Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ma mbulukenge mna shida sanaa... Walahi njaaa zitawauwa...Vipi familoa za wale ambao wangekumbwa na ugaidi wa Mbowe? Au wao sio watu? Hawana familia?
Ugaidi gani kaka? Acha hizo wewe!Vipi familoa za wale ambao wangekumbwa na ugaidi wa Mbowe? Au wao sio watu? Hawana familia?
Mbulukenge ni wewe unayeshabikia na kuleta uchama mbele ya maisha ya watuMa mbulukenge mna shida sanaa... Walahi njaaa zitawauwa...
Kwani kesi inayomkabili ni ipi?Ugaidi gani kaka? Acha hizo wewe!
Endelea kuongea kama mtu aliyepakatwa pimbi weweee..Mbulukenge ni wewe unayeshabikia na kuleta uchama mbele ya maisha ya watu
Hauna hojaEndelea kuongea kama mtu aliyepakatwa pimbi weweee..
Hoja ni kwamba utalamba sana watu makalio lakini hata uhudumu wa kupika chai utausikia tuu...Hauna hoja
Haihusiani tena mimi ni mwananchi wa kawaida kabisaHoja ni kwamba utalamba sana watu makalio lakini hata uhudumu wa kupika chai utausikia tuu...
Kwani walamba viatu siyo wananchi wanaotaka fursa kwa short cut za kujidogosha?? Mwananchi wa kawaida huwa hafurahii mateso na manyanyaso ya wenzake hata siku moja. Ukiona mtu anafurahia mateso ya binadamu mwenzake basi jua huyo ni mlamba makalio anayefanya kila awezalo apendelewe fursa fulani kama wewe hapo.Haihusiani tena mimi ni mwananchi wa kawaida kabisa
Wewe ndiye mlamba viatu! Unafurahia mateso wanayopitia watanzania kutokana na umasikini! Watu wanahangaika kupambana uchumi ukue umasikini uondoke wewe umeng'ang'ana na siasa zako uchwara! Wewe ni msaliti namba moja! Taifa linapambana na adui umasikini ambaye anatesa mamia ya watanzania badala yake uko bize kuvuta watu mashati kuzuia maendeleo ili waendelee kuteseka!Kwani walamba viatu siyo wananchi wanaotaka fursa kwa short cut za kujidogosha?? Mwananchi wa kawaida huwa hafurahii mateso na manyanyaso ya wenzake hata siku moja. Ukiona mtu anafurahia mateso ya binadamu mwenzake basi jua huyo ni mlamba makalio anayefanya kila awezalo apendelewe fursa fulani kama wewe hapo.
Kingai, Kingai, tafadhali tulia umeshalidhalilisha Jeshi la Polisi sasa Mahakama. Mungu alishakupa nafasi ya kutubu wewe unaendelea kushupaza shingo.Vipi familia za wale ambao wangekumbwa na ugaidi wa Mbowe? Au wao sio watu? Hawana familia?
Huo ugaidi wa mbowe umeuthibitisha wapi?Vipi familia za wale ambao wangekumbwa na ugaidi wa Mbowe? Au wao sio watu? Hawana familia?
Kingai ndio nani?Kingai, Kingai, tafadhali tulia umeshalidhalilisha Jeshi la Polisi sasa Mahakama. Mungu alishakupa nafasi ya kutubu wewe unaendelea kushupaza shingo.