Watoto msiwasasahau baba zenu, mlideka kwa kwa mama lakini huruma sio malezi, Jukumu la baba kuwa kiongozi hapa Afrika sio jambo jepesi.

Watoto msiwasasahau baba zenu, mlideka kwa kwa mama lakini huruma sio malezi, Jukumu la baba kuwa kiongozi hapa Afrika sio jambo jepesi.

G Tank

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2023
Posts
2,297
Reaction score
8,760
Kids tend to lean on their mothers for many things emotionally which give mothers so much power and influence on the kids, kids completely foeget the family is under the leadership and direction of fathers

Kwa maisha ya uhalisia yalivyo bongo baba inabidi awe na msimamo wa hali ya juu mno, Maisha yapo very harsh ni magumu, mnapoandaliwa muwe na ngozi ngumu na baba ni rahisi kumchukia na kumuona mama mnayemdekea ndie chaguo sahihi, Mnakosea sana.

Familia nyingi ambazo watoto walipata malezi ya baba au wazazi wote zina kiasi kikubwa zaidi ya watoto kufika mbali, sina maana ya kubeza watoto waliolelewa na mama pekee lakini hizo ni facts.

Imekuwa ni kawaida kuwakuta watoto wengi wakiwa wakubwa kuwasahau kabisa baba zao, Ni majonzi haya kwa baba zenu wanayougulia kimya kimya tofauti na kina mama walioumbiwa machozi ya karibu a malalamiko, moyo wa mwanaume ni chuma kilichoficha mambo mengi mno.

Tembeleeni baba zenu, kuleni nao matunda yenu si haba kumtumia mzee kiasi flani kila mwezi, n.k.
 
Tenda wema nenda zako. Usingoje shukrani. Fanya majukumu yako bila kujali unalipwa nini, kisi gani, na nani. Maisha ni FUMBO gumu. Tangu unazaliwa hadi una zeeka na mwisho kufariki, wengi hatujui hata kwanini tulifanikiwa kuishi dunia hii. Ingelipendeza kwa muumba kutupa majukumu yetu kwa maandishi, na tuambiwe ukiyatimiza haya outcome yake ni hii. Lakini, haiko hivyo. Unapata watoto unafurahi kwama walivyofurahi wazazi wako kukupata. Utapitia mengi, lakini hata huelewi ni kwa nini, wengi tunatafuta mafanikio, lakini hatujui ili iweje.
 
mtoto wa kiume ukifika kuanzia 25 kwenda juu ata kama ulikuwa una mchukia mzee wako

mdogo mdogo ukianza kuhukumiwa na majukumu mbona utajirudi kwa baba yako wewe mwenyewe mi ni shuhuda kwa mimi mwenyewe
 
Kids tend to lean on their mothers for many things emotionally which give mothers so much power and influence on the kids, kids completely foeget the family is under the leadership and direction of fathers

Kwa maisha ya uhalisia yalivyo bongo baba inabidi awe na msimamo wa hali ya juu mno, Maisha yapo very harsh ni magumu, mnapoandaliwa muwe na ngozi ngumu na baba ni rahisi kumchukia na kumuona mama mnayemdekea ndie chaguo sahihi, Mnakosea sana.

Familia nyingi ambazo watoto walipata malezi ya baba au wazazi wote zina kiasi kikubwa zaidi ya watoto kufika mbali, sina maana ya kubeza watoto waliolelewa na mama pekee lakini hizo ni facts.

Imekuwa ni kawaida kuwakuta watoto wengi wakiwa wakubwa kuwasahau kabisa baba zao, Ni majonzi haya kwa baba zenu wanayougulia kimya kimya tofauti na kina mama walioumbiwa machozi ya karibu a malalamiko, moyo wa mwanaume ni chuma kilichoficha mambo mengi mno.

Tembeleeni baba zenu, kuleni nao matunda yenu si haba kumtumia mzee kiasi flani kila mwezi, n.k.
Yaani kijana mwanaume ukishakuwa mpambanaji tu lazima utajikuta una muappreciate faza maana utajisemea daah kumbe faza naye alipitia huu msoto ?

Kama mwanaume mPAMBANAji ukishakuwa tu na kuwajua wanawakw lazima utamuappreciate baba yako kwani utajua tu kwamba naye alipitia hizo nyakati.


Wanaume maisha yetu ya upambanaji yanatukumbusha kwamba baba zetu walipitia hizo hali..
 
Back
Top Bottom