Nyuki Mdogo
JF-Expert Member
- Oct 31, 2021
- 4,134
- 10,644
Tazama hapa.
wenyewe wanaona rahaa
wenyewe wanaona rahaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi malaika ni watoto wadogo ?Kwakuwa hao ni malaika hawajui mabaya ya dunia hii Mungu anazidi kuwabariki
Hapo nami huwa najiuliza, utasikia huyo ni malaika kwa sababu ni mtoto.
Mtoto mdogo ambaye bado via vya uzazi havijawaza kunyanduana, yaani lile tunda la mti wa kati unaotupa ujuzi wa mema na mabaya, bado hajala tunda lake,Hapo nami huwa najiuliza, utasikia huyo ni malaika kwa sababu ni mtoto.
Hii ni akili ya hangover ya Jack Daniel 😂😂Mtoto mdogo ambaye bado via vya uzazi havijawaza kunyanduana, yaani lile tunda la mti wa kati unaotupa ujuzi wa mema na mabaya, bado hajala tunda lake,
Ni malaika.
Hili nitaleta uzi
[emoji23][emoji23]Hii ni akili ya hangover ya Jack Daniel [emoji23][emoji23]
Mzee wako ana akili sana. Angesababisha madhara kama angekukaripia ukiwa mtiniNilipokuwa mdogo baba yangu mzazi alinikuta juuuuu ya mti wa mzambarau ikabidi aondike kimya kimya akaja kunisimulia baadae na akatumia kugha ya kuomba kuwa nisipande tena kwenye mti wowote.
Mimi nilikua naruka matawi ya mti wa mkwaju, ule mkwaju nkiuangalia siamini kama ni mimi nilikua kama monkey kipindi kile.. Najiuliza niliwezaje.Me nilikuwa naruka juu ya paa la nyumba hadi chini alafu napanda tena na ngazi naruka mpaka chini... sahivi nikiuangalia umbali wake najisemea kwamba ukuaji wetu ulikuwa kwa ulinzi wa Mungu mwenyewe na si wazazi.
Me nilikuwa naruka juu ya paa la nyumba hadi chini alafu napanda tena na ngazi naruka mpaka chini... sahivi nikiuangalia umbali wake najisemea kwamba ukuaji wetu ulikuwa kwa ulinzi wa Mungu mwenyewe na si wazazi.
Watoto SIO malaika, watoto ni watoto na malaika ni malaika.Kwakuwa hao ni malaika hawajui mabaya ya dunia hii Mungu anazidi kuwabariki
Karibu,ukileta ni tagMtoto mdogo ambaye bado via vya uzazi havijawaza kunyanduana, yaani lile tunda la mti wa kati unaotupa ujuzi wa mema na mabaya, bado hajala tunda lake,
Ni malaika.
Hili nitaleta uzi
Huwwzi kuelewa ninachomaanisha Kaa kimya tuWatoto SIO malaika, watoto ni watoto na malaika ni malaika.
Wewe ndo huelewi unaropoka tu huna evidence.Huwwzi kuelewa ninachomaanisha Kaa kimya tu