Kazi za serikali kwa kweli ni ngumu. Ukute jamaa walisaini tuWaziri Mkuu Kassim Majaliwa amewasimamisha kazi Mkaguzi Mkuu, Mkaguzi Msaidizi na baadhi ya Watendaji wa Wizara ya Fedha. Amefanya hivyo ili kupisha Uchunguzi wa tuhuma za matumizi mabaya ya Fedha za Umma..
Hawa wangekatwa pumbu tu, wasichekewe hata kidogo.
Pengine hakuna ushahidi. Mwisho wake atapewa kazi nyingine.Ngoja tuone!
Naona Kakoko bado yuko pending!
Hivi aliyelipwa nae hapa naona lazima atiwe kitanziniHii habari haijakaa sawa.
Taratibu za fedha zina mtu aliyeomba hiyo fedha, wapo walioidhinisha hayo malipo, ndo na mkaguzi ni mmojawapo, yupo aliyelipwa, aliyetumia nk...
Tatizo lako umeamini porojo za kigogo ambazo hazina ukweli wowote. Hao akina Doto na Bashiru Kama wangefanya ubadhirifu wangeendelea kuaminiwa kuwa viongozi? Mbona mkurugenzi wa Bandari alisimamishwa kazi kupisha uchunguzi?Kassimu anaacha kuongelea zilizochotwa na doto james,bashiru,kakonko anatuletea blahblah tu...huyu ndio PM mwenye elimu kma lusinde kibajaji
Huyu mzee naye huwa simwelewi hata kidogo ndiyo maana anapambana kupaka nywele rangi aonekane ni kijana maana ndiyo akili yake imeishia hapo kwa vidosho, watu wanapakua mabilioni akina Lugola, Makonda, Sabaya, Mnyeti n.k lakini ndiyo kwanza anacheka nao.
Kwa hiyo hivi vijiela kidogo tuviachie si ndio mangiiHuyu mzee naye huwa simwelewi hata kidogo ndiyo maana anapambana kupaka nywele rangi aonekane ni kijana maana ndiyo akili yake imeishia hapo kwa vidosho, watu wanapakua mabilioni akina Lugola, Makonda, Sabaya, Mnyeti n.k lakini ndiyo kwanza anacheka nao.
Si kuna wakaguzi wa ndani ambao kazi yao kubwa ni kufanya pre-audit kabla ya payment yoyote na kuhakikisha utaratibu unafuatwaHuu ni upuuzi tu, unless mwandishi kakosea. Sina hakika kama ni kazi ya Mkaguzi Mkuu kufanya kazi ya Pre-Audit. My understanding pre-audit inafanyika kabla malipo hayajafanyika. Hii ni kazi ya Mweka Hazina/ Accountant. Lingekuwa ni tukio la mwaka uliopita ambao tayari Mkaguzi ameufanyia kazi, basi ningemuelewa Majaliwa.
Napataga shida kumuelewa huyu bwana.
Tuambie hao walichota kiasi gani bwasheeKassimu anaacha kuongelea zilizochotwa na doto james,bashiru,kakonko anatuletea blahblah tu...huyu ndio PM mwenye elimu kma lusinde kibajaji
Tulisema yameanza kuonekana na bado, maskini TZ yetu1. ACP au CP....... Hamduni si alipandishwa na kuwa Kamishina wa Polisi
2. Kwahiyo uchunguzi huo ni tofauti na Rais Samia?
Umewaongelea vizuri sana wapigaji. Wanasema hata Dr Mpango hafai kuwepo kama Makamu wa Rais eti ni mkali sana na nafasi yake anatakiwa kuwepo mtu mpole wa kufanya kazi ya kukata utepe tu.Haya madudu ndiyo yanayowafanya waandike kwamba sasa hivi wana furaha zamani hawakuwa na furaha.
Lakini sauti ya Majaliwa ina mamlaka ndani yake ndiyo maana wako bize kumfundisha rais Samia kuwa amtoe kwenye uwaziri mkuu kwa sababu eti ni masalia ya JPM ,!!
Kwani SAMIA ni masalia ya nani??
Madelu anahusika kwa asilimia mia moja. Tulisema hapa huyo hafai hiyo wizara.
Comedy show!Hii habari haijakaa sawa.
Taratibu za fedha zina mtu aliyeomba hiyo fedha, wapo walioidhinisha hayo malipo, ndo na mkaguzi ni mmojawapo, yupo aliyelipwa, aliyetumia nk.
Na kila kitu kipo kwenye mfumo wa fedha.
Mtu muhimu ni aliyeinitiate hayo malipo. Faili la malipo lipo online.
Salum Hamdun ni ACP...!?Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewasimamisha kazi Mkaguzi Mkuu, Mkaguzi Msaidizi na baadhi ya Watendaji wa Wizara ya Fedha. Amefanya hivyo ili kupisha Uchunguzi wa tuhuma za matumizi mabaya ya Fedha za Umma...