Toadie mchanganuo hapa ili tuone sio porojo zisizo na facts.
Sema hapa gharama za darasa moja kuanzia
1. Uchimbaji wa msingi
2. Matofali
3. Mchanga
4.kokoto
5. Mbao
6. Bati
7.misumari
8. Milango na madirisha
9.Nondo
10.Maji
11.Waya
12.Tiles
13.Wavu
14.Alminium
15.ufundi
Tofali 500 x 1200 = 600,000, mawe lori 5 x 120,000 = 600,000, nondo 30 x 22,000 = 660,000, bati 40 x 30,000 = 1,200,000, cement 50 x 17,000 = 850,000, mchanga lori 5 x 100,000 = 500,000, misumari 20kgs x 6,000 = 120,000, fundi 1,500,000, mlango 200,000, madirisha 5 x 150,000= 750,000, maji 100,000, kokoto 300,000, vioo na ufundi 300,000, rangi na ufundi 500,000, nauli vifaa 100,000 dharura 1,000,000 jumla 9,280,00 na chenchi inabaki mkuu