Watendaji Wizara ya Fedha wasimamishwa kazi kwa tuhuma za matumizi mabaya ya fedha

Haya madudu ndiyo yanayowafanya waandike kwamba sasa hivi wana furaha zamani hawakuwa na furaha.

Lakini sauti ya Majaliwa ina mamlaka ndani yake ndiyo maana wako bize kumfundisha rais Samia kuwa amtoe kwenye uwaziri mkuu kwa sababu eti ni masalia ya JPM!

Kwani SAMIA ni masalia ya nani?
 
Kassimu anaacha kuongelea zilizochotwa na doto james,bashiru,kakonko anatuletea blahblah tu...huyu ndio PM mwenye elimu kma lusinde kibajaji
Tatizo lako umeamini porojo za kigogo ambazo hazina ukweli wowote. Hao akina Doto na Bashiru Kama wangefanya ubadhirifu wangeendelea kuaminiwa kuwa viongozi? Mbona mkurugenzi wa Bandari alisimamishwa kazi kupisha uchunguzi?
 
Kweli hii ni vita tena Vita ngumu sana,
Mama kuwa makini sana, namuomba mungu azidi kukupa nguvu
 

Na wewe hueleweki...

Hawa uliowataja "wanapakua...." au "walipakua fedha ya umma?"

Hebu rekebisha "wakati" hapo. Kwamba, msomaji aelewe iwapo unaongelea wakati huu wa sasa au uliopita...

Kwa sababu as far as it concerned, hawa uliowataja karibu wote hawapo serikalini...
 
Kwa hiyo hivi vijiela kidogo tuviachie si ndio mangii
 
Si kuna wakaguzi wa ndani ambao kazi yao kubwa ni kufanya pre-audit kabla ya payment yoyote na kuhakikisha utaratibu unafuatwa
 
Umewaongelea vizuri sana wapigaji. Wanasema hata Dr Mpango hafai kuwepo kama Makamu wa Rais eti ni mkali sana na nafasi yake anatakiwa kuwepo mtu mpole wa kufanya kazi ya kukata utepe tu.
 
Niliwahi kuleta uzi hapa kwamba wapigaji tumerudi mjini tokea tarehe 18 march 2021 uzi ukafutwa.

JPM alikua kiboko.. yeye ndio alikua sheria.

Ila kwa kutumia sheria zetu hizi huwezi epuka upigaji.

Kwani Approval zipoje huko serikalini, fedha inatokaje bila signature ya katibu mkuu wa wizara husika au waziri?

Mwigulu atwambie kama kweli hakua na taarifa.. au na yeye yumo kwenye mamho haya.
 
Comedy show!
Aliye initiate nani?? Au ndiyo kina Kurwa!
Auditors ni mbuzi wa kafara tu!

Everyday is Saturday............................... 😎
 
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewasimamisha kazi Mkaguzi Mkuu, Mkaguzi Msaidizi na baadhi ya Watendaji wa Wizara ya Fedha. Amefanya hivyo ili kupisha Uchunguzi wa tuhuma za matumizi mabaya ya Fedha za Umma...
Salum Hamdun ni ACP...!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…