Big L
JF-Expert Member
- Nov 21, 2022
- 502
- 820
I have serendipitously ‘met’ most of them.
They didn’t know who I was [unless Max told them later].
Hivi wewe kukaa na dictionary muda wote huchoki?
[emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
I have serendipitously ‘met’ most of them.
They didn’t know who I was [unless Max told them later].
Kichwa changu ndo kamusi yangu.Hivi wewe kukaa na dictionary muda wote huchoki?
[emoji23][emoji23]
We hadi hapo huoni kuwa kuna la kuwaambia baadhi yao?Sasa unakuwa unawaanbia nini na wewe
Inachekesha sana kwa kweliKuna MTU alisema Jana kuwa Watendaji wenyewe ni wanene kuliko hata boss wao.... dunia ngumu sana hii
Nimesahau unapenda nyama nyingi kuliko mchuzi 😛We hadi hapo huoni kuwa kuna la kuwaambia baadhi yao?
Fungua macho mama Eli😂
Unawatukana hivi hivi tu Watanzania na Waafrika.Na hao wazungu ndo nafikiri wameboresha hii jf imefanana sana na ile social media yao....yaani kuanzia majukwaa, threads, pm,
Umenionea, Yesu atosha😂Nimesahau unapenda nyama nyingi kuliko mchuzi 😛
Yupo kavulata-Mara paap unakuta hapo yuko lucas mwanshambwa .Dah!
Hata mimi nimeshangaa tuache utani mkuu hapo hakuna pisi kali yeyote..Pisi kali iko wapi hapo MKUU?
Namie nimeona nikacheka tu ilaaaa...🤭!Bega kwa bega... Hahahaha
Siwezi kufanya chochote... hahahaNamie nimeona nikacheka tu ilaaaa...🤭!
Ole wakooooo nasema ole wako🤠
Better not ... ni nitakumalizaa walakhi unanijuaSiwezi kufanya chochote... hahaha