Tumwesige senior
JF-Expert Member
- Jan 28, 2013
- 3,506
- 6,305
Watu woteAlikwambia wewe ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu woteAlikwambia wewe ?
Kabisa kabisa...kuliko kuja kugharamia pesa kubwahuko mbeleHuwezi kosa Alfu 5 mfukoni
😁😁😁 kumbeYaani nilikuja kugundua hafai kabisa kwa matumizi yaani nilimeza P2 overdose yaani usije kuwa hata kinasaba kikabaki kwa bahati mbaya kenge yule
Sasa unadhani bibi Yako fikra zake ni sawa na zetu? Amezaliwa kwenye kizazi kinachoamini hivyo, kizazi ambacho malezi na makuzi hayakuwa na gharama kubwa.Nitakupa mfano rahisi kabsa!
Mzee wangu alifariki 2010 tulienda msibani! Tulikuwa watoto 24 na watoto wa kiume tupo 18 na wakike 6. Marehemu Bibi alisema kuwa hakuna kitu cha thamani ambacho marehemu mtoto wake alikiacha duniani kama uzao wake!
WATOTO NI BARAKA Kasome Zaburi 127:3-5
Huwezi kukosa vyote,unakuta demu mbaya ila ana bonge la takoMaskini ana mali?
Una elewa nilicho andika?
Nikweli hiyo ni kwa wanaume wajinga wa Africa.Mwanaume ameumbwa kuwa provider...usiogope majukumu
Kwahiyo ni bora mtu asizae kisa tu maisha ki magumu!??Sasa unadhani bibi Yako fikra zake ni sawa na zetu? Amezaliwa kwenye kizazi kinachoamini hivyo, kizazi ambacho malezi na makuzi hayakuwa na gharama kubwa.
Nisikuchoshe kama bibi kasema ni thamani tutegemee wewe kuzaa zaidi ya babaako sindio? Yani uzae watoto 25+
Kasome mwanzo Mungu aliandaa nini kabla ya kumleta Adam ulimwenguniKwahiyo ni bora mtu asizae kisa tu maisha ki magumu!??
Maisha ya sasa mtoto anahitaji elimu bora afya bora ,lishe bora , ukijifanya kuzaa bila mpango unazaa wasindikizaji tu.Mwanaume ameumbwa kuwa provider...usiogope majukumu
Kweli kabisa mkuuKiasikolojia tu mtu ambaye hajapata tunda la uzazi ni tofauti kabsa na yule ambaye tayari ana watoto! Kama Baba ukipewa mkeka na mtoto wa vitu vya kununua aisee kuna feeling moja ya ajabu sana
Ndio anayeleta watoto ni wewe pamoja na huyo mwenza wako.Kwani wewe ndio unaleta mtoto?
Hakuna Mungu anayeleta watoto kwenye hii dunia. Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hatakaa awepo.Anayeleta ni Mungu ndio maana wapo wengi wanajqmiana lakini hawapatq watoto.
Before you vomit your nonsense here make sure you are mentally enough to reason and think critically and properly so that you don't come here to advertise your ignorance.Acha mawazo ya kishoga!
Wewe unafikira za kishetani za kutokuzaa wakati Mungu alishasema nendeni mkaijaze dunia.Sasa unadhani bibi Yako fikra zake ni sawa na zetu? Amezaliwa kwenye kizazi kinachoamini hivyo, kizazi ambacho malezi na makuzi hayakuwa na gharama kubwa.
Nisikuchoshe kama bibi kasema ni thamani tutegemee wewe kuzaa zaidi ya babaako sindio? Yani uzae watoto 25+
Niletee andiko lililo na msamiati uliosema Watu woteWatu wote
Kama anataka ijae mbona watu wanakufa? Tumia akiliWewe unafikira za kishetani za kutokuzaa wakati Mungu alishasema nendeni mkaijaze dunia.
Hatusemi azae bila mpango...Ila asiogope majukumuMaisha ya sasa mtoto anahitaji elimu bora afya bora ,lishe bora , ukijifanya kuzaa bila mpango unazaa wasindikizaji tu.
You are just shithole like any other shitholes!Ndio anayeleta watoto ni wewe pamoja na huyo mwenza wako.
Hakuna Mungu anayeleta watoto kwenye hii dunia. Mungu hajawahi kuwepo, hayupo na hatakaa awepo.
Hao wanao kosa watoto wana changamoto za kiuzazi, Si Mungu.
Before you vomit your nonsense here make sure you are mentally enough to reason and think critically and properly so that you don't come here to advertise your ignorance.