Watendaji Wizara ya Fedha wasimamishwa kazi kwa tuhuma za matumizi mabaya ya fedha

Utamuelewa vp na unaanza kumjadili yeye na kutetea majizi? mnataka pesa zirudi mtaani kupitia wizi wa fedha za walipa kodi!
 
Hivi JPM alikutenda nini? Kila siku ni kumpalamikia kama msimbe
Wee ulikuwa ndo mwimbaji mapambio mkuu nini?
Pole yameingia maji, hayamvutii SSH wala wahanga wa ukandamizaji na ukatili wa awamu ya tano .
Yafaa ujitahidi ukatafute kazi nyingine itakusaidia kukutibu roho yako na uweze kuachana na chuki kwa wenye majeraha, wanaoanika ubaya wa Mwendazake.
 
Hii kesi Majaliwa anaangukia pua
Watetezi wa mafisadi mpooo,si ndugu zenu banaaa ndo wapi hizo taasisi wanakula mpunga tu kwa vikao visivyo na tija.
Afu mzunguko wa fedha unarudi siyo!
Ndo fedha mlizokua mnadai zimeadimika mtaani
 
Dotto James yuko wapi? Aanze naye
 
Tatizo lako umeamini porojo za kigogo ambazo hazina ukweli wowote. Hao akina Doto na Bashiru Kama wangefanya ubadhirifu wangeendelea kuaminiwa kuwa viongozi? Mbona mkurugenzi wa Bandari alisimamishwa kazi kupisha uchunguzi?
Mbona report ya tume haijasomwa, je wale waliotajwa na CAG kama kingwangwala wamechukuliwa hatua gani? double standard ndiyo inaumiza watu, sheria ni kwa wote si kwa ajili ya watu fulani
 
Waziri mkuu kasimu majaliwa amefanya ziara ya kushitukiza wizarani na kubaini ubadhilifu wa fedha zaidi ya milion 500! Ubadhilifu huo umeanzia march 21 mwaka huu ambapo watumishi wamejilipa posho mbalimbali za kazi ambazo zinauwalakini na hata hivyo posho zimelipwa kwa kutumia majina ya vyeo na sijana la mtu halisi kama alivyotoa maelezo katika vyombo vya habari, kutokana na hili waziri wa fedha mwigulu lameck nchemba tunaomba ulisaidie taifa kuthibiti ubadhilifu huo kwa kuwa rais amekuamini kukaa hapo na katibu wako msisubiri waziri mkuu kufika na kuongelea hayo.
 
Hakuwa kiboko report ya CAG isingekuwa chafu vile
 
Mwigulu hana uwezo huo.
Dr mpango alikua waziri hiyo trh 21 march kwahyo nae anahusika kwan namna moja au nyingine
 
Mpaka waziri mkuu agundue yeye alikiwa wapi?
 
Watetezi wa mafisadi mpooo,si ndugu zenu banaaa ndo wapi hizo taasisi wanakula mpunga tu kwa vikao visivyo na tija.
Afu mzunguko wa fedha unarudi siyo!
Ndo fedha mlizokua mnadai zimeadimika mtaani
hueleweki
 
Huyo chawa ana bahati ya uteuzi kweli [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hayo yaliyofukuliwa hapo hazina ni TIP OF AN ICEBERG!!! Kuna uvundo mwingi sana hapo kiasi kwamba wakifuatilia sana , itaonekana kuwa kumteua Dr. Mpango kama makamu wa Rais lilikuwa ni kosa kubwa sana!!!
 
Hapo kwa CAG ASSAD NDIO UMEKOSEA UNAJIPIGIA CHEPUO MWENYEWE ACHA USHAMBA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…