Watoto ni gharama si baraka. Kabla hujafikiria kuzaa watoto tambua hili mapema

Kama umeanza kuvuta bangi.sema, tutakuwlewa.tu.
 
Yafaa nini watoto waliozaliwa Gaza?
Kuna muda kuleta watoto duniani ni kuja kuwahukumu kwa makosa ya wazazi 😰
Maelfu ya watoto wadogo wasio na hatia yeyote ile wamekufa na wanaendelea kufa huko mashariki ya kati.

Hii inadhihirisha wazi kwamba, Hakuna Mungu wa kuhurumia au kusaidia kitu au mtu yeyote yule.

Kila mtu hapa duniani atajipambania yeye na kizazi chake, yeye mwenyewe.

Hakuna Mungu wa kusaidia chochote kile.
 
Kuna siku nimetoka kupiga tukio mahali .ikabidi nitumie Tu P2 maana sikutaka kabisa kubaki na kinasaba chochote cha Yule mpuuzi..ziliniharibia mzunguko wangu nilijuta.p2 sio nzuri sema zinasaidia
Kwa nini awe mpuuzi tena?
 
Unaogopa changamoto za maisha kama shoga!!
 
Acha uwoga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…