Akilindogosana
JF-Expert Member
- Jan 12, 2020
- 4,303
- 12,679
Nchi bado ni tupu. Watu wa Dar mje muwekeze huku. Labda Hizi industrial parks zinazoota huku Pwani zitasaidia kiuchumi. Ila bado nchi iko tupu. Masuala ya kubanana Dar inabidi yapungueHii nchi bado mapori ni mengi mno. Wewe kama unaharaka na ardhi kazi kwako ila tuliotembea hii nchi vizuri lamda tuje tuwe na raia pacha ndio nchii hii itajaa.