutoa vyumba viwili? Ili aidha malalamiko yasikilizwe au wabanwe pesa ipunguzwe? BOQ ibase kwenye mkoa unaojenga kwa tofali za udongo kama Njombe na tofali za cement na mchanga kama Dodoma. Ili tusilaumiane bure.
Good msingi hata laki moja hauzidi ambao unakuwa kwenye gharama za fundi, watu wamezoea kuiba mali za ummaTofali 500 zinatosha hasa kama msingi ni wa mawe. Sababu ni hall na sehemu kubwa ni madirisha na mlango
Hao ni wezi tu wa kodi za watu
Kuchimba msingi hata wanafunzi wanaweza kuchimba
Tuihurumieni nchi yetu tuache kupigaTupo Sana na hizo pesa hazitoshi hata kidogo,darasa standards la viwango wanavyotaka ni min.mil.25-30 na bweni ni mil.90-120
Hii kauli kwangu ni ya ajabu,hakuna pesa ya serikali ya kuchezea sio tuu hiyo..Mbona pesa zilizotengwa kwa Kazi mbalimbali ni nyingi kuliko hii?
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Madame Samia Suluhu Hassan
Kasema Wazi Wazi Pesa Hiyo Ni Ya Moto
Ukijichanganya Utaona Kilichomtoa Kanga Manyoya
Kama una huruma mbona unapinga tozo? Kwa nini huwi mzalendo wa mfano?Tuihurumieni nchi yetu tuache kupiga
Wanawaza kuiba tu ndiyo maana watu wengi siku hizi hawaoni umhimu wa kulipa kodiGood msingi hata laki moja hauzidi ambao unakuwa kwenye gharama za fundi, watu wamezoea kuiba mali za umma
Darasa moja haliwezi kuzidi 12M zaidi ya hapo ni wizi wa fedha za ummaKama una huruma mbona unapinga tozo? Kwa nini huwi mzalendo wa mfano?
Hongereni mkuu tuachane na haya majiziWanawaza kuiba tu ndiyo maana watu wengi siku hizi hawaoni umhimu wa kulipa kodi
Kijijini kwetu tukiwa wanafunzi tofali tumefyatua wenyewe, msingi tunachimba wenyewe wanafunzi
Kama unajenga ki layman kama unavyojenga Banda lako hizo pesa zinatosha na chenji inabaki maana hapo utaweka ratio isiyo standard,utaweka nondo 2 au 3,, utajenga Jenga ilimradi nk hapo inatosha Sana.Good msingi hata laki moja hauzidi ambao unakuwa kwenye gharama za fundi, watu wamezoea kuiba mali za umma
Hujui kitu wewe,kwamba darasa ni kusimamisha BOMA basi? Unajua hata bei ya mlango ulipi hapo au unaropoka? Unajua hata bei za mbao treated za kuezekea hilo darasa?Darasa moja haliwezi kuzidi 12M zaidi ya hapo ni wizi wa fedha za umma
Majengo ya serikali ipi? hatuyaoni ambayo ya expansion joint kabla hata hajaanza kutumika? hahahaha kawadanganye wapuuzi wenzako, BOQ zenu ni wizi mtupuKama unajenga ki layman kama unavyojenga Banda lako hizo pesa zinatosha na chenji inabaki maana hapo utaweka ratio isiyo standard,utaweka nondo 2 au 3,, utajenga Jenga ilimradi nk hapo inatosha Sana.
Ila sasa ukitaka kujenga kama michoro inavyotaka yaani ufuate standards za ujenzi hakuna pesa hapo,majengo ya serikali huwa yanatumika pia kuhifadhi watu kipindi cha maafa kwa sababu yanatakiwa kuhimili vishindo vya majanga.
Kuandika nibrahisi sababu hujawahi hata kujenga,kama unaamini nenda uombe Kazi ya ujenzi afu tuone kama hujakimbia SI unaropoka tuu hapa.Tofali 500 zinatosha hasa kama msingi ni wa mawe. Sababu ni hall na sehemu kubwa ni madirisha na mlango
Hao ni wezi tu wa kodi za watu
Kuchimba msingi hata wanafunzi wanaweza kuchimba
ninamiliki nyumba uliyopangaUlishawahi kujenga hata banda la kuku?
Hahahaha eti boma, acheni wizi wa mali za umma, nimeshiriki kujenga madarasa tangu 2018-2021 huwezi nidanganya mpuuzi weweHujui kitu wewe,kwamba darasa ni kusimamisha BOMA basi? Unajua hata bei ya mlango ulipi hapo au unaropoka? Unajua hata bei za mbao treated za kuezekea hilo darasa?
Hayo ya expansion joint Ndio ya bei hizi mnazotetea Kwa upuuzi wenu hapa.Majengo ya serikali ipi? hatuyaoni ambayo ya expansion joint kabla hata hajaanza kutumika? hahahaha kawadanganye wapuuzi wenzako, BOQ zenu ni wizi mtupu
Kama umeshiriki utakuwa mpumbavu wa mwisho,ushiriki wako unaonesha hiyo pesa inatosha?Hahahaha eti boma, acheni wizi wa mali za umma, nimeshiriki kujenga madarasa tangu 2018-2021 huwezi nidanganya mpuuzi wewe
Mkuu leta mchanganuo wako kama mimi hapa (Tofali 500 x 1200 = 600,000, mawe lori 5 x 120,000 = 600,000, nondo 30 x 22,000 = 660,000, bati 40 x 30,000 = 1,200,000, cement 50 x 17,000 = 850,000, mchanga lori 5 x 100,000 = 500,000, misumari 20kgs x 6,000 = 120,000, fundi 1,500,000, mlango 200,000, madirisha 5 x 150,000= 750,000, maji 100,000, kokoto 300,000, vioo na ufundi 300,000, rangi na ufundi 500,000, nauli vifaa 100,000 dharura 1,000,000 jumla 9,280,00 na chenchi inabaki mkuu) acheni wizi wa mali za umma tuwe wazalendoHayo ya expansion joint Ndio ya bei hizi mnazotetea Kwa upuuzi wenu hapa.
Ni hivi ukitaka kizuri ingia mfukoni hutaki Kaa hivyo hivyo utajengewa Kama inavyotaka.
Hilo darasa unalotaka wewe liwe la viwango haliwezi jengwa Kwa mil.20
Dingi ako, toa mchanganuo acha kuiba mali za ummaKama umeshiriki utakuwa mpumbavu wa mwisho,ushiriki wako unaonesha hiyo pesa inatosha?
Umejenga kitu gani wewe mpuuzi unatia watu utadhani una ghorofa hapo kwako kumbe umepangaHayo ya expansion joint Ndio ya bei hizi mnazotetea Kwa upuuzi wenu hapa.
Ni hivi ukitaka kizuri ingia mfukoni hutaki Kaa hivyo hivyo utajengewa Kama inavyotaka.
Hilo darasa unalotaka wewe liwe la viwango haliwezi jengwa Kwa mil.20