Watoto ni gharama si baraka. Kabla hujafikiria kuzaa watoto tambua hili mapema

We na huyo mwanamke mtakao kaa kujadili wote wapuuzi

Hivi mtu unaweza kupanga jinsi ya mkumlea mtoto maana mtoto kwa mzazi hakui sasa we unajua maisha yako kesho yatakuaje au unaweza kupanga plan ya sio chini ya 35 yrs
 
Wewe ndio Mwanaume sasa. Ila unaweza usiombe mtu chakula lakink ukazaa unawalisha mihogo kila siku na wengine wanaishia kujiuza kwa maisha magumu.
Mtoto wa obama {mkubwa} ushawahi futatilia status zake?

Kujiuza sio sababu ya kuwa na maisha magumu. nitabia ya mtu tu sawa na kutumia madawa ya kulevya na kuwa shoga nk. jiulize wewe ukiwa na maisha magumu unaweza kujiuza?

mbona akina gigy money wanajiuza licha ya kuwa na maisha mazuri nk? hamna point zingine mkuu?

zipo family nyingi tu za kimasikini lakini watoto wao sijawahi waona wakijiuza nk.
 
Unataka msaada gani?
Wa kifedha au mawazo?
WA MAWAZO NA HATA PESA KAMA UNAYO .

wawili wapo private mkuu mwingine hajaanza nimeshajipangia nitazaa watoto 5-7 kama nitakuwa na afya njema pamoja na wife. nikishindwa kusomesha private wanarudi kayumba. ninachoomba ni afya tu
 
Loud and clear
 
Gigy ana maisha gani mazuri? Unafata mkumba wa maigizo ya media🤣🤣🤣
Haijarishi huyo nimeweka tu kama mfano mbona wapo wengi lukuki?

Narudia kujiuza,madawa ya kulevya, ulevi,ushoga nk ni tabia ya mtu tu haiingiliani na umasikini.

nina mfano..... ndg yangu mtoto wake alishindwa kusoma seminari akafukuzwa akiwa form3 dogo akagoma kusoma mazima na kuzama dar jitihada kadhaa za kumrudisha home pamoja na kumtafutia kazi lkn wapi akawa mtoto wa mitaani tu hana makao. baada ya naisha kumnyoosha akarudi saivi ana duka la simu mtaji kapewa na wazazi wake
 
Compare and contrast
 
What if, wazazi wako wasingekuleta duniani kwa kumfikiria dhana hiyo na ikizingatiwa wewe si mtoto wa kwanza, usiogope majukumu we fyatua tu maana Mungu na shetani wanatupia jicho hapo hapo.
Haya maelezo mepesi sana mkuu,,ikumbukwe wewe kuzaliwa ni either walipanga watu wawili wewe ukiwa haupo au hawakupanga wewe ukatokea kama bahati mbaya kwa hivyo hata wasingekuleta duniani siyo issue kwa maana ndiyo hivyo hawajakuleta,,lakini kumleta duniani mtu halafu aje ataabike huo ni uzwazwa mleta mada yupo sahihi 100%
 
Hahahaa
 
Nina watoto kumi na tatu, watoto 13 na ninawapenda . Ninawapenda wote. Na ninafikiri nimekuwa baba-bora kwa kila mtoto kwa watoto wangu wote 13.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…