Watoto na wajuku zako watanunua viwanja vya kujenga wapi?

Watoto na wajuku zako watanunua viwanja vya kujenga wapi?

Pia kila halmashauri huwa wana idara ya ardhi. Huwa wanauza maeneo kwa ajili ya biashara, makazi, viwanda, uwekezaji n.k. Bei ni kwa square meter. Huwa ina range 1500 kwa sqm mpaka 20000 inategemea na matumizi na halmashauri husika.
Kwa mjini kupata naona ni ngumu,nataka porini Porini huko, kama MOH dewji, same yote mpaka Tanga kaweka mikonge jamaa ana miliki ardhi aisee
 
Watu wa Dar katika ubora wenu. Mnataka kila kitu kiwe Dar [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Kila kitu lazima kiwe au kianzie Dar.

Dar ndio kila kitu, hata mbunge wako wa kolomije anakaa Dar, mawaziri kimwili wako Dodoma ila kiroho wako Dar, ndio maana kila siku hawakauki Dar.

Dar ndio TZ na TZ ndio Dar.
 
Watu wa Dar mnadhani Tanzania ni Dar tu. Ndio maana nchi haiendelei. Hata viongozi wetu wanadhani Tanzania ni Dar pekee.

Tanzania ni nchi kubwa sana. Na bado maeneo mengi ni pori kabisa. Ishu ni kubanana Dar. Ndio maana jpm aliona watu waende Dodoma.

Tafuta watu wa mafuso au wachimba visima wakupe taarifa. Nchi hii ni kubwa na ni tupu. Watu kubanana Dar ndio chanzo cha matatizo
Mbona umekasirika sana?
 
Katika masuala ya ardhi kuna kosa walifanya viongozi miaka hiyo ya 60 na 70. Ni kukosa master plan ya masuala ya ardhi. Mambo yakaenda ovyoovyo tu mwishoni miji ikakua ovyoovyo bila kupangiliwa. Halafu watu wakajaa kwenye miji bila mipango ndio maana unaona hiyo hali watu wamejaa Dar na wengine mwanza mpaka juu kule kwenye mawe [emoji23][emoji23][emoji23].

Hii dhana za kila kitu Dar imesababisha nchi isiendelee. Inatakiwa nchi ikue kwa kupanuka sio kubanana sehemu moja. Hizi huduma ni changamoto ya ufisadi na 10% ila nakwambia ukweli nchi bado ni kubwa na ni Tupu.


Halafu Dar ni bandari tu inaifanya iwe kama mlango wa kuingiza vitu. Kiufupi bila serikali kuwekeza katika ofisi zote kuwa Dar miaka ya 60 na 70 Dar ingekuwa kama Lindi [emoji23][emoji23][emoji23]

Halafu madalali pia wanaongeza cha juu bila sababu. Una kuta kiwanja kidogo tu huko ndanindani dalali anasema milioni 90 [emoji23][emoji23]
Unajua Wizara asilimia 80 zilikuwa zimekodi majengo?
Dar nenda Kariakoo uone maghorofa yanavyovunjwa na kujengwa mapya
 
Unajua Wizara asilimia 80 zilikuwa zimekodi majengo?
Dar nenda Kariakoo uone maghorofa yanavyovunjwa na kujengwa mapya
Maghorofa kariakoo yasikutishe. Yale maghorofa ni kwa ajili ya biashara na kukopea hela benki sanasana crdb na akiba commercial bank (wachaga wana connection sana ya mikopo huko). Hapo fremu za chini na basement ndio zinatumika kuuzia na kutunza bidhaa.

Kinachoibeba Dar ni bandari na wingi wa watu wanaosaka fursa. Ila kama miji mingine ikiboreshwa inaweza kupunguza wingi wa watu na kuongeza fursa.
 
Kila kitu lazima kiwe au kianzie Dar.

Dar ndio kila kitu, hata mbunge wako wa kolomije anakaa Dar, mawaziri kimwili wako Dodoma ila kiroho wako Dar, ndio maana kila siku hawakauki Dar.

Dar ndio TZ na TZ ndio Dar.
Inatakiwa huu UDar uwatoke viongozi wetu. Nchi ipate maendeleo kotekote sio DAR tu.
 
Inatakiwa huu UDar uwatoke viongozi wetu. Nchi ipate maendeleo kotekote sio DAR tu.
Viongozi gani hao?!

Hawa hawa ma stupid, ambao wanakula mpaka Rais kawaambia wajitathmini.

Wenyewe kila siku wako Dar hata huko Dodoma hawapataki achilia mbali majimboni kwao ambapo wapo kizushi lakini familia zao na wao wapo DSm


Dar inachangia more than 60% ya kipato cha nchi, you can imagine how potential it is in every aspect.

Nani aende aka invest Nachingwea halafu apishane na hela.

We mwenyewe usikute uko Dar then unataka wenzako ndio waende huko Mwanza ndani ndani.

DSM ndio TZ na TZ ndio DSM.
 
Sehemu nzuri huwa haziishi. Ikijaa hii Leo inafunguka nyingine kesho.

Labda iwe kibiashara tu, ila kwa makazi wengi wanapenda pembezoni mwa miji.
 
Maghorofa kariakoo yasikutishe. Yale maghorofa ni kwa ajili ya biashara na kukopea hela benki sanasana crdb na akiba commercial bank (wachaga wana connection sana ya mikopo huko). Hapo fremu za chini na basement ndio zinatumika kuuzia na kutunza bidhaa.

Kinachoibeba Dar ni bandari na wingi wa watu wanaosaka fursa. Ila kama miji mingine ikiboreshwa inaweza kupunguza wingi wa watu na kuongeza fursa.
Acha makasiriko
 
Viongozi gani hao?!

Hawa hawa ma stupid, ambao wanakula mpaka Rais kawaambia wajitathmini.

Wenyewe kila siku wako Dar hata huko Dodoma hawapataki achilia mbali majimboni kwao ambapo wapo kizushi lakini familia zao na wao wapo DSm


Dar inachangia more than 60% ya kipato cha nchi, you can imagine how potential it is in every aspect.

Nani aende aka invest Nachingwea halafu apishane na hela.

We mwenyewe usikute uko Dar then unataka wenzako ndio waende huko Mwanza ndani ndani.

DSM ndio TZ na TZ ndio DSM.
Dar imejaa
 
Back
Top Bottom