Watendaji Wizara ya Fedha wasimamishwa kazi kwa tuhuma za matumizi mabaya ya fedha

Mkurugenzi ashaondolewa wewe jamaa, Mkurugenzi mpya kateuliwa huu uteuzi wa juzi pamoja na jamaa wa Takukuru, nyie ndio walewale mnakurupuka tu kukashfu au kusifia bila hata kufuatilia kinachoendelea
 
hii habari imeniudhi sana. hivi hao mbwa bado wapo ofisini badala la selo/sero?
 
hayo hayaondoi uhalali wa hili alilolifanya.
 
Si tulikubaliana kuwa tunataka hela mtaani?
Hii ndio njia nzuri na haraka. Tatizo wabongo hatujui tunataka nini.
Rest in peace MAGUFULI!
 
Huyu nae ni sukuma gang.
Atulie km vp amfate mwendazake!
Walisikika vichaa fulani huko mtaa wa jamii forum.
 
Nikifikiri wapishi wa biriani/pilau ndio huonjaga kujua chungu kimeiva au la? Kumbe na fedha nazo zinaonjwa kujua ziko tayari kuingia kwenye mzunguko mkuu huko mitaani.
 
Kwa hivyo haujarejea!!!?
Urejee kutoka wapi? Kama ulikuwa hujui hayo masalia yake ni kwamba yanaendeleza tu wizi uliokuwepo!

Wakati wa yule shetani nani angethubutu kuhoji? Si afadhali ya sasa kwani hata Majaliwa ana ujasiri wa kuhoji!

Kwa ufahamisho zilikuwa zikichotwa labda zaidi ya hizo kwa amri/kauli yake!
 
Inapofika mahali waziri mkuu anaongea mambo ambayo waziri wa hiyo wizara angeongea maana yake huyo waziri hafai...tatizo mama yuko bize mitandaoni
Bora wa busy mitandaoni kuliko yule aliyekuwa anakesha kuangalia shilawadu na futuhi
 
So jumla sh ngapi??
Kwa mahesabu ya haraka haraka kama zinakaribia ama ni bilioni 2 [emoji849]

Halafu utakuta kesi inaisha kiholela.. Baadaebwanakuja kupiga kelele tuwe wazalendo tulipe kodi kwa manufaa ya taifa letu, kumbe ni kwa manufaa ya mtumbo ya wachache
 
πŸ‘πŸ€πŸ‘
 
Dah.... Mkuu umeandika kwa hisia Kali Sana.... Kamwe uongo unaoendelea haiwezi kuushinda ukweli uliosimama...
"Ukitaka kula lazima uliwe kidogo" - Julai Kilo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji2960]
 
Kwa mahesabu ya haraka haraka kama zinakaribia ama ni bilioni 2 [emoji849]

Halafu utakuta kesi inaisha kiholela.. Baadaebwanakuja kupiga kelele tuwe wazalendo tulipe kodi kwa manufaa ya taifa letu, kumbe ni kwa manufaa ya mtumbo ya wachache
Ukimuona polisi wa Usalama Barabarani anahangaika juani na madereva lazima ujue kuna mabosi wanakula kivulini. Hivyo ndivyo utawala wa mwendazake ulivyokuwa. Na hii ni Wizara ya Fedha Hazina tu, huko kwingine ndio kulikuwa labda balaa zaidi. Sasa tusubiri ya TRA na BOT!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…