Watendaji Wizara ya Fedha wasimamishwa kazi kwa tuhuma za matumizi mabaya ya fedha

Sisi wenye mishahara ya laki sita tunatamani kufika huko kwenye mishahara ya kuanzia 1.5M pamoja na posho na marupurupu kibao tutulie tufanye kazi kama wendawazimu, KUMBE TUMBO LA BINADAMU HALITOSHIBA MPAKA SIKU LINAINGIA KUBURINI.


VIONGOZI WA JUU FANYENI KWANZA HAKI NA USAWA KWENYE MISHAHARA ILI NCHI IENDELEE UNYONYAJI KWENYE MISHAHARA NI MBAYA SANA.
 
Wasisaahau pia mbunge wa arusha mjini , wa kuchaguliwa na wananchi alikuwa na yeye kwenye mdundiko wa kugombea BWANA ....safaari hii wananchi wa arusha wamepatikaana na mcheza vigodoro ..wanaume wa arusha ..oyeee
 
Ukiwa nje ya mchezo utasema wafukuzwe kazi. Ila ukweli ni kwamba kila mtu anapiga anapo pata mwanya.Ajali kazini
 
I FEEL SORRY FOR MWIGULU NCHEMBA , NA UJANJA WAKE WOTE HADI WAZIRI MKUU AJE AONE MADUDU KWENYE WIZARA YAKE ...INA MAANA YEYE ALIKUWA WAPI KUYAONA ....MAANA HAO WALIOTUMBULIWA ANAWAMUDU HASAAA..HAKUITAJI KUSUBIRI MAJALIWA AJE AMSAIDIE ..HUU NI UDHAIFU KWAKE .....NA ITA MCOST ..POLE YAKE ....NA NDIO ANATAKA AWE RAIS 2025/?
 
RAIS WA TANZANIA 2025 kweli watu wanaiba yuko ofisini..anaumbuliwa na waziri mkuu ..yeye alikuwa wapi kuyajua haya ......
Mwigulu apunguze siasa ..na kuzungukwa na madalali , afanye kazi , kwa mwendo huu watamtumbua ..
 
Posho ya kuandaa ripoti ya mwaka hahahaaa
Usicheke 🤣🤣🤣! Kuna mambo ya ajabu sana katika utumishi wa serikali. Ukiyachunguza kwa makini unaweza kudhani siyo watumishi bali ni wataalam washauri wa serikali.

Posho ndiyo lugha wanayoifahamu!
 
Kwaiyo wewe unatakaje?unataka Rais anayefatilia watendaji wake au huyu tuliyenaye anayeshinda kwenye kioo anajipodoa utafikiri anatafuta mchumba,hapa atuna Rais tuna picha ya Rais tu,juzi tu tuliona Waziri mkuu anafukua madudu hapo UDAT mpaka akasimamisha watendaji wake,akabaki Mkurugenzi ambaye waziri mkuu,akuwa na uweza naye wa kutengua, akasema anampereka kwa Rais maana yeye ndiye alikuwa na mamlaka naye, mpaka sasahivi hatuoni chochote,yule Mkurugenzi bado yupo pale pamoja na madudu yote yale.Hapa atuna Rais tuna rais wa kutafuta wawekaji tu.
 
Hawa viongozi wetu wanacheza tu na akili zetu! Haya ni maonesho tu yasiyokuwa na uhalisia! Mbona mengine hatuambiwi? Kwani ni wizara ya frdha tu wanalipana maposho makubwa? Ubadhirifu upo kila mahali lakini mnachagua sehemu ambayo mnajua mtawapumbaza wananchi! In fact hakuna litakaloendelea kwa sababu sheria navtsratibu zinawaruhusu kujilipa walivyojilipa! Acheni kutuchezea akili nyie!
 
Taifa linasimama kujadili pesa ambayo haItoshi kununua vx - r....

Zile b's nyingi zilizopotea ndio bac Tena?

Basi sawa
 
Wewe inaonekana uliharibiwa kabisa na Mwendazake! Mwendazake alikuwa anafanya majukumu ya suboordinates wake kwa sababu ya ile hulka yake ya kutaka kionekana ba kusifiwa yeye tu. Mawaziri walikuwa hawana kazi! Mwendazake alikuwa abafanya kazi zaxwaziri mkuu.

Kufuatilia mambo madigomadogo ya kisekta sio kazi ya rais wa nchi! Hizo ni kazi za waziri mkuu na mawaziri wake. Unamkumbuka Lowasa akiwa waziri mkuu? Hivyo ndivyo waziri mkuu anapaswa kuwa! Waziri mkuu nfiye anapaswa azunguke huko na huko nchi nzima akihakikisha mipango ya serikali inatekelezwa! Sio kazi ya rais hiyo!

Mwendazake alivuruga kabisa mifumo na protokali za kiutawala! Ndiyo maana amewaharibu kabisa kwa mifano yake mibaya!
 
Sijaoa
1. ACP au CP....... Hamduni si alipandishwa na kuwa Kamishina wa Polisi

2. Kwahiyo uchunguzi huo ni tofauti na Rais Samia
Sijapata kuona wizi wa kishamba namna hii! Hata asiyekwenda shule, anajua kuwa jamaa walipiga! Nashauri! Wizara ya fedha ifanyiwe overhaulin
 
In other words amepiga mkiani badala ya kichwani
Hana mamlaka wa kupiga kichwani. Mwenye mamlaka hayo yuko DSM. Waziri Ummy huko Shinyanga leo naye kaishia kupiga mkiani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…